Video: Kwenye Tendo la ndoa unafikiri ni style Gani mwanamke wa kileo inawezesha kumridhisha?

Video: Kwenye Tendo la ndoa unafikiri ni style Gani mwanamke wa kileo inawezesha kumridhisha?

Imani yangu; binadamu yeyote haridhiki na mbususu au mshedede mmoja (nature). Kwenye ndoa ni kuvumiliana tu. Either uvumilie mbususu moja au mshedede mmoja siku zote au uvumilie usaliti. Kuhusu kuoa aliyechezewa, bado linaingia kwenye luvumilia. Ni dunia ndio imelazimisha tuwe hapa tulipo, urahisi wa kutongozana, kuonana, kulana nk. Hivyo likifika swala la kuoa, unabeba tu utakaevulia past zake kwani na yeye atavumilia past zako. Wanaofanyia hizi mambo hawa mabinti ni sisi hawahawa vijana wa hovyo.

Hata kwenye hizi ndoa wakuu, mtu anaweza kuwa na mke na kuamini kabisa mkewe yuko vizuri, anaridhika na show zake na hamsaliti, kumbe background mambo ni tofauti. Nartazar kathibitisha hilo. Kwenye ndoa ni kuvumiliana na kubebeana madhaifu yetu tu wakuu
 
Imani yangu; binadamu yeyote haridhiki na mbususu au mshedede mmoja (nature). Kwenye ndoa ni kuvumiliana tu. Either uvumilie mbususu moja au mshedede mmoja siku zote au uvumilie usaliti. Kuhusu kuoa aliyechezewa, bado linaingia kwenye luvumilia. Ni dunia ndio imelazimisha tuwe hapa tulipo, urahisi wa kutongozana, kuonana, kulana nk. Hivyo likifika swala la kuoa, unabeba tu utakaevulia past zake kwani na yeye atavumilia past zako. Wanaofanyia hizi mambo hawa mabinti ni sisi hawahawa vijana wa hovyo.

Hata kwenye hizi ndoa wakuu, mtu anaweza kuwa na mke na kuamini kabisa mkewe yuko vizuri, anaridhika na show zake na hamsaliti, kumbe background mambo ni tofauti. Nartazar kathibitisha hilo. Kwenye ndoa ni kuvumiliana na kubebeana madhaifu yetu tu wakuu
Sahihi shida ni hwa vijana kutwa wanasema mwanamke ukitaka umridhishe fanya hivi na vile kumbe utopolo
 
Hivi kuna mwanamume katika dunia hii anawaza kumfurahisha na kumridhisha mwanamke? Suala ni kuzaa tu basi. Bustanini Edeni tu hakuridhika na matunda akataka hata lile moja alilokatazwa.
Wakuu ni lugha ngumu imetumika kama upo na watoto kaa mbali nao.

Sina nyongeza. Tukutane kwenye comment.
View attachment 3168211
.
 
BRAZA CHOGO na fimboyaukwaju nambeni mtoe neno moja.
Kumridhisha mwanamke kwa staili ya sex,huwezi kuwa na jibu moja kwakuwa tunamuongelea binadamu,ambao ni ngumu mno kumuelewa japo ni mkeo au mumeo.Kila mtu anastaili yake,fikra zake na matamanio yake.Jibu ni kila mwanaume ajitahidi kumjua mwanamke wake hupenda vipi
 
Kumridhisha mwanamke kwa staili ya sex,huwezi kuwa na jibu moja kwakuwa tunamuongelea binadamu,ambao ni ngumu mno kumuelewa japo ni mkeo au mumeo.Kila mtu anastaili yake,fikra zake na matamanio yake.Jibu ni kila mwanaume ajitahidi kumjua mwanamke wake hupenda vipi
As if tulikuwa pamoja mkuu, I had the same thought in mind
 
Hizi mada za kuwasema wanawake mbona zinakua nyingi sana.
Huyu mzee ni mjinga tu, hao wanawake hizo bikra wanajitoa wenyewe??
Nani anawachakaza hao wanawake kama sio wanaume..
Badala ya kuwaasa vijana wetu wa kiume kuwaheshimu wanawake - yeye yupo kuwatupia lawana wanawake ambao ndio watendwa - what about mtenda - mwanaume.
Kwenye jamii ya sasa ni kama vijana wakiume wanatengwa kimalezi na kimaadili ..hivi tusipiwafundisha vijana wa kiume kufunga suruali zao na kuwa na kiasi si jamii nzima ndo inaingia matatizo??
Tuwapumzishe hawa mama,dada, wadogo zetu na kuwasema na kuwalaumu bila kuwa na suruhisho.
Tunaporuhusu vijana wa kiume kutokuwa na kiasi/ bikra automatically na vijana wa kike ni hivyohivyo.
Tendo la ndoa ni tendo la siri - Anachofanya mtu na mke wake au mpenzi wake ni non of public business...na hakuna formula.Wakiamua kuwekana mikono ni wao, wakilambana huko ni wao....hakuna formula hapo.
Mfano yeye aliishamuuliza baba yake - kama mama yake alikuwa bikra, mke wake kamkuta bikra, dada zake ni bikra, watoto wake ni bikra, ndugu zake ni bikra???
Wanaume tusiwe kama MAFARISAYO..kunyooshea wanawake vidole while we are the source.
 
Back
Top Bottom