Uchaguzi 2020 Video: Kiongozi wa CCM asema Mungu apende au asipende wao kushinda ni lazima

Uchaguzi 2020 Video: Kiongozi wa CCM asema Mungu apende au asipende wao kushinda ni lazima

Anko Magu sio Mungu lazima ccm itafyekelewa mbali na Mungu Mwenyezi
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?

Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa

 
"Ushindi wa CCM ni lazima, hata iweje. Kwa hiyo sio mungu akipenda".
Kauli hii umeihelewa vipi kiongozi?
Wewe kwa ufahamu wako unaamini kuwa kila linalotokea basi KAPENDA mungu ?
 
Aliteleza tu msameheni - siku zote kufikiria kabla ya kutenda/ kutamka huwa ni jambo zuri

Hata hivyo ni wazi kuwa CCM lazima ishinde
Mkuu mbona sura yako haifanani na utumbo unaoandika ,sura unaonekana mzee wa makamo mwenye heshima ila comments zako ni utumbo wa ajabu
 
Una jazba kwa sababu ya ujinga na upumbavu wako.
TISS wanapiga kura ? Au wanahebu kura au wanakuwa mawakala? Fala wewe.
Tulia tuwashughulikie

TISS wapo Nec ,TISS wapo Jeshi la Policeccm Tiss wapo mpaka Kabatini kwako wamejifunika Shuka moja na wewe wanaamka na wewe nini Habari ya kupiga Kura Mkuu !!...
 
Kiongozi wa Tawi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee JF na vituko haijambo.
 
Wewe kwa ufahamu wako unaamini kuwa kila linalotokea basi KAPENDA mungu ?
Swali lako ni zuri sana kwa maana ni swali la kielimu kuhusu uweza/ukuu wa mungu. Yapo mambo ambayo ni mapenzi ya mungu moja kwa moja analo taka ndilo huwa. Na yapo mambo ambayo mungu ametupa nafasi yakuchagua aidha uongofu ama upotevu.

Hoja ya msingi hapa ni kwamba umekataa kwamba kiongozi hakutamka maneno hayo, ndio nikauliza namna ulivyo elewa wewe katika matamshi ya kiongozi kwenye hiyo video.

Kwa maana hiyo tamko la kiongozi bado litakuwa ni kosa mbele ya mungu. Kama kiongozi hakustahili kutoa tamko la aina hii.
 
Yapo mambo ambayo ni mapenzi ya mungu moja kwa moja analo taka ndilo huwa.
Hapa umechanganya mambo mawili.

1.mapenzi ya Mungu.

2.analotaka huwa.

Kwenye namba 1 (mapenzi ya Mungu)yapo hayo mambo kweli tunakubaliana.ila jee kila linalotokea ndo analolipenda,au kila analolipenda lazima litokee ?

Hapa namba 2(analotaka huwa)hapa sina shaka kabisa kuwa Mungu akitaka kitu yeye husema tu "KUWA" na kinakuwa.


Hoja ya msingi hapa ni kwamba umekataa kwamba kiongozi hakutamka maneno hayo, ndio nikauliza namna ulivyo elewa wewe katika matamshi ya kiongozi kwenye hiyo video.
Kuna maneno aliongeza "apende asipende"

Yule mama hakusema hivo alisema "haina Mungu akipenda,akarudia sana kauli hiyo na wala hakusema "MUNGU APENDE AU ASIPENDE"

Video ipo
 
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?

Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa

Unataka asemeje?. Chama cha Mbowe kitashinda?. Hivi unadhani watanzania wanaweza chagua utopolo kweli?. Hakuna chama hapa Tanzania, cha kuweza shindana na CCM na kushinda bado hakijazaliwa.
 
Huyu kaongea fyongo sana kakufuru.
JPM mwenyewe anamtegemea Mungu,kila atua dua kila atua maombi kwa Mungu,sasa huyu anasema utumbo gani!!
Usipotoshe.. utekaji, utesaji, mauaji, wizi, ufisadi.. Mungu anahusikaje
 
ACT wazalendo na wapenda Uhuru kamili wa zanzibar jitokezini kupiga kura tar 27,mkiwaacha wapiga kura feki tar 27 wapige basi haina hata haja ya kwenda kupiga tar 28 maana mtakuwa mmeshaumia ,Kura zipigwe siku moja tu.

