Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Hivi Makonda hana watu wa kumshauri kweli anafanya Nini TANZANIA ? Kuna watu wana matumaini ambayo ni infeasible. Kurefer ya sabaya Makonda alitakiwa ahame nchi siku nyingi sana.
Hana watu genuine wa kumpa positive advice. Akiwa na madaraka alizungukwa na marafiki wa masilahi na siyo marafiki wa kweli. Na bahati mbaya yeye hakujaaliwa akili kuchwani
 
Umiza kichwa siku zote kwa ajili ya wale wanaokuhusu. Ukifanya kazi huku unawafikiria wengine utakufa ukiumizwa na hali yako kumbuka siku zote utaona wao kukuzidi kumetokana na wizi au ngozi yao kuwapendelea.

Ni aina fulani ya wivu unaosumbua watu weusi wengi na kujikuta wakijiingiza katika ushirikina unaowaumiza kwa kuwaachia laana za vizazi na vizazi.
Kwenye ushirikina ndiyo umegonga penyewe, unakuta mtu ni hiyo taalumu wala huo uwezo hana ila taaluma akipewa hiyo nafasi roho inauma hapo ndiyo huwa siwaelewi watu na urozi huanzia hapo.
 
Kijana wa mzirankende atulie. Akomae spate haki zake.

Ila najiuliza watumishi wengine wa umma huwa wanashidwaji kuwa entrepreneur s kupata Pesa za kujenga mahekalu kama wakina Bashite.
Wengi hutandaza vimada na michepuko sasa mwenzao akitulia nakufanya mambo makubwa basi ni kosa
 
Nilichogundua watanzania mna roho mbaya sana sana,

Hasa hasa kwa mtu anayehustle kunyanyuka.
Hii yote ni umasikini uliowajaa.
 
Nilichogundua watanzania mna roho mbaya sana sana,

Hasa hasa kwa mtu anayehustle kunyanyuka.
Hii yote ni umasikini uliowajaa.
Kweli roho mbaya ipo tena kubwa mno, unakuta mtu yeye mwenyewe anaishi mjini kwa madili machafu lakini anavyochafua wengine sasa anaweza kesha bila kulala
 
Mimi nadhani Makonda kufanya hii 2013 ili kuonesha kuwa hakumiliki ardhi hii wakati akiwa mkuu wa mkoa kuepuka na dhana labda alipora lakini kama ni issue kuanzia 2013 kweli leo 2022 watu walikuwa kimyaa. Ni wakati wa Gharib kuongea ukweli upande wake hii issue imekaaje? je ni kweli ile ni signature yake? na je ni kweli aliuza eneo mwaka 2013? mwaka 2013 ni muhimu sana au je ali sign kwa nguvu siku za karibuni kwa kushurutishwa? Hili jambo serious na sio kwa sababu Makonda tu huko ardhi wanafanya mangapi kama haya. Mimi kwa maoni yangu kuna uganganyifu maana kama GSM aliuza kweli sioni sababu ya kudai lakini hapa tunataka kujuwa 2013-2022 nani alikuwa anamiliki nini kimetokea katikati hapa.

Umemaliza yote mkuu 👌👌👌👌👌👌☝️☝️☝️☝️🙏🙏🙏🤝🤝🤝😁
 
Katika watu wenye biashara za ujanja ujanja basi ni huyu GSM na watu hii kampuni imemuweka Ghalib kama msimamizi tu lakini wenye hisa wamefichwa kwenye uvungu wa kitanda. Hii kampuni akiingia Rais asiyetaka mianya ya Rushwa basi GSM inaenda kutaifishwa iwe Mali ya umma maana biashara zote wanazofanya ni uwizi mtupu.

GSM ni muhuni sana alipoona swala la kiwanja walichouziana na Paul makonda tena mnamo mwaka 2013 makonda hajawa hata kiongozi wa serikalini, ametafuta wanasheria wenye njaa kuunda ushahidi wa michongo na kwa kuwa asilimia kubwa ya hii kampuni inakaliwa na former top government leaders kutoa amri wizara ya ardhi ifoji nyaraka ni kitu cha sekunde tu. Chuki ni mbaya Sana huyu makonda wanaomfanyia hizi hila ni wale waliosema ngoja afe tuone Nani atamtetea.

