Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

Nice observation. Bila Iran kugongwa, hiyo sapoti anayotoa itaendelea.
Open your mind. Iran ina nyuklia mind you, na ni nchi tajiri na ina allies kama Turkey, China na Russia. Sio vita ya nchi mbili jinsi unawaza kwa mtazamo wa kuchakazwa gaza isiyo na serikali wala silaha, ndo maana US wanadiscuss njia za amani na sio vita. Iran hatagongwa, watagongana na Israel. Shule zimefungwa Israel baada ya makombora ya jana watu Israel wameambiwa wakae mkao wa kukimbia mda wote ukiona kombora linashuka!!

Source : Al Jazeera TV 📺
Amka
 
Makombora yanaonekana kutua kuelekea yalikokusudiwa wewe unasema yametunguliwa.
Jerusalem ndipo ilipo nyumba moja ya Netanyahu.
Msemaji wa kijeshi wa Israel anasema "idadi kubwa" ya makombora ya Iran yalitunguliwa ila hasemi kuhusu yale makombora ambayo hayakutunguliwa yalipiga wapi , ni mangapi na hali ikoje huko ambako watu wamejifungia basement!!
 
Huu mzozo propaganda zitashinda hata kama unashindwa kwenye vita. Tulichokiona na kushuhudia kule russia/ukraine ndio kinaenda kujirudia huku.israel vs iran.

Huu kidogo utakuwa wazi. Maana media nyingi za kiarabu zitaonyesha kile halisi kinachotokea.
Maoni yangu.. wakae kwenye meza ya mazungumzo.
 
Kwanza kwa vingora na taarifa za kabla na baada ya iran kurusha makombora, imewafanya waizrael waishi kwa shida na tabu...
Acha nao waonje machungu wanayopitia wapalestina.
 
Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...

Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.


View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442

Huna hata akili hata hujui iron dome israel kaitoa wapi unabwabwaja tu akili za taifa teule
 
Hapa naona ni kama US na Usrael walitafuta sababu ya kumshambulia Iran naona kama wamechoka kupambana na wapambe wake yaani Hamas, Hought na Izbulaah ambao ni kama Iran hapati athari za vita za moja kwa moja sasa na yeye ataenda kuonja athari za vita na hapo baada ya vita ndipo kunaweza kuwa na amani ya kudumu middle East. Ilikuwa ni ngumu kutokomeza hivi vikundi vitatu bila kudeal moja kwa moja na anaye watuma na kuwadhamini.
Facts
 
Israel anazuia Media zisichukue sehemu walizo pigwa, eti aibu ikiwa US anakiri eti madhara c makubwa vile 😄

Watakiri wamepigwa vibaya c aibu kwao, haya c anajidai atalipa tuone sababu Iran kamuambia asisubutu atajuta maisha yake kwa kipigo atakacho pondwa, akigusa Iran.
waislam sijui mlilogwa na nan
 
Inadhaniwa kuwa Iran ina silaha za nyuklia ambazo inatafuta pa kwenda kufanya majaribio na inaweza kuwa Israel ambako raia wake wote wanaichukia sana.
Uongo, Iranians hate the Islamic regime of Ayatollah.
 
Wayahudi na wazungu wanawadekeza hawa waarabu na waajemi waliokuzwa ktk imani ya chuki na ubaguzi wa kidini. Magaidi hawachagui pa kupiga wao wanatumia pesa nyingi kujilinda na kuchagua pa kupiga, walitakiwa kurudisha majibu kwa namna ile ile magaidi wanavyofanya ndiyo wangekoma, la sivyo ugaidi hautaisha duniani. Unafuataje sheria za kivita kwa mtu asuyefuata sheria!
 
