safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Kwel ww uelewa wako bado ni mdogo kwa hiyo umeshindwa kuelewa hapo , sijui ndo tuseme kichwa chako ni kibovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel ww uelewa wako bado ni mdogo kwa hiyo umeshindwa kuelewa hapo , sijui ndo tuseme kichwa chako ni kibovu
[emoji23][emoji23][emoji23] haina shida bwashee, pamoja!!Haa!,,,hapana bwashee,umeelwewa tofauti.
Hatujadili kuamini kwako bali tunataka maana aliyokuwa anamaanisha aliyetoa kauli.Mimi ninachoamini ni kuwakutaka kwa Mungu jambo litokee hakufungamani na mapenzi yake.
Yani sio kila jambo linalotokea basi Mungu kapenda,mimi sina imani hiyo.
Kuna madhambi duniani na Mungu anaweza kuyaondoa lakini anakamilisha ahadi ya kutujaribu hapa,ila sio kama kutokea kwa madhambi ati Mungu kapenda.
Kwa hiyo mkuu huyo mama kusema hivyo pengine ana maana zake.
Hapa sitetei maneno yake,na wala sitetei mtoa mada kuomgeza maneno,kwa nini aongeze maneno mtoa mada,maneno ya mama hayakujitosheleza ?
Kuhush kauli ya huyo mama atajua mwenyewe nia yake ilikuwa nini.
Ila kuomgeza maneno yake chumvi ili tuipate nia tunayoitaka sisi sioni usahihi wake
Blaspheming! She looks drunk.Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Mungu yupi?Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Mungu yupiii?Hawa wanajikweza hata juu ya Mungu.. Anguko lao litakuwa kuu sana
Sikiliza clip tena! Acha ubishi.Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Laana imeanza kuwaingia kichwani. Hata kwa Pharaoh ilikuwa hivi hivi. Mungu alimpa kiburi na akumshupaza shingo ili kumwangusha kiulaini. Mfalme Nebukadneza naye hivyo hivyo. Neno la Mungu haliongopi. Anguko la CCM haliko mbali.
Yaani CCM mmefika hatua hii? Kwamba watu wapende, wasipende, Mungu apende, asipende...! Hata tukimpiga kura Rungwe, bado NEC itawatangaza washindi? Ukisikia masikio kuzidi kichwa ndio haya sasa.
Ni kweliii kabisa, sasa miunguuu yote wamsikilize yupiii?Amesema hawategemei mapenzi ya Mungu ili washinde. Ni wao tu
Mungu yupiii?Sikiliza clip tena! Acha ubishi.
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Eti hawa wapumbavu ndio TISS onawaunga mkono kwa hali na mali!? Idara hii imeharibika sana sanaaaa!Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Do no misinterpret the clip. Unapotosha.
Eti hawa wapumbavu ndio TISS onawaunga mkono kwa hali na mali!? Idara hii imeharibika sana sanaaaa!
Hakusema "Mungu akipenda au asipende" hapo umetia chumvi japo kuwa sisapoti alichosema, ila na wewe sikusapoti kwa kuongeza chumvi kwenye maneno yake.
Ili ujue maana lazima uangalie maneno.Hatujadili kuamini kwako bali tunataka maana waliyokuwa wanamaanisha aliyetoa kauli.
Sio kutetea uovu.Dah ,muogope Mungu wako unapo tetea Uovu.
Ili ujue maana lazima uangalie maneno.Hatujadili kuamini kwako bali tunataka maana waliyokuwa wanamaanisha aliyetoa kauli.
Sio kutetea uovu.Dah ,muogope Mungu wako unapo tetea Uovu.
Sema hata ikishindwa ni lazima itangazwe na Tume yake.Aliteleza tu msameheni - siku zote kufikiria kabla ya kutenda/ kutamka huwa ni jambo zuri
Hata hivyo ni wazi kuwa CCM lazima ishinde
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa