Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Halafu jiwe vijineno "Supposed" na "as far as X is concerned" anavipenda kweli, nahisi wakati anajifunza hayo maneno aliyakremu vizuri kabisa
Yeye mwenyewe tayari ana mume huko ubelgiji,Vipi unataka awe na six pack kama mumeo?
Leo nilivyokuwa namsikiliza nilicheka mpaka mbavu zikaumaMkuu, hii sio American wala British English, ni chato english
Ngoja nikutafutie jamaa mwenye six pack akusugue kama mgombea wenu alivyoombaYeye mwenyewe tayari mume huko ubelgiji,
Sasa anatafuta haki ili na wewe umsaidie kupigwa mkasi
anazunguka point huyo naye anataka asuguliwe kama mgombea wakeNgoja nikutafutie jamaa mwenye six pack akusugue kama mgombea wenu alivyoomba
mkitumia ugoro huko msiwe mnaleta humuMwenzake anakagua miradi ya miundo mbinu ya Kimkakati na baadaye yeye apite humo. Hiyo ndio faida ya maendeleo ya Vitu:
View attachment 1594047
Kwani nani hayuko huyu tangu akiwa mtoto alikuwa anazurula tu na atauzula hadi uzeeni kama watanzania wenzake
Na walamba sembe, wanaoshangaa/kujivunia na kufuatilia mtu anaenda kununua mikate super market unawaambiajemkitumia ugoro huko msiwe mnaleta humu
As far as development is concerned!?!we suppose to change the direction"
Kuna siku jiwe alienda kwenye kijiwe Cha kahawa kule chato ilikuwa habari nchi nzimaKwa chadema mtu kwenda mahemezi ni big deal? Hiki chama ni kikongwe ila wadau wake mna mentality za kitoto
Mzee baba katika rangi yake halisiMwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Asante kwa updates. Ututumie na nyingine 👍🏽Uhuru , Haki na Maendeleo ya Watu.
Apigwe marufuku huyo kuongea kiingereza chake KICHAFU na kuliabisha Taifa.Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi
kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu