Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

Huyo na yule mwenzake kipara ni takataka zinazopaswa kuwa jalalani
We waone takataka, lkn ndo wanaokula kodi yako kwa kufanyia matanuzi watakavyo na huna la kuwafanya!
 
Baada ya kusikia kuna Megawatt 235 za bwawa la Nyerere zimeshaamza kuingia kwenye gridi ya taifa, nikakumbuka malalamiko ya MTz mwenzetu akitaka Megawatt 2100 zisiingizwe kwenye gridi kisa kuna miti itakatwa, unabaki unajiuliza , huyu ana akili timamu kweli?!


Video ipo chini.
View attachment 2918032
Nape hajawahi kuwa na Akili Elimu ya kuunga unga huwa ni tatizo.
 
Ili kulisaidia Taifa, tuanze kupeleka watoto wetu shule zenye kuelimisha. Kuna wakati unashangaa jinsi fikra zetu zilivyo
 
Baada ya kusikia kuna Megawatt 235 za bwawa la Nyerere zimeshaamza kuingia kwenye gridi ya taifa, nikakumbuka malalamiko ya MTz mwenzetu akitaka Megawatt 2100 zisiingizwe kwenye gridi kisa kuna miti itakatwa, unabaki unajiuliza , huyu ana akili timamu kweli?!


Video ipo chini.
View attachment 2918032
Eti inaletea heshima inchi wakati tupo gizani haya ni matopetu . USA, CHINA wamegoma kusign mkataba wa wkulinda athari za mabadiliko ya tabia ya nchi.
 
Back
Top Bottom