Sawa nikuamini anazuia media, ila humo Israel kuna waislamu, unataka kusema hakuna hata mvaa dera mmoja mwenye simu achuke video dirishani kwa mbali atuonyeshe walau hata kifusi kimoja.
Mpaka natumai mumejifunza kitu, kwamba uwezo wa kuipiga Israel hamna, wacha tusklizie majibu.
dogo Iran hakupiga civilian target zote ni military facilities na sehemu muhimu sana kwa Israel, huyo c kichaa avunje majumba ya raia au kuwauwa watoto na FYI angeweza kurusha hizo drone au missiles bila hata Israel kujua


Kafanya maksudi kuwafonyesha Us na Israel natuma missiles haya zitungurni basi tuwaone kama mnaubavu huo wa kuziangusha zote 😄
 
Hapa naona ni kama US na Usrael walitafuta sababu ya kumshambulia Iran naona kama wamechoka kupambana na wapambe wake yaani Hamas, Hought na Izbulaah ambao ni kama Iran hapati athari za vita za moja kwa moja sasa na yeye ataenda kuonja athari za vita na hapo baada ya vita ndipo kunaweza kuwa na amani ya kudumu middle East. Ilikuwa ni ngumu kutokomeza hivi vikundi vitatu bila kudeal moja kwa moja na anaye watuma na kuwadhamini.
Una akili sana huku Urusi yuko na Ukrein hawezi kuingilia IRAN akiwa anapigwa mchina muoga kiduku huwezi kua nae na uhakika USA ni muhuni sana
 
Hii sasa ni vita kubwa na mpya between two super powers Iran na Israel maana Iran ni nchi tajiri yenye msuli mkubwa wa kijeshi na pia ina washirika kama Russia na China ambao wanaweza kutuma silaha zikajaribiwe kwa kuipiga Israel, Israel na dunia ya wazungu sasa wamepata kitisho kikubwa na msemaji wa kijeshi wa Israel anaongea kuwa baadhi ya makombora yametua na kuleta hasara na binti mdogo kuumia, Israel wanafanya vikao kujadili mbinu za kujilinda, Israel wameomba msaada wa dharura wa kulindwa kutoka Marekani ambako leo kuna kikao kizito chini ya President wao aliekatisha safari zake na kurudi Washington kuja kujadili barua ya maombi ya Israel na nini kifanyike kuilinda Israel kwa njia za kidiplomasia, kutatua mzozo mpya kwa njia za amani, yaani marekani hawataki kabisa hiyo Vita mpya, haijulikani wanahofu nini.

Wakati huo huo katibu mkuu wa UN ameitaka Iran kuacha vita hiyo akisema dunia haina tena nguvu kuhimili vita mpya ya giants wawili Iran na Israel, maana balaa lake ni kubwa kwa nchi zote mbili baada ya Iran kusema wanasubiri Israel ijibu. Inadhaniwa kuwa Iran ina silaha za nyuklia ambazo inatafuta pa kwenda kufanya majaribio na inaweza kuwa Israel ambako raia wake wote wanaichukia sana.

Vita sasa ni kubwa maana jana Iran imechukua kibabe baharini meli ya Israel iliyokuwa na shehena ya mzigo wa Israel na Israel hawakuweza kuzuia zaidi ya kulalamika kuomba Iran iwekewe vikwazo na EU.

Shule zimefungwa huko Israel na raia wa Israel wameambiwa na jeshi lao wajilinde. Hofu imetawala.

Raia wa Iran Leo wanakusanyika mitaani na kusherehekea kuanza vita na Israel kwa mara ya kwanza katika historia yao. Kiongozi wa Iran amesema Israel imeingia cha kike kushambulia ubalozi wao wa Syria ambako ni mshirika wao watakoma na wameionya US kuingilia Vita hiyo na kuwa tayari kuadhibiwa na wao washirika wote wanaoisaidia Israel.

Israel imeomba kufanyike kikao leo cha baraza la usalama la umoja wa mataifa kujadili mashambulizi ya Iran huko Israel na kukitaka kikao kilaani mashambulizi hayo. Iran imejibu hoja na kusema kikao kikikaa kilaani mashambulizi ya Israel kwenye ubalozi wao huko Syria ambako kuna maofisa wakubwa wa Iran walikufa.