Nasisitiza tena mkiruhusu manyang'au wapige tar 27 mmeumia ,kuna wapiga kura feki wengi sana kwenye daftari la ZEC ambao ndio wataoenda kumpa ushindi "HEWA" mtalii.
 
Aliteleza tu msameheni - siku zote kufikiria kabla ya kutenda/ kutamka huwa ni jambo zuri

Hata hivyo ni wazi kuwa CCM lazima ishinde

Ni kweli ccm lazima ishinde, kama karatasi za kura mnachapisha hapo Jamana Printers, unategemea nini?
 
Yuko sahihi kabisa na napenda peneza upendo atazame hii huwezi kwenda kushindana ukiwa mnyonge shindana ukiwa na uhakika wa kushinda
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?

Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa

 
Hapa umechanganya mambo mawili.

1.mapenzi ya Mungu.

2.analotaka huwa.

Kwenye namba 1 (mapenzi ya Mungu)yapo hayo mambo kweli tunakubaliana.ila jee kila linalotokea ndo analolipenda,au kila analolipenda lazima litokee ?

Hapa namba 2(analotaka huwa)hapa sina shaka kabisa kuwa Mungu akitaka kitu yeye husema tu "KUWA" na kinakuwa.



Kuna maneno aliongeza "apende asipende"

Yule mama hakusema hivo alisema "haina Mungu akipenda,akarudia sana kauli hiyo na wala hakusema "MUNGU APENDE AU ASIPENDE"

Video ipo

Kwahiyo kusema kwake "haina Mungu akipenda" inaleta tafsiri au maana ipi?
 
Inaleta tafsiri nyingi sana kwetu sisi.

Lakini tafsiri sahihi anaijua mwenyewe.
Lete tafsiri yako kwa jinsi ulivyoielewa hiyo kauli. Usiishie kusema inaleta tafsiri nyingi halafu hujaweka tafsiri zako hapa
 
Hapa umechanganya mambo mawili.

1.mapenzi ya Mungu.

2.analotaka huwa.

Kwenye namba 1 (mapenzi ya Mungu)yapo hayo mambo kweli tunakubaliana.ila jee kila linalotokea ndo analolipenda,au kila analolipenda lazima litokee ?

Hapa namba 2(analotaka huwa)hapa sina shaka kabisa kuwa Mungu akitaka kitu yeye husema tu "KUWA" na kinakuwa.



Kuna maneno aliongeza "apende asipende"

Yule mama hakusema hivo alisema "haina Mungu akipenda,akarudia sana kauli hiyo na wala hakusema "MUNGU APENDE AU ASIPENDE"

Video ipo
Unaweza kutupa tofauti ya kutaka na kupenda?
Je inawezekana vipi kitu utake kitu kitokee halafu uwe haujapenda kitokee?
Kwa uwezo na ukuu wa Mungu inashindakana vipi mambo anayopenda yasiweze kutokea?
 
Lete tafsiri yako kwa jinsi ulivyoielewa hiyo kauli. Usiishie kusema inaleta tafsiri nyingi halafu hujaweka tafsiri zako hapa
Kutokuweka tafsiri zangu haikanushi kuwepo kwa kwa tafsiri nyingi katika kauli yake.

Labda useme unaomba niweke tafsiri ambazo naona zinaingia hapo,lakini kulazimisha ati kwamba sina haki ya kusema ina tafsiri nyingi mpaka niweke zangu hilo ni hamu yako ya kutaka kujua.

Sema unaomba,usinipangie utaratibu ndugu.
 
Nimesikiliza hii clip nimeogopa aisee, uchaguzi ndio upelekee matamko kama haya ya kujiona CCM ina nguvu kuliko Mungu?

Viongozi CCM muogopeni Mungu, kutamka maneno kama haya ya kudharau ukuu wake ni hatari kwa CCM na kwa Taifa

Ccm wamefika hatua ya kumkufuru Mungu. Ila wakumbuke tu kwa hatua hii waliyofikia basi wajue huu ndo utakuwa mwaka wao wa mwisho kutawala Tanzania kwa sababu siku zote, hakuna aliyewai kumkufuru Mungu alafu akabaki salama. Mifumo ni mingi ila hawa ni baadhi yao👇
ECFE4B9F-4B49-4D01-984E-D3BDE25907EF.jpeg
 
Back
Top Bottom