Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ndio theory iliyokua nyuma ya kesi ya Profesa Mahalu? Hata state house ilihusika? Kwa hivi hatuwezi kuwekewa sanctions? Maana hii ni state corruption. We at at fault with all the international laws and regulations. Kwa kesi hii Makonda ameliwa. Halafu under normal circumstances he cant construct a house that big with the meager salary of a civil cervant. Hata maraisi inabidi wajengewe na serikali maana ni near impossibleMkuu ammoshi , kwenye mauziano mengi ya land, na hata Nagari ya thamani kubwa, watu wanafanya deflate the price ili walipe transfer fee ndogo. Hiyo figure inayoonekana hapo sio the real price, hiyo ni just a visible cost, lakini the real cost ni nyingine. Michezo hii serikali yetu inainua na tunaicheza at government level, mfano mzuri ni ununuzi wa jengo la ubalozi wetu Rome, tumelipa mara mbili, kwanza tumelipa the visible cost, malipo yanayoonekana na kukatiwa receipt na kulipwa through bank account ya ubalozi, ambayo ndio yatalipiwa Kodi.
Kisha malipo halisi, yanayolipwa cash from personal account ambayo hayaonekani, hayajaandikwa na hayalipiwi Kodi na hakuna receipt ya mpokeaji. Ambapo fedha ziliingizwa kwenye account personal ya Balozi, na yeye kuzi withdraw na kulipa cash.
CAG alipogagua, akadhani Balozi amepiga, na kwa sababu kuliisha tokea ugomvi wa kugombea naniliu, Mzee Baba wa wakati huo, akampeleka kwa pilato, kama Amatius Liyumba, alivyo shughulikiwa ni ...
P
Yule Raisi alikuwa Jambazi usiku Raisi mchana.Ajenda yako wewe gsm ya kumjengea rais nyumba ni ipi wewe na rais mlikuwa na mkataba gani au biashara gani mpaka kumjengea nyumba ni biashara gani ilifanyika kati yenu?
Vp samia akiamua leo umjengee nyumba utajenga?
Unajua when you are a thief you should atleast be clever enough to ask yourself some tough questions like the one I asked. Je, huyo mtu alikua anapractice that year? Kwa sababu kupata ushahidi ni easy. Wakili leta vyeti vyako, hapa vinaonekana umevipata 2020 how did you sign a document in 2013 when you were still learning?Angalia wasifu wa Learned brother, Ameanza Kuwa Active Jan 1, 2020.
.
Swali la Kujiuliza ni Kwamba Kama amekuwa active kama wakili kuanzia Jan 2020, ilikuwaje akasaini Sell Agreement 2013.
.
Kuwa active maana yake amehuisha Seal Yake Kwa kulipa ada TLS, Mahakamani na ada zingine.
.
Je itakuwa Learned brother alisaini Mkataba akiwa ni Mtumishi wa Umma? View attachment 2147755View attachment 2147756
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzio hati yake OG iko mkono wa shati leta yako na wewe.Katika watu wenye biashara za ujanja ujanja basi ni huyu GSM na watu hii kampuni imemuweka Ghalib kama msimamizi tu lakini wenye hisa wamefichwa kwenye uvungu wa kitanda. Hii kampuni akiingia Rais asiyetaka mianya ya Rushwa basi GSM inaenda kutaifishwa iwe Mali ya umma maana biashara zote wanazofanya ni uwizi mtupu.
GSM ni muhuni sana alipoona swala la kiwanja walichouziana na Paul makonda tena mnamo mwaka 2013 makonda hajawa hata kiongozi wa serikalini, ametafuta wanasheria wenye njaa kuunda ushahidi wa michongo na kwa kuwa asilimia kubwa ya hii kampuni inakaliwa na former top government leaders kutoa amri wizara ya ardhi ifoji nyaraka ni kitu cha sekunde tu. Chuki ni mbaya Sana huyu makonda wanaomfanyia hizi hila ni wale waliosema ngoja afe tuone Nani atamtetea.
Uongozi wa Paul makonda ulikuwa ni wakiimra na kutojali misingi bora ya utumishi wa umma lakini Hili haliharalishi yeye kutokuwa na haki ya kumiliki ardhi hata kama ni Mali yake kihalali na kafata taratibu zote za kisheria za Hati miliki. Kuna watu wanafrahi kuona huyu dogo analialia bila msaada lakini tujue kuwa nani yupo salama Kati yetu kama mifumo kandamizi bado ipo kila kukicha? Jibu nikuwa hakuna aliye safe maana ipo siku yatakukuta halafu utakuja mbele ya midia unafuka makamasi unaomba tupaze sauti.
HITIMISHO. Kampuni ya GSM sio ya waarabu, niyaviongozi matapeli wala rushwa na wenye ubinafsi na tamaa ya mali huyu mwalabu ni kivuli tu mwili umejificha. Makonda ameporwa kwa Chuki zao binafsi kipindi cha uongozi wa mwendazake. View attachment 2147863View attachment 2147865
Hivi ndiyo utaniambia mahakama?Yule Raisi alikuwa Jambazi usiku Raisi mchana.
Lazima uwe na hofu ya maisha yako.
Mahakama huwa inakataa hata ushahidi ambao umeutoa kwa kutishwa.Hivi ndiyo utaniambia mahakama?
