Video: Kwenye Tendo la ndoa unafikiri ni style Gani mwanamke wa kileo inawezesha kumridhisha?

Video: Kwenye Tendo la ndoa unafikiri ni style Gani mwanamke wa kileo inawezesha kumridhisha?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

#kataa ndoa 3-0 "i luv my wife"/mabro lialia

🚨🚨🚨🚨Kijana kama utakosa kabisa BIKRA wa kuoa basi KATAA NDOA.ukishupaza misuli ya kichwa, sisi tunakusubir hapa uje utoe chozi tukupe pole kwa maneno machungu 😎
 
Imani yangu; binadamu yeyote haridhiki na mbususu au mshedede mmoja (nature). Kwenye ndoa ni kuvumiliana tu. Either uvumilie mbususu moja au mshedede mmoja siku zote au uvumilie usaliti. Kuhusu kuoa aliyechezewa, bado linaingia kwenye luvumilia. Ni dunia ndio imelazimisha tuwe hapa tulipo, urahisi wa kutongozana, kuonana, kulana nk. Hivyo likifika swala la kuoa, unabeba tu utakaevulia past zake kwani na yeye atavumilia past zako. Wanaofanyia hizi mambo hawa mabinti ni sisi hawahawa vijana wa hovyo.

Hata kwenye hizi ndoa wakuu, mtu anaweza kuwa na mke na kuamini kabisa mkewe yuko vizuri, anaridhika na show zake na hamsaliti, kumbe background mambo ni tofauti. Nartazar kathibitisha hilo. Kwenye ndoa ni kuvumiliana na kubebeana madhaifu yetu tu wakuu
wewe kama ni mwanaume, bro unachapiwa,,,,period!!!! na anayebisha ni mdhaifu mwenzako!!!

Na siku ukimfuma mkeo huwa wanaume type yako hamnaga ustahimilivu huu mnaojifanyaga mnaandika humu kuwa nyie ni strong,,,,nyie ni wakujinyonga na kujiua😄😄😄 na ni vyema ikiwa hivyo maana hata uzao wa baba mwenye mentality kama hii atatuletea mbegu legelege kama hizi hivyo ni vyema mnavyojiuaga🙏🙏🙏
 
Kuna wafuga vitambi wameshatupa taulo huko kwenye komenti😂😂😂😂 wanajifariji mwanamke haridhishwi.

Mwanaume hufanyi mazoezi, huna pumzi utamridhishaje mkeo??? Unakula hovyohovyo lazima tu usaidiwe hakuna namna.

Endeleeni kula hovyohovyo na kunywa bia. Shikilieni hapohapo badaboda huku wataendelea kuwasaidia jinsi gani wanawake zenu wanaridhishwa.

Fugeni vitambi na kunenepesha mashavu na hizo bia with time kisukari na presha then BODABODA a.k.a akina BALTAZARI WA MTAANI watawasaidia bure kabisa🤝🤝🤝
 
Wakuu ni lugha ngumu imetumika kama upo na watoto kaa mbali nao.

Sina nyongeza. Tukutane kwenye comment.
View attachment 3168211
The kamasutra
images (13).jpeg
 
Mkuu itoshe tu kusema hayana formula. Mwanamke siku zote hutafuta kile ambacho huna,Nenda gym,fanya mazoezi Yako yote mpigie show ya uhakika lkn mwisho wa siku atakuambia anahitaji umpeleke Dubai akale Bata muda huo wewe na mazoezi Yako huna huo uwezo wa kwenda Dubai na wanao mtongoza Kila siku Wanao huo uwezo. Hivyo kitakacho mpeleka Dubai sio mzagamuo!
Kuna wafuga vitambi wameshatupa taulo huko kwenye komenti😂😂😂😂 wanajifariji mwanamke haridhishwi.

Mwanaume hufanyi mazoezi, huna pumzi utamridhishaje mkeo??? Unakula hovyohovyo lazima tu usaidiwe hakuna namna.

Endeleeni kula hovyohovyo na kunywa bia. Shikilieni hapohapo badaboda huku wataendelea kuwasaidia jinsi gani wanawake zenu wanaridhishwa.

Fugeni vitambi na kunenepesha mashavu na hizo bia with time kisukari na presha then BODABODA a.k.a akina BALTAZARI WA MTAANI watawasaidia bure kabisa🤝🤝🤝
 
Bora jamii forum haijaweka option ya kuonekana sura tuki-comment wala kutumia voice notes

Kwa maana Kuna wakati tunaandika maoni yetu tukiwa njwi kama huyo brother kwenye hiyo video

All in all, tupunguze kuwanyooshea vidole Wanawake kuwa kabla ya kuolewa watakuwa wametumika sana, wakati hiyo hali inaweza kumkuta pia Mwanaume.

Kuna Wanaume hadi anakuja Kuoa, ameshalala na Wanawake zaidi ya 150

Kwa idadi hiyo ya Wanawake ambao atakuwa amelala nao, hata akutane na Mwanamke mrembo kiasi gani bado ataonekana hamtoshelezi.

Anyways, tukutane kwenye vikao vya familia tukisaidiana kusolve migogoro yenu ya ndoa
Safi
 
Wakuu ni lugha ngumu imetumika kama upo na watoto kaa mbali nao.

Sina nyongeza. Tukutane kwenye comment.
View attachment 3168211
Kwani unapofanya tendo la ndoa unatafuta kumrisha unayefanya naye au kujiridhisha wewe?
Je,kama unataka kumridhisha unayefanya naye lkn kwa wakati huo yeye hataki na hana mpango wa kuridhika unamlazimisha aridhike (alizike)?

Huna kazi za kufanya?
Wewe fanya kilichokupeleka,ukishapata angalia mambo ya msingi na uachane na upuuzi,sawa kijana?
 
Kwani unapofanya tendo la ndoa unatafuta kumrisha unayefanya naye au kujiridhisha wewe?
Je,kama unataka kumridhisha unayefanya naye lkn kwa wakati huo yeye hataki na hana mpango wa kuridhika unamlazimisha aridhike (alizike)?

Huna kazi za kufanya?
Wewe fanya kilichokupeleka,ukishapata angalia mambo ya msingi na uachane na upuuzi,sawa kijana?
kijana yupi unamshauri mkuu hawa hwa wanaozama chumvini ama kuna wengine?
 
Mkuu itoshe tu kusema hayana formula. Mwanamke siku zote hutafuta kile ambacho huna,Nenda gym,fanya mazoezi Yako yote mpigie show ya uhakika lkn mwisho wa siku atakuambia anahitaji umpeleke Dubai akale Bata muda huo wewe na mazoezi Yako huna huo uwezo wa kwenda Dubai na wanao mtongoza Kila siku Wanao huo uwezo. Hivyo kitakacho mpeleka Dubai sio mzagamuo!
Hapo utakuwa umeoa mwanamke ambaye sio level yako chukua mwanamke unayemmudu.
 
Back
Top Bottom