Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

Ohh Tanzania, ni lini tutabadilika? Yaani kale kaboti kamekaa kama zile gari za abiria za zamani "Chai Maharage." Yaani hakuna kizuizi wala security. Hii kampuni ya usafiri inabidi waangaliwe vizuri kuhusu usalama wa abiria. Bure kabisa.

Halafu kwa nini ushahidi wa tukio umesambaa kwenye Social media hata kabla ya uchunguzi wa vyombo vya usalama. Nani kasamba hizo video. Upande mwingine ni vizuri mlivyofanya kwani zile video zinaonyesha mlicyokuwa hamjali usalama wa abiria wenu......wapuuzi wakubwa.

Kama kuna mtu anaifahamu familia ya huyo kijana, washaurini watafute lawyers wazuri. Hapo lazimwa walipwe hela nzuri sana kwa uzembe wa Shirika hilo la meli. Nina uhakika Kuna lawfirm nyingi ambazo zinaweza kuchukua hii kesi kwa makubaliano ya % kesi ikiisha. Mbuzi kabisa.

Zile Barrier pale hata mtoto wa miaka 5 angeweza kuziruka, sembuse huyo kijana mwenye matatizo ya akili. Nchi ya ajabu sana hii. Mpira wa miguu umewashinda, miundombinu hamna , basi hata kuhakikisha usalama wa hao raia maskini mmeshindwa! Kipi mnaweza nyie?
Umeandika upupu tu,

Kwahiyo mtu akijirusha kwenye dirisha la basi tena likiwa katika mwendo mkali akapoteza maisha, tunaweza kuishitaki kampuni ya mabasi kwa kununua mabasi yenye madirisha ambayo hata mtoto wa miaka mitano anaweza kuruka!!?
 
Daah inasemekana jamaa alikuwa mgonjwa wa afya ya akili na kabla hata ya safar alimpigia mama yake simu akimweleza kwamba anaumwa sana mama yake akamsihi sana atulie na inaonyesha huyo jamaa aliyevaa tishezi nyeupe ndie aliyekabidhiwa kumchunga ila ndio hivyo sijui alisinzia ama vip
Dah!...pole kwa wafiwa.
 
Daah inasemekana jamaa alikuwa mgonjwa wa afya ya akili na kabla hata ya safar alimpigia mama yake simu akimweleza kwamba anaumwa sana mama yake akamsihi sana atulie na inaonyesha huyo jamaa aliyevaa tishezi nyeupe ndie aliyekabidhiwa kumchunga ila ndio hivyo sijui alisinzia ama vip
Dah!...pole kwa wafiwa.
 
Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boat inayosemwa ni ya Azam iliyokuwa ikitoka Dar es salaam kwenda Unguja leo Februari 11, 2019 majira ya saa 6 mchana.
Sio mara ya kwanza kwa tukio kama hili...
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Bahari Zanzibar Shekha Ahmed Mohamed, amekiri kupokea taarifa za kujirusha baharini kwa kijana huyo Mahmoud Mwalim Saleh ‘30’ wakati akiwa kwenye Boti ya Zanzibar 3 iliyokua ikitokea Pemba kurejea Zanzibar

Tukio hilo limetokea majira ya saa 4:30 asubuhi wakati Boti hiyo ikitokea Pemba ilipofika eneo la Fungu Mayale ndipo kijana huyo alipojirusha.

Boti hiyo ilizunguka maeneo hayo mara tatu kwaajili ya kufanya doria ya kumtafuta lakini haikufanikiwa kumuona, pia Kikosi cha KMKM kilifanya juhudi za kumtafuta lakini hakuonekana.

ANGALIA VIDEO
View attachment 2879455

View attachment 2879456
da!! usikute majuma wa buza ndo kamchanganya kijana wa wa2!! very sad!!
 
Mama take mzazi keshaongea, alikuwa na ugonjwa wa wasiwasi.....wataalamu watudadavulie vizuri huu ugonjwa

Anxiety disorder

A mental health disorder characterised by feelings of worry, anxiety or fear that are strong enough to interfere with one's daily activities.
Examples of anxiety disorders include panic attacks, obsessive-compulsive disorder and post-traumatic stress disorder.
 
Daah inasemekana jamaa alikuwa mgonjwa wa afya ya akili na kabla hata ya safar alimpigia mama yake simu akimweleza kwamba anaumwa sana mama yake akamsihi sana atulie na inaonyesha huyo jamaa aliyevaa tishezi nyeupe ndie aliyekabidhiwa kumchunga ila ndio hivyo sijui alisinzia ama vip

Aliepewa kumchunga kakaa dirishani. Hilo ndo kosa la kwanza. Common sense isn't common.
 
Back
Top Bottom