Video: Kwenye Tendo la ndoa unafikiri ni style Gani mwanamke wa kileo inawezesha kumridhisha?

Video: Kwenye Tendo la ndoa unafikiri ni style Gani mwanamke wa kileo inawezesha kumridhisha?

Hizi mada za kuwasema wanawake mbona zinakua nyingi sana.
Huyu mzee ni mjinga tu, hao wanawake hizo bikra wanajitoa wenyewe??
Nani anawachakaza hao wanawake kama sio wanaume..
Badala ya kuwaasa vijana wetu wa kiume kuwaheshimu wanawake - yeye yupo kuwatupia lawana wanawake ambao ndio watendwa - what about mtenda - mwanaume.
Kwenye jamii ya sasa ni kama vijana wakiume wanatengwa kimalezi na kimaadili ..hivi tusipiwafundisha vijana wa kiume kufunga suruali zao na kuwa na kiasi si jamii nzima ndo inaingia matatizo??
Tuwapumzishe hawa mama,dada, wadogo zetu na kuwasema na kuwalaumu bila kuwa na suruhisho.
Tunaporuhusu vijana wa kiume kutokuwa na kiasi/ bikra automatically na vijana wa kike ni hivyohivyo.
Tendo la ndoa ni tendo la siri - Anachofanya mtu na mke wake au mpenzi wake ni non of public business...na hakuna formula.Wakiamua kuwekana mikono ni wao, wakilambana huko ni wao....hakuna formula hapo.
Mfano yeye aliishamuuliza baba yake - kama mama yake alikuwa bikra, mke wake kamkuta bikra, dada zake ni bikra, watoto wake ni bikra, ndugu zake ni bikra???
Wanaume tusiwe kama MAFARISAYO..kunyooshea wanawake vidole while we are the source.
Umesema kuntu
 
Jamaa naona kajikita katika Maadili tu ndio Core point yake.
Kwamba Kutafuta Mke mwema imekuwa ngumu mno kizazi ichi kwa sababu ya Mmomonyoko wa maadili.
Unakuta demu kashakuwa Screpa kashaishi kiunyumba huko chuo mara 5.
Naona kaongea ukweli vijana kwenye kuoa tumia zaidi akili achana kuangalia Trako na Kucha ndefu utaumia.
Lakini Pia kumridhisha mwanamke icho kitu hakipogo kabisa Yani Haki Exist hapa duniani kwa sasa.
 
Hizi mada za kuwasema wanawake mbona zinakua nyingi sana.
Huyu mzee ni mjinga tu, hao wanawake hizo bikra wanajitoa wenyewe??
Nani anawachakaza hao wanawake kama sio wanaume..
Badala ya kuwaasa vijana wetu wa kiume kuwaheshimu wanawake - yeye yupo kuwatupia lawana wanawake ambao ndio watendwa - what about mtenda - mwanaume.
Kwenye jamii ya sasa ni kama vijana wakiume wanatengwa kimalezi na kimaadili ..hivi tusipiwafundisha vijana wa kiume kufunga suruali zao na kuwa na kiasi si jamii nzima ndo inaingia matatizo??
Tuwapumzishe hawa mama,dada, wadogo zetu na kuwasema na kuwalaumu bila kuwa na suruhisho.
Tunaporuhusu vijana wa kiume kutokuwa na kiasi/ bikra automatically na vijana wa kike ni hivyohivyo.
Tendo la ndoa ni tendo la siri - Anachofanya mtu na mke wake au mpenzi wake ni non of public business...na hakuna formula.Wakiamua kuwekana mikono ni wao, wakilambana huko ni wao....hakuna formula hapo.
Mfano yeye aliishamuuliza baba yake - kama mama yake alikuwa bikra, mke wake kamkuta bikra, dada zake ni bikra, watoto wake ni bikra, ndugu zake ni bikra???
Wanaume tusiwe kama MAFARISAYO..kunyooshea wanawake vidole while we are the source.
Ni maoni yake na wewe Toa yako kuhusu wanaume tukusikia kama una Logic
 
Jamaa naona kajikita katika Maadili tu ndio Core point yake.
Kwamba Kutafuta Mke mwema imekuwa ngumu mno kizazi ichi kwa sababu ya Mmomonyoko wa maadili.
Unakuta demu kashakuwa Screpa kashaishi kiunyumba huko chuo mara 5.
Naona kaongea ukweli vijana kwenye kuoa tumia zaidi akili achana kuangalia Trako na Kucha ndefu utaumia.
Lakini Pia kumridhisha mwanamke icho kitu hakipogo kabisa Yani Haki Exist hapa duniani kwa sasa.
Kwani wanaume walioishi na hao wasichana kinyumba wao siyo mascrepa? Mmomonyoko wa maadili unawahusu wote siyo wanawake tu. Acheni kuwadhalilisha mama zetu nyinyi mbwa wakubwa!!
 
Kwani wanaume walioishi na hao wasichana kinyumba wao siyo mascrepa? Mmomonyoko wa maadili unawahusu wote siyo wanawake tu. Acheni kuwadhalilisha mama zetu nyinyi mbwa wakubwa!!
Mbona mimi sijamdhalilisha mama yako sehemu.
Au na yeye kabla ya kuolewa alishatoka na wanaume 150.Tunawazungumzia hao brother.
kama na wanaume tunakuwa mascrepa na wewe toa mada kuhusu Wanaume ila hapa tupo na Wanawake.
 
Mbona mimi sijamdhalilisha mama yako sehemu.
Au na yeye kabla ya kuolewa alishatoka na wanaume 150.Tunawazungumzia hao brother.
kama na wanaume tunakuwa mascrepa na wewe toa mada kuhusu Wanaume ila hapa tupo na Wanawake.
Ndio wewe uliyejirekodi kwenye hiyo video clip?

Kwa kutaja wanawake tu umewadhalilisha wanawake wote la sivyo ulitakiwa uwe specific umtaje mwanamke husika siyo ku-genalize wanawake wote.
 
Mwanamke huwezi kumridhisha hata ufanyaje na ndio maana jamii zingine kama wakurya wairaq n.k waliamua kunyofoa kabsa kinembe cha mwanamke maana hata ufanyaje hawezi kuridhika.
Tena ndio ukute una mwanamke menene mfupi🤣🤣 kila siku anataka
Yas money a.k.a mixx by yas
 
Ndio wewe uliyejirekodi kwenye hiyo video clip?

Kwa kutaja wanawake tu umewadhalilisha wanawake wote la sivyo ulitakiwa uwe specific umtaje mwanamke husika siyo ku-genalize wanawake wote.
Kwa hiyo unapingana na Kiswahili kuwa samaki mmoja akioza wote wameoza?!
 
Kwa hiyo unapingana na Kiswahili kuwa samaki mmoja akioza wote wameoza?!
Kiswahili hicho kina maana samaki lazima wawe kwenye chombo kimoja ndio wataoza lakini wakiwa vyombo tofauti hawataoza wote. Sasa kwani wanawake wote wanaishi kwenye familia moja?
 
Tigo pesa,mpesa,airtel money,credit card...ila huyu mpuuzi ana umri ila hajakua..kwanini uaminifu kwenye ndoa anatazamwa tu mwanamke?
Huyu ni kenge manyoya...kwani hao wanawake si wanaliwa na wanaume ama ni vibwengu...hebu atuondekee hapa tusije kususiwa maraha
 
Kiswahili hicho kina maana samaki lazima wawe kwenye chombo kimoja ndio wataoza lakini wakiwa vyombo tofauti hawataoza wote. Sasa kwani wanawake wote wanaishi kwenye familia moja?
Ha ha ha ha mkuu unapingana na mengi...si wanasema dunia ni kijiji siku hizi...sote tunaishi kijiji kimoja na ndo chombo kimoja hicho!
 
Back
Top Bottom