Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

Si umesikia jamani alikua na mapepo mpendwa πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ...sasa mapepo ni aina fulani za rohowachafu...
Kuna afya ya akili sure...ila pia kuna hizi mambo pia..
😁😁 yani tunaishi kama bado tupo karne ya 7.

Kwa hiyo nikija nikakuambia roho wasafi wameniambia wewe ni mke wangu utakubali tuπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
😁😁 yani tunaishi kama bado tupo karne ya 7.

Kwa hiyo nikija nikakuambia roho wasafi wameniambia wewe ni mke wangu utakubali tuπŸ€ͺπŸ€ͺ
Watakua wanadanganya...πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Hupaswi kupinga kuhusu hizi roho labda kama unataka tuu kuwa mgumu...ref Jesus Christ alivyowaondolea pepo wachafu watu zama zile...yale mapepo yalikua yanafanya destruction ndani ya mtu...ndo kama hvyo akili zinayumba n.k
 
Ngoja tuishi tu humoπŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…