Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

mental health is real.....kule Facebook kuna wagonjwa wengi wa akili....ukitaka kulifahamu hilo nenda Facebook tafuta group la vyakula vya kitanzania....nafikili hata admins wao ni wagonjwa ila suala la muda tu....
Sasa ww ulifata nini km na wewe sio mgonjwa 🤣🤣🤣
 
Daah inasemekana jamaa alikuwa mgonjwa wa afya ya akili na kabla hata ya safar alimpigia mama yake simu akimweleza kwamba anaumwa sana mama yake akamsihi sana atulie na inaonyesha huyo jamaa aliyevaa tishezi nyeupe ndie aliyekabidhiwa kumchunga ila ndio hivyo sijui alisinzia ama vip
Sasa anaemchunga ndo anakaa dirishani na mchungwa yupo huru kabisa.
 
Mzungu unaemuamini hashindwi kitu..hilo haliwezi kumbe??
Ungeelewa namaanisha nini usingekuwa unaleta ubishi usiokuwa na mantiki yoyote.Samahani unapenda kubishana au kuelekezana?

Kama unataka kujifunza, hii itakusaidia.

The Renaissance: Home​


What was the Renaissance?



The Renaissance was a fervent period of European cultural, artistic, political and economic “rebirth” following the Middle Ages. Generally described as taking place from the 14th century to the 17th century.


Some of the greatest thinkers, authors, statesmen, scientists and artists in human history thrived during this era, while global exploration opened up new lands and cultures to European commerce.


During the 14th century, a cultural movement called humanism began to gain momentum in Italy. Among its many principles.

Humanism promoted the idea that man was the center of his own universe, and people should embrace human achievements in education, classical arts, literature and science.


 
mental health is real.....kule Facebook kuna wagonjwa wengi wa akili....ukitaka kulifahamu hilo nenda Facebook tafuta group la vyakula vya kitanzania....nafikili hata admins wao ni wagonjwa ila suala la muda tu....
Eti wanakaanga maharage
 
Mwamba alikuwa na chupa huenda kuna kilevi alikuwa anakunywa hata miondoko yake aliponyanyuka alikuwa anayumba.

Wanasema alikuwa ana matatizo ya akili. Tatizo la afya ya akili ni janga kubwa lililojificha kwenye jamii
 
mental health is real.....kule Facebook kuna wagonjwa wengi wa akili....ukitaka kulifahamu hilo nenda Facebook tafuta group la vyakula vya kitanzania....nafikili hata admins wao ni wagonjwa ila suala la muda tu....
kwann mkuu?
 
shame on me ?! What about you idiots who are brainwashed with stupid muslim dotrines that if you kill people ati utapewa mabikra na mbo.o isiyolala, WHAT THE FUC*K IS THAT ?! Yani maislamu mbinguni ati yatakua yanatombana tu ?! How owful is that morons
Seek medical help ASAP, mental health is real dude🔨
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Bahari Zanzibar Shekha Ahmed Mohamed, amekiri kupokea taarifa za kujirusha baharini kwa kijana huyo Mahmoud Mwalim Saleh ‘30’ wakati akiwa kwenye Boti ya Zanzibar 3 iliyokua ikitokea Pemba kurejea Zanzibar

Tukio hilo limetokea majira ya saa 4:30 asubuhi wakati Boti hiyo ikitokea Pemba ilipofika eneo la Fungu Mayale ndipo kijana huyo alipojirusha.

Boti hiyo ilizunguka maeneo hayo mara tatu kwaajili ya kufanya doria ya kumtafuta lakini haikufanikiwa kumuona, pia Kikosi cha KMKM kilifanya juhudi za kumtafuta lakini hakuonekana.

ANGALIA VIDEO
View attachment 2879455

View attachment 2879456


Ninajua mambo 2 kwa hakika:

- Wakati anazama kabla ya kufa kuna point alijuta.

- Huko alipo mda huu anajuta kujitumbukiza mtoni!

Maisha duniani hata kama ni magumu kiasi gani, usijiue / usijitoe uhai.
 
Back
Top Bottom