Kwasasa duniani kuna kususiwa bidhaa za Israel ambako makampuni ya Israel yanafunga biashara na watu kuachishwa kazi, hii ni hatari sana kwa ustawi wa Israel.

Hivi sasa ndio vita kubwa imeanza maana baada ya baadhi ya drones na missiles kutunguliwa na zingine kutua kama Iran inavyodai, Israel ikijibu kama ambavyo wameahidi kulipiza, Iran itatuma ndege zisizo na rubani, sasa ndo kumekucha, Iran inapenda sana vita, iliwahi kupigana na Iraq ya Saddam kwa miaka 8 hadi pale makombora yenye hewa ya sumu yalipotumika na watu kufa kwa wingi huko Iran.

Kitu kizuri Israel inazuia uchukuaji wa picha za athari ya vita na ina iron Dome inayotungua baadhi ya makombora mengine yanapenya.

Wakati huo huo kuna makombora yanatumwa Israel toka Lebanon

Source: Al Jazeera TV mda huu kila kitu kinaongelewa.

Sisi bongo ni nyasi zitakazoumia kwenye vita ya tembo baada ya bei ya mafuta kupanda bei, bei ya bidhaa kupanda na nauli kupanda.
Acha ushabiki mandazi nchi zenye nuclear vita hiwezi kua rahisi ivyo au hujui kwamba huyo kibaraka wa US ana nuclear
 
Bora Iran ame ni expose ili dunia imshighulikie na sio kama alivyokuwa anatuma askari na vifaa kujifanya Hamas
 
😄 missiles na drone zimepiga target Iran amepeleka drone 500 na na pia Missiles nyingi zimefika kwenye target, nyie bakini mnaimba hapa, na Israel hatasubutu kurudisha kipigo, hio ilikuwa ni break fast.

Iran ni level ingine.
NISISIKIE NYOKO NYOKO CEASE FIRE
 
Nimejikuta nacheka, yaani makombora 500 yote hakuna hata moja limepiga popote, kwa keli waburuza dera/kanzu mnatia huruma, huyo hapo Iran ndiye kiongozi wenu nyote...ndiye alikua tegemeo lenu duniani....
''Shambulio hilo halikulenga maslahi yoyote ya kiraia au kiuchumi, badala yake lililenga mali za kijeshi, haswa kituo cha kijasusi katika Mlima Hermon ambacho kilitumika kuwezesha shambulio la ubalozi mdogo wa Irani nchini Syria, pamoja na Nevatim Airbase katika jangwa la Negev kutoka. ambapo ndege za kivita za Israel zilizolenga ubalozi mdogo zilizinduliwa.

Bagheri alisema wote wawili "waliharibiwa sana na walemavu" na akaonya kwamba Iran inaweza kufanya mashambulizi "mara kumi zaidi".

Wasiwasi wako ni nini? mbona G7 saivi hawaishi vikao kujadili mnyama alivyojibu mapigo?? toa video zako uchwara hapa Iran imekiri wamefanikiwa hassa kwa kiwango walichotaka.
 
brazaj na wavaa dera wenzako mshukuru sana sayansi ya Israel, maana yule akbar akbar ameshindwa kupalinda.
Mshukuru sana sayansi ya Israel imeweza kulinda hilo eneo lenu ambalo huwa mnaliamini sana tena kwa mizuka...

Surreal images of Israel's Iron Dome intercepting Iranian drones and missiles over Temple Mount in Jerusalem--the holiest place in the world for Christians, Jews and Muslims.


View: https://twitter.com/alexsalvinews/status/1779293386601566442


Kumbe mwamba ngoma aliacha lini kuvutia kwake?

IMG_20240414_101754.jpg


Habari ndiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom