Uchaguzi 2020 Video: Kiongozi wa CCM asema Mungu apende au asipende wao kushinda ni lazima

Unapoiba kura kwani unamuomba Mungu akusaidie uibe kura??!! Si ni Mungu anawekwa pembeni then katafunua zinafata. Aka goli la mkononi.

Mi naona huyu kayatamka maneno hadharan tu tumesikia lkn huu ndio ukweli mchungu wakati wanapopiga goli la mkononi.
 
Aliteleza tu msameheni - siku zote kufikiria kabla ya kutenda/ kutamka huwa ni jambo zuri

Hata hivyo ni wazi kuwa CCM lazima ishinde
Hiyo aviator ni wewe?!? 😲. Mbona we mtumzima arifu!
Kama yeye kateleza mpaka waitikia kibwagizo nao wameteleza!
Mtu km kateleza wajumbe wenyewe hata wange mute basi. Sasa na wenyewe wameitika kibwagizo km mara zote.
Hamna kuteleza hapo bwashee.
 
Hawa jamaa wanajua wafanyalo aisee
 
Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Mpuzi wewe! Sikiliza vizuri, tuliza akili!
 
Huyu kaongea fyongo sana kakufuru.
JPM mwenyewe anamtegemea Mungu,kila atua dua kila atua maombi kwa Mungu,sasa huyu anasema utumbo gani!!
 
Umenikumbushabali aisee habari za Alfu lela ulela, bulicheka, umslopogazi, wagagagigikoko na safari za Sinbad.
 
Huyu mdada anafanya kufuru kubwa...............

Mungu atawaonyesha kuwa yeye ndiyo mkuu kuliko kitu chochote hapa duniani..............

Na ukuu wake atauonyesha kwenye uchaguzi mkuu hapo tarehe 28/10/2020
 
Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Acha kujinyea,sikiliza hiyo clip
 
Duh hizi dharau sasa kwa baba muumba,mtu anajitoa ufahamu hadi kukana nguvu za mwenye dunia yake,huyu mama inaonekana dini yake ni ya kingunge
 
Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Historia huwa haiandikwi upya.

Kipi alichoandika mleta mada kilichotofauti na alichosema kada huyo wa CCM?

Kusema ukweli bila mapendeleo kwa alivyosema kada, mleta mada mbona kamstahi mno?

Hii ya kuwa eti nukuu au hakunukuu kutaka kuhamisha magoli katikati ya mechi, kajidanganyeni wenyewe Lumumba. Hatudanganyiki!
 
CCM wameanza kutoa siri zao waziwazi, alianza mgombea wao wa urais, akaja mkurugenzi wa NEC wakaja polisi tunasubiri Mungu atumie mifano gani zaidi.
 
Huyu kaongea fyongo sana kakufuru.
JPM mwenyewe anamtegemea Mungu,kila atua dua kila atua maombi kwa Mungu,sasa huyu anasema utumbo gani!!
Unamtegemea Mungu afu kwenye utawala wako kumejaa utekaji, mauaji, utesaji, unyanyasaji, uonevu, hila, ubaguzi, ubabe, dhihaka, chuki nk?

Unless aseme huyo Mungu anaye mtamka ni yupi.
 
Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Kwel ww uelewa wako bado ni mdogo kwa hiyo umeshindwa kuelewa hapo , sijui ndo tuseme kichwa chako ni kibovu
 
CCM walaaniwe kwenye uchaguzi huu kupitia maneno yao ya dhihaka kwa Mungu wetu.
 
CCM mungu wao ni magufuli walisema au hawakusema ? Eti amezuia corona na jamaa hajakanusha inakuwa kama hajasikia vile.
Hapo ni kipimo kwa Wakiristo na Waislamu waliomo ndani ya CCM na bakwato yao ,wamefika sasa wanakufuru waziwazi, hivi watu wenye dini zetu tunaofuata miongozo tuna kosa gani kama hatukuwapa kura zetu,japo kuwa tayari waislamu wa uraiani wameshajitenga na CCM

Na mwaka huu hakuna Muislamu alie uraiani awe ccm au chama kingine anaichagua ccm, amepunguza hasira anajikalia nyumbani ana hasira nyingi anaenda kuipeleka kura yake kule ambako wameapa kuwaachia mashehe wa Uamsho na wadini zingine walio magerezani bila ya hukumukwa miaka mingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…