Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
She has kicked a bucket within no time!kwenye post kama hii huwez kukuta wazee wa elfu saba saba hata mmoja hilo shangingi lenyewe acheni life kmmk , kuyapunguza masengelema kama hayo ni Muhimu Mungu mwenyewe kaona upuuz wake kamwita fasta
Apo pengine wame mtanguliza kauli yake ilikuwa msumari sana kwa watawalaUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Mungu hadhihakiwi,Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Mkuu????Ccm wamefika hatua ya kumkufuru Mungu. Ila wakumbuke tu kwa hatua hii waliyofikia basi wajue huu ndo utakuwa mwaka wao wa mwisho kutawala Tanzania kwa sababu siku zote, hakuna aliyewai kumkufuru Mungu alafu akabaki salama. Mifumo ni mingi ila hawa ni baadhi yao👇
View attachment 1596523
Ndiyo sababu Mungu kamtwaaNimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Na iwe hivyo.......Kabla ya juni 2021 huyo anaejiita jiwe ataungana na huyu. [emoji2959][emoji2959][emoji33]
ALIYEKUFA SIO YEYE.AMEKUFA HATIMAYE!
Aliyekufa sio yeye.Mungu apende asipende CCM itashinda haya Mungu naye kampenda zaidi sasa , bado yule anayepokea utukufu wa Mungu ilihali ni binadamu kama sisi .
Kwa bahati mbaya sana aliyekufa sio yeye.kwenye post kama hii huwez kukuta wazee wa elfu saba saba hata mmoja hilo shangingi lenyewe acheni life kmmk , kuyapunguza masengelema kama hayo ni Muhimu Mungu mwenyewe kaona upuuz wake kamwita fasta
Kwa bahati mbaya sana aliyekufa sio yeye.
Aliyekufa ni mama mpemba mkazi wa unguja,huyu mama wa ccm wa kwenye clip bado anapeta tu kitaa.
Huu ndio unaitwaga upumbavu wa shetani. Sasa ikiwa Mungu ni Mkuu kuliko nguvu anayoitegemea huyu mtu anayenena kwa upumbavu, madhara ya kiburi na kufuru hii, yampate yeye na si Taifa la Tanzania. Mungu naomba Rehema kwa ajili ya uzao wangu, familia yangu na Taifa la Tanzania. Kwa Jina La Yesu wote tuseme "Amina".Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?
Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa
Atakufa tuKwa bahati mbaya sana aliyekufa sio yeye.
Aliyekufa ni mama mpemba mkazi wa unguja,huyu mama wa ccm wa kwenye clip bado anapeta tu kitaa.