Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

Vizuri umetuwekea video. Nimezisikiliza hoja zake, kimsingi hakukataa mradi, bali alihitaji sheria zilizopitishwa bungeni huko nyuma katika suala kama hilo linapojitokeza zifuatwe. Na akazisoma hizo sheria ambazo hazikufuatwa. Sasa hapo kosa lake ni lipi?

Tatizo la watanzania ni kwamba, sheria tunaziweka wenyewe kupitia chombo chenye dhamana hiyo "Bunge". Halafu akija kiongozi akizifuata ni kosa. Sasa sisi ni watu wa aina gani.

Acheni mpigwe tu mpaka kwenye KATIBA ya nchi. Katiba imegeuzwa kuwa GAZETI TU.
ᴍᴋᴜᴜ ᴘᴏʟᴇ sᴀɴᴀ
 
Itakuwa alilishwa matango pori na wasomi uchwara ambao King.Msukuma huwa anawaponda siku zote. Wasomi wengi wa nchi hii porojo nyingi na maandishi mengi ila output zero.
 
Baada ya kusikia kuna Megawatt 235 za bwawa la Nyerere zimeshaamza kuingia kwenye gridi ya taifa, nikakumbuka malalamiko ya MTz mwenzetu akitaka Megawatt 2100 zisiingizwe kwenye gridi kisa kuna miti itakatwa, unabaki unajiuliza , huyu ana akili timamu kweli?!


Video ipo chini.
View attachment 2918032
Hawa wapuuzi wa ccm wao ni maokoto tu kwenda mbele
 
Baada ya kusikia kuna Megawatt 235 za bwawa la Nyerere zimeshaamza kuingia kwenye gridi ya taifa, nikakumbuka malalamiko ya MTz mwenzetu akitaka Megawatt 2100 zisiingizwe kwenye gridi kisa kuna miti itakatwa, unabaki unajiuliza , huyu ana akili timamu kweli?!


Video ipo chini.
View attachment 2918032
Nape amezuia hata starlink kwenye dunia ya leo......ni shida....hakika...afya ya akili...anahitaji msaada huyu mnyakyusa wa kimakonde.
 
Naikumbuka ile story ya miti milioni moja inakatwa itasababisha ukame Tanzania hapatakuwa na mvua...

Matokeo yake juzi tu mvua za El Nino zimenyesha...na leo leo naona dalili za masika ndio inaanza kunyesha Dsm.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Issue ni deforestation miti isiopungua million mmoja eneo mmoja si haba.
Hilo bwawa limejazwa na maji yaliotoka Dodoma na Singida,ukiongezea Iringa,Morogoro,Pwani n.k
Madhara yakukata miti tunajua wala hakuna haja ya kurudia rudia.Kinachotakiwa kwa sasa ni kupanda mabilioni ya miti katika mikoa kadhaa.Pia kuanza kutumia nishati ya gesi asilia badala ya kuni nchi nzima.
Vinginevyo hilo bwawa kuna siku litakosa maji kama tulivyoshuhudia Katika mabwawa mengine ya Mtera,Kidatu,Kihazi,Nyumba ya Mungu.Bila Maji hakuna umeme.
 
Huyo na yule mwenzake kipara ni takataka zinazopaswa kuwa jalalani
Wanatuchezea akili zetu..imagine pamoja na ujanja ujanja wao wa wazi katika upigaji bado Mama akawapa wizara.
Eti Kipara Waziri wa nishati..kweli?
 
Nakumbuka tulipokuwa watoto, kulikuwa na mtu mmoja ambae alikuwa ni 'designated dumbass' wa kikundi.

Ikiwa tunataka kitu na tunajua ni cha hatari basi huyo mtu alikuwa anawekwa yeye kama front, kikisanuka msala unakuwa wake. SIfa kubwa ya mtu huyo ni kuwa na upeo mdogo wa kuweza kung'amua mambo na mara nyingi huwa ana force kufit in na wengine.

Huko sisiemuni mtu huyo ni Nape, Nape huwa hajui athari ya kauli zake as long as keshatumwa na wenzie. Ili aonekane 'one of the boys' huwa anabwatuka tu, na kikinuka msala unamuangukia yeye.

Group analotaka Nape a fit in ni la kina January na Ridhwani, but in reality Nape is too dumb to be one of them, hivyo wenzie humfanya chambo cha kutimiza dhamira zao.

Mengi anayosema Nape ni kwa kutumwa tu na wenzie, huwa sio kwa utashi wake wala uelewa wake.
Na wewe unamuweka mtoto wa Vasco Dagama kuwa mwenye akili? Ridhwani hamna kitu kichwani kama baba yake tu!!
 
Haya maneno aliongea Magu akiwa keshaenda!?
 
Na wewe unamuweka mtoto wa Vasco Dagama kuwa mwenye akili? Ridhwani hamna kitu kichwani kama baba yake tu!!
Ila ukimlanganisha na Nape, Ridhwan anakuwa Einstein kabisa. Nape ni bogus la mwisho kabisa.
 
Back
Top Bottom