Kwani nani hayuko huyu tangu akiwa mtoto alikuwa anazurula tu na atauzula hadi uzeeni kama watanzania wenzakeMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu akionesha maana ya kuwa mtu-huru ndani ya nchi yake leo hii.
Labda upo kuzimu huelewi kinachoendelea mtaani, jana alikuwa Kariakoo.Yeye haendi kununua kwa wanyonge Tandale!!!
Huyo hauzi sura ni public figure lazima aonekane siyo kama we na sura yako kama nguruwe poriMbona kikapo kipo tupu bwashee?
Nadhani ameenda kuuza sura kama mgombea!
Mkuu wa mkoa ameambiwa asiwe mpolewatu watakufa kwa hypertension mwaka huu hakiyanani!
Ni yake lakini inazunguka duniani ndio maana na wewe upo hapaSio habari ya dunia n habari yako
Wapi hii mkuu😂😂cha kibabe sanaMwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Hahahaha Jiwe ana kiingereza fekiMwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
leo kwenye ufunguzi wa stendi ya mbezi luisiWapi hii mkuu😂😂cha kibabe sana
Hahahhaleo kwenye ufunguzi wa stendi ya mbezi luisi
Hatari...Said,he is not politician🤗🤗Hahahaha Jiwe ana kiingereza feki
Asipokuwa makini Uingereza itamzuia kuongea lugha yao maana anaiharibu
UtopoloNi yake lakini inazunguka duniani ndio maana na wewe upo hapa
Hivi alipokuwa mwalimu wa sekondari alikuwa anafundishaje? Mlisema pia ana PhD, ni kweli? Akuze kiswahili tuMwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Kiingereza anakijua ila hapendi show offHivi alipokuwa mwalimu wa sekondari alikuwa anafundishaje? Mlisema pia ana PhD, ni kweli? Akuze kiswahili tu
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Ana kwambia... People use to die in the the lakeMwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu