Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu hakuteleza maana amerudia kama mara tatu. Alidhamiria alichokisema!Aliteleza tu msameheni - siku zote kufikiria kabla ya kutenda/ kutamka huwa ni jambo zuri
Hata hivyo ni wazi kuwa CCM lazima ishinde
Mkuu embu toa ufanuzi juu ya hiyo kauli.Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Hii ni kufuru,dhiakaNimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
eeh madaraka ni ulevi mkali kuliko gongoHuo ndio ulevi wa madaraka sasa.
Nakuweka kwenye kundi la waelewa.Huyu kaongea fyongo sana kakufuru.
JPM mwenyewe anamtegemea Mungu,kila atua dua kila atua maombi kwa Mungu,sasa huyu anasema utumbo gani!!
Yeye mwenyewe kule chamani wanamwita 'mungu' huenda huwa anamaanisha 'mungu' wa chamani kwao huko.Mwenyekiti wao huwa anasema tumtangulize Mungu huwa anaongea Mungu gani ambaye huyu mwanachama maamuma hamjui?
Hakutoka ukumbini,na sijui kama hata kikao kilimalizika.Maana shahidi wangu aliyekuwa ukumbini aliwahi kukimbia na akapata habari zake keshafika nyumbani.Tastizo anazungumza na wanawake watupu hapo, japo wana masharubu na ndevu waumini wasiojielewa wanashindwa kusimama na kumsimamisha kumpa onyo hapo hapo.
wanashindwa na yule jamaa wa Simba aitwae Manara .alimpandishi jazba jamaa mmoja na kumwambia tusiingiliane katika mambo ya dini kama ni mpira tuzungumze mpra.
Mimi hapo ningempa yake kisha nikaondoka wazi wazi ,ila sijui kama yupo hai au anaumwa ,jamaa moja kama yeye alisema maneno mfano wa hayo kule Zanbar wakikutana CCM namna hio hio na kuwataka wanaoamini Mungu watoke baanda ya kunya kama huyo dada ,asubuhi yake jamaa maiti.
Mimi ninachoamini ni kuwakutaka kwa Mungu jambo litokee hakufungamani na mapenzi yake.Mkuu embu toa ufanuzi juu ya hiyo kauli.
Nanukuu: " ushindi wa ccm hauna Mungu akipenda. hili mnalijua? Eehe ushindi wa ccm hamna mpaka Mungu apende, aahaa; Mungu akijalia, aahaa; ushindi wa ccm ni nini? ni lazima" mwisho wa kunukuu.
Jurjani mwalimu wa lugha embu njoo nawewe utoe neno. Je Hapa imemaanishwa Mungu apende au asipende jambo lazima lifanikiwe ama lah?
Ndio kwa sababu kamuomgezea maneno.Kwani maneno aliyoongea hugo ccm na mtoa mada yanamaana tofauti
Umeelewa?Ndio kwa sababu kamuomgezea maneno.
Kwa nini aongeze maneno ?
Kwa mujibu wa mfano wako huu uliotoa Hazitofautiani.Umeelewa?
Kwani nikisema
Juma yupo sokoni Leo
Wewe ukasema
Juma Ameenda sokoni Leo
Hapo mimi na wewe maana zetu zinatofautiana?
Nayaelewa kwamba CCM wanaweza wakashinda kwa figisu zao na Mungu akawa hajapenda lakini ametaka washinde.Maneno ya kusema Ushindi hautegemei Mung kupenda unayaelewaje?
Lucifer pia ni mungu na ndio mungu wao hao jamaa zetuMwenyekiti wao huwa anasema tumtangulize Mungu huwa anaongea Mungu gani ambaye huyu mwanachama maamuma hamjui?
Wapi kasema "MUNGU AKIPENDA AU ASIPENDE"...?Acha kujinyea,sikiliza hiyo clip
Haa!,,,hapana bwashee,umeelwewa tofauti.Basi sawa, maana kwa kauli yako nilihisi eti unajaribu kunikata me mkwara!!