Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ulitoa ushauri mzuriHivi Makonda hana watu wa kumshauri kweli anafanya Nini TANZANIA ? Kuna watu wana matumaini ambayo ni infeasible. Kurefer ya sabaya Makonda alitakiwa ahame nchi siku nyingi sana.
Ni kweli ulitoa ushauri mzuri
Yuko wapi Makonda kwa sasa? Au na wewe utasema yulo likizo kama alivyosema RASMakonda ni RC wa Arusha lakini nyumbu wako vilevile tu