Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Songoro Hahaha
Watu wa kata ya kambangwa wanamjua vilivyo

Ova
namuona na muigizaji Richie kumbe alikukwaa Udiwani, basi Kinondoni inatisha hapo jamani, huyo Mama Mkurugenzi atalegea sio kipindi cha Mwendazake angeweza kushtaki juu zaidi
 

Tanzania: Arusha RC Threatens to Resign​


30 DECEMBER 2013

By Marc Nkwame
Arusha — ARUSHA Regional Commissioner Magessa Mulongo has threatened to resign from his office if the Arusha City Director, Ms Sipora Liana, will not approach him and apologise.

According to Mr Mulongo, who recently spoke to journalists, the City Director has been tarnishing his image by alleging that he was a corrupt person who takes bribes and forces decisions contrary to leadership principles.


Huyu Mama Analake
Aiseee !!
 
Daaaah......

Mh.Songoro Mnyonge na DED wake "kimeumana"...

Mheshimiwa Songoro Mnyonge hanaga konakona

Kutofautiana kwenye vikao ni alama mojawapo ya kwamba viongozi wanafanya kazi huru, ila kugoma kusikilizana na kuendelea kujibishana kwenye vikao inaweza ondoa imani na heshma kwa viongozi

Busara busara busara
 
Kwanini huyo diwani asimzabe kibao kikali huyo mama mwenye kiburi....
wamama wa hivi wenye kuvimbia wanaume wananiudhi sana
 
Hata hivyo huyo Songoro katuabisha wanaume. Yeye anaongea maneno meeengi halafu mwanamama anaongea neno moja tu au mawili halafu anakaa kimya.
Kisha jamaa anaendelea kuongea tena maneno meeeeeengi.

Ku-deal na wanawake wa aina hii yapasa kuwa na akili.
Ilikuwa yule mama ale kibao tu
 
Songoro yupi hapo mkuu?
Meya Songoro Mnyonge ni huyo mwenye Joho na DED ni huyo Mama Liana mwanzo alikuwa Mkurugenzi wa Jiji alisumbua sana kupanga wafanyabiashara Stendi ya Magufuli
Rais wa awamu ya 5 akampeleka Kinondoni
 
Mheshimiwa Songoro Mnyonge hanaga konakona

Kutofautiana kwenye vikao ni alama mojawapo ya kwamba viongozi wanafanya kazi huru, ila kugoma kusikilizana na kuendelea kujibishana kwenye vikao inaweza ondoa imani na heshma kwa viongozi

Busara busara busara
Hahahaha hahahaha
Aise

Ova
 
Nyie bado sana,na mtatandikwa kila siku ina maana muislam mmoja akijilipua bomu kwa hulka yake ndio uanze kutukana uislam mzima?na hapo ni wapinzani tu mkipewa nchi si mtapeleka mavi kwenye nyumba za ibada za watanzania wengine sasa.

Mbona umeandika utopolo zaidi? Akili zako hazina akili! Hata puto linakuzidi...!
 

Tanzania: Arusha RC Threatens to Resign​


30 DECEMBER 2013

By Marc Nkwame
Arusha — ARUSHA Regional Commissioner Magessa Mulongo has threatened to resign from his office if the Arusha City Director, Ms Sipora Liana, will not approach him and apologise.

According to Mr Mulongo, who recently spoke to journalists, the City Director has been tarnishing his image by alleging that he was a corrupt person who takes bribes and forces decisions contrary to leadership principles.


Huyu Mama Analake
Huyu mama watu wanamuwekea data!!
Ni nukusi!!
Sasa kaingia kwa mwanaume wa Dar!
 
Back
Top Bottom