Uongozi wa Paul makonda ulikuwa ni wakiimra na kutojali misingi bora ya utumishi wa umma lakini Hili haliharalishi yeye kutokuwa na haki ya kumiliki ardhi hata kama ni Mali yake kihalali na kafata taratibu zote za kisheria za Hati miliki. Kuna watu wanafrahi kuona huyu dogo analialia bila msaada lakini tujue kuwa nani yupo salama Kati yetu kama mifumo kandamizi bado ipo kila kukicha? Jibu nikuwa hakuna aliye safe maana ipo siku yatakukuta halafu utakuja mbele ya midia unafuka makamasi unaomba tupaze sauti.

HITIMISHO. Kampuni ya GSM sio ya waarabu, niyaviongozi matapeli wala rushwa na wenye ubinafsi na tamaa ya mali huyu mwalabu ni kivuli tu mwili umejificha. Makonda ameporwa kwa Chuki zao binafsi kipindi cha uongozi wa mwendazake. View attachment 2147863View attachment 2147865
bashite alifeli shule, alishawahi kuwa conductor wa bus, hana hata vyeti, alipata wapi hela ya kununua kiwanja mikocheni? tena kwa tajiri mkubwa kama GSM? au alikuwa anapewa au kujengewa nyumba kwa makubaliano gani? hapo napo anatakiwa afunguke ili aeleweke. alipata wapi pesa? na hajawahi kuwa mfanya biashara huyu.
 
Mimi nadhani Makonda kufanya hii 2013 ili kuonesha kuwa hakumiliki ardhi hii wakati akiwa mkuu wa mkoa kuepuka na dhana labda alipora lakini kama ni issue kuanzia 2013 kweli leo 2022 watu walikuwa kimyaa. Ni wakati wa Gharib kuongea ukweli upande wake hii issue imekaaje? je ni kweli ile ni signature yake? na je ni kweli aliuza eneo mwaka 2013? mwaka 2013 ni muhimu sana au je ali sign kwa nguvu siku za karibuni kwa kushurutishwa? Hili jambo serious na sio kwa sababu Makonda tu huko ardhi wanafanya mangapi kama haya. Mimi kwa maoni yangu kuna uganganyifu maana kama GSM aliuza kweli sioni sababu ya kudai lakini hapa tunataka kujuwa 2013-2022 nani alikuwa anamiliki nini kimetokea katikati hapa.
inawezekana kabisa, walibackdae ili isionekane alinunua au kupora alipokuwa RC mwenye nguvu za kufukuza mtu kwenye mkoa wake. kwani miaka hiyo hana kazi ya maana alikuwa na connection gani na gsm, na alipata wapi hela ya kununulia au hata kujenga? na hajasema kama alijenga pale yeye. hizo ndio mambo za dili zinaishia kwenye dili. ukifanya mambo kiwiziwizi unatakiwa uzurumiwe kiwiziwizi. gsm kaona huyu popoma alinipora kiwanja lakini hakina hata jina lake na hakina explanation alinunuaje 2013, na sasaivi hana nguvu tena, akaamua kukirudia. kwisha habari yake. msukuma kaingizwa mjini na mtoto wa kariakoo.
 
bashite alifeli shule, alishawahi kuwa conductor wa bus, hana hata vyeti, alipata wapi hela ya kununua kiwanja mikocheni? tena kwa tajiri mkubwa kama GSM? au alikuwa anapewa au kujengewa nyumba kwa makubaliano gani? hapo napo anatakiwa afunguke ili aeleweke. alipata wapi pesa? na hajawahi kuwa mfanya biashara huyu.
Kadri nijuavyo, majitu ambayo hayana akili ya shule yamejaa ujanja ujanja, hila na utapeli wa kufa mtu. Huyu Bashite akibanwa kisawasawa atasema ukweli tu!! Watu warejee ile kampeni yake ya Madawa ya Kulevya.....kwake ilikuwa ni dealdone!
 
Kadri nijuavyo, majitu ambayo hayana akili ya shule yamejaa ujanja ujanja, hila na utapeli wa kufa mtu. Huyu Bashite akibanwa kisawasawa atasema ukweli tu!! Watu warejee ile kampeni yake ya Madawa ya Kulevya.....kwake ilikuwa ni dealdone!
ukilibana vizuri litaropoka au litakosa hoja za kuongea na kujikamatisha. hayanaga akili hayo.
 
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.

Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.

View attachment 2145146
View attachment 2145147
Mshahara wa RC kwa mwezi ni Tsh 4 Million, bazazi anakwenda Arusha, Je ataendeleza tabia yake ya kupora mali za wafanyabiashara?
 
Back
Top Bottom