Tumia just fraction of your brain, yaani hata aje nani Israel hawawezi kusema human casualties ila panic yao leo inakupa majibu madhara waliyopata na kiwango cha hofu iliyowaingia maana hata hawasemi watalipiza kisasi. Iran pia ni mshirika wa Turkey ambayo imesimamisha mauzo ya bidhaa zao kwenda Israel. Hii sasa ni vita kubwa na nchi ya Iran na sio ile vita ya upande mmoja Israel kuua wapalestinaUlitaka wasifanye vikao?
Kama hizo missiles zimetua,zimeua wangapi mpaka sasa?!
Hatuendi kwa hisia bali Evidence.Tumia just fraction of your brain, yaani hata aje nani Israel hawawezi kusema human casualties ila panic yao leo inakupa majibu madhara waliyopata na kiwango cha hofu iliyowaingia maana hata hawasemi watalipiza kisasi. Iran pia ni mshirika wa Turkey ambayo imesimamisha mauzo ya bidhaa za Israel. Hii sasa ni vita kubwa na nchi sio ile vita ya upande mmoja kuua wapalestina
Tumia just fraction of your brain, yaani hata aje nani Israel hawawezi kusema human casualties ila panic yao leo inakupa majibu madhara waliyopata na kiwango cha hofu iliyowaingia maana hata hawasemi watalipiza kisasi. Iran pia ni mshirika wa Turkey ambayo imesimamisha mauzo ya bidhaa za Israel. Hii sasa ni vita kubwa na nchi sio ile vita ya upande mmoja kuua wapalestina
huyu iran ni mshenzi, ni wa kupigwa mpaka aombe mkataba wa amani na israel. Ni mpuuzi atulizweView attachment 2962829
Kwa hiyo target ya Iran ilikuwa ni kumjeruhi huyo mtoto smbaye amejeruhiwa na manaki ya kombora lililoharibiwa?
Maana mpaka sasa makombora yote yaliyorushwa ndiyo yalichoambulia.
Ngoja apigwe na robo tu ya makombora aliyorusha uone kama Tehran inaenda kusimama.
Ilitafutwa tu sababu ayarusha yeye mwenyewe na moja kwa moja kutoka nchini mwaka na ameingia mazima.
We itakuwa umesoma bongo I can see you miss sth very important in your analysis. Yaani you are carried easily by propaganda and one source of information . Fungua TV Al Jazeera angalia leo utajua kinachoendelea gulf regionHatuendi kwa hisia bali Evidence.
Ina maana huko Israel hakuna mfia dini hata mmoja aliyeweza kuchukua video ya madhara makubwa yaliyotokea akaweka video mtandaoni?!
Watch the F-35I Adir fighter jets return to Nevatim Airbase after successfully protecting Israelβs airspace:
View: https://twitter.com/IDF/status/1779372720863514936?t=QKOoc06UDK60OP1Z7lL-ng&s=19
Hasira za nini ππππWe itakuwa umesoma bongo I can see you miss sth very important. Yaani you are carried easily by propaganda. Fungua TV Al Jazeera angalia leo utajua kinachoendelea gulf region
Mfu wenu alishindwa kujiokoa kwenye msalababrazaj na wavaa dera wenzako mshukuru sana sayansi ya Israel, maana yule akbar akbar ameshindwa kupalinda.
Allah ndio analinda,huyo Israel anamtumia bila yeye mwenyewe kujijua.Ni kama wewe pia amekutumia kutuletea hizi habari bila wewe kujijua.brazaj na wavaa dera wenzako mshukuru sana sayansi ya Israel, maana yule akbar akbar ameshindwa kupalinda.
Wewe utakuwa huna akili,uneambiwa hivi ni vita vya kidini?Hivi ni vita vya kisiasa sio vya kidini,tumia akili."Iran imesema" Yaani mumekosa hata muislamu mmoja Israel mwenye simu aonyeshe walau kombora moja kati ya hizo 500 likipiga sehemu yoyote Israel.
Hii ni aibu kubwa sana kwa waislamu.
Hivi sio vita vya kidini,mvaa kamba ya mbuzi shingoni.Tumia akili.Hivi ni vita vya kisiasa.Kwa hiyo Nyetapaka kavua kibakuli kichwani,kakimbilia kwrnye handaki ya nyumba ya Bilionea wa Israel.Ikulu kaikimbia.Israel said Iran must wait for their response, Iran saa hz Ayatollah dela katupa yuko kwenye handaki hana kobaz minywele mgongo mzima kama sokwe
Muajemi hana masihara akikuahidi kipigo lazima akukande.π missiles na drone zimepiga target Iran amepeleka drone 500 na na pia Missiles nyingi zimefika kwenye target, nyie bakini mnaimba hapa, na Israel hatasubutu kurudisha kipigo, hio ilikuwa ni break fast.
Iran ni level ingine.
Akili za kiuslamuIsrael anazuia Media zisichukue sehemu walizo pigwa, eti aibu ikiwa US anakiri eti madhara c makubwa vile π
Watakiri wamepigwa vibaya c aibu kwao, haya c anajidai atalipa tuone sababu Iran kamuambia asisubutu atajuta maisha yake kwa kipigo atakacho pondwa, akigusa Iran.
OkHasira za nini ππππ
Hiyo Al Jazeera naingalia tangu Jana usiku.
Hivi sio vita vya kidini,mvaa kamba ya mbuzi shingoni.Tumia akili.Hivi ni vita vya kisiasa.Kwa hiyo Nyetapaka kavua kibakuli kichwani,kakimbilia kwrnye handaki ya nyumba ya Bilionea wa Israel.Ikulu kaikimbia.
We unaelewa siasa, manake Israel inalazimisha kupora kijeshi ardhi ya waarabu wa Palestine kwa msaada na maslahi ya marekani.Hivi sio vita vya kidini,mvaa kamba ya mbuzi shingoni.Tumia akili.Hivi ni vita vya kisiasa.Kwa hiyo Nyetapaka kavua kibakuli kichwani,kakimbilia kwrnye handaki ya nyumba ya Bilionea wa Israel.Ikulu kaikimbia.
Yeye Iran akitumiwa idadi kama hiyo aliyorusha, anaweza kuyazuia!?π drones ndio nyingi yani Iran anatumia tactics ya hali ya juu na Israel anasaidiwa na Jordan na US, yule mwarabu Fala sana.
Missiles zote karibu 90% zimepiga target ni 10% ndio zimeangushwa.
Hizo drone hata atungue 500 ndio anacho taka Iran kumaliza hizo missiles za Air defence system π
Ziko nyingine bado njiani mchezo haujaisha bado
Hicho ndicho Iran wanataka, Israel ijibu Mapigo ili vita kamili ianze wapate kutest makombora ya nyuklia, na kuna nchi pia zitauzia Iran silaha ili zikatestiwe kwa kupigwa Israel,Yeye Iran akitumiwa idadi kama hiyo aliyorusha, anaweza kuyazuia!?
Nice observation. Bila Iran kugongwa, hiyo sapoti anayotoa itaendelea.Hapa naona ni kama US na Usrael walitafuta sababu ya kumshambulia Iran naona kama wamechoka kupambana na wapambe wake yaani Hamas, Hought na Izbulaah ambao ni kama Iran hapati athari za vita za moja kwa moja sasa na yeye ataenda kuonja athari za vita na hapo baada ya vita ndipo kunaweza kuwa na amani ya kudumu middle East. Ilikuwa ni ngumu kutokomeza hivi vikundi vitatu bila kudeal moja kwa moja na anaye watuma na kuwadhamini.
Makombora yanaonekana kutua kuelekea yalikokusudiwa wewe unasema yametunguliwa.Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...
Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.
View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442