Unamtetea mwizi mwenzioKatika watu wenye biashara za ujanja ujanja basi ni huyu GSM na watu hii kampuni imemuweka Ghalib kama msimamizi tu lakini wenye hisa wamefichwa kwenye uvungu wa kitanda. Hii kampuni akiingia Rais asiyetaka mianya ya Rushwa basi GSM inaenda kutaifishwa iwe Mali ya umma maana biashara zote wanazofanya ni uwizi mtupu.
GSM ni muhuni sana alipoona swala la kiwanja walichouziana na Paul makonda tena mnamo mwaka 2013 makonda hajawa hata kiongozi wa serikalini, ametafuta wanasheria wenye njaa kuunda ushahidi wa michongo na kwa kuwa asilimia kubwa ya hii kampuni inakaliwa na former top government leaders kutoa amri wizara ya ardhi ifoji nyaraka ni kitu cha sekunde tu. Chuki ni mbaya Sana huyu makonda wanaomfanyia hizi hila ni wale waliosema ngoja afe tuone Nani atamtetea.
Uongozi wa Paul makonda ulikuwa ni wakiimra na kutojali misingi bora ya utumishi wa umma lakini Hili haliharalishi yeye kutokuwa na haki ya kumiliki ardhi hata kama ni Mali yake kihalali na kafata taratibu zote za kisheria za Hati miliki. Kuna watu wanafrahi kuona huyu dogo analialia bila msaada lakini tujue kuwa nani yupo salama Kati yetu kama mifumo kandamizi bado ipo kila kukicha? Jibu nikuwa hakuna aliye safe maana ipo siku yatakukuta halafu utakuja mbele ya midia unafuka makamasi unaomba tupaze sauti.
HITIMISHO. Kampuni ya GSM sio ya waarabu, niyaviongozi matapeli wala rushwa na wenye ubinafsi na tamaa ya mali huyu mwalabu ni kivuli tu mwili umejificha. Makonda ameporwa kwa Chuki zao binafsi kipindi cha uongozi wa mwendazake. View attachment 2147863View attachment 2147865
Wanalala wakiamka tu wanaendelea,mwe!Wanachafua hali ya hewa.Ni kama ukosefu wa maadili.Badala ya kujikita katika mada wanaporomosha matus
Makonda awe raisi wa hii nchi..? Mmmhh hahahah hii nchi tupate katiba mpya tu maana uozo ni mwingiNadhani GSM kama wana akili waache kucheza michezo ya wanasiasa. Hakuna aliyejua Nape atakuja kuwa Waziri karibuni.
Makonda anaweza kuja kuwa Rais au Waziri na mwenye ma mlaka ndipo utakapoona GSM wanakimbia nchi.
Feels good, doesn’t it?
Next time douche that butthole.
You stink.
PaschalUsiite watu makapuku huku hujui wameanzia wapi, kwasababu kila binadamu anapokuja Duniani, anakuja with nothing, na ataondoka with nothing, hivyo kupata Mali, utajiri, umaarufu ni akili ya mtu na sio lazima, iwe ni Mali ya urithi. Paul Makonda, sio tuu ni kijana mwenye akili Sana, pia ni mtu mwenye bahati.
PMafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni...www.jamiiforums.com
Utapeli wa GSM hauondoi ukweli kwamba Makonda hapa kagushi hivi vitu. Land registry imelipiwa na Gharib mwaka 2017. Why? Hapa tunajadili jinai moja tu, ya kiwanja. Ikifika ya umiliki wa Home Shopping Centre na GSM tutajibu kivingine.Katika watu wenye biashara za ujanja ujanja basi ni huyu GSM na watu hii kampuni imemuweka Ghalib kama msimamizi tu lakini wenye hisa wamefichwa kwenye uvungu wa kitanda. Hii kampuni akiingia Rais asiyetaka mianya ya Rushwa basi GSM inaenda kutaifishwa iwe Mali ya umma maana biashara zote wanazofanya ni uwizi mtupu.
GSM ni muhuni sana alipoona swala la kiwanja walichouziana na Paul makonda tena mnamo mwaka 2013 makonda hajawa hata kiongozi wa serikalini, ametafuta wanasheria wenye njaa kuunda ushahidi wa michongo na kwa kuwa asilimia kubwa ya hii kampuni inakaliwa na former top government leaders kutoa amri wizara ya ardhi ifoji nyaraka ni kitu cha sekunde tu. Chuki ni mbaya Sana huyu makonda wanaomfanyia hizi hila ni wale waliosema ngoja afe tuone Nani atamtetea.
Uongozi wa Paul makonda ulikuwa ni wakiimra na kutojali misingi bora ya utumishi wa umma lakini Hili haliharalishi yeye kutokuwa na haki ya kumiliki ardhi hata kama ni Mali yake kihalali na kafata taratibu zote za kisheria za Hati miliki. Kuna watu wanafrahi kuona huyu dogo analialia bila msaada lakini tujue kuwa nani yupo salama Kati yetu kama mifumo kandamizi bado ipo kila kukicha? Jibu nikuwa hakuna aliye safe maana ipo siku yatakukuta halafu utakuja mbele ya midia unafuka makamasi unaomba tupaze sauti.
HITIMISHO. Kampuni ya GSM sio ya waarabu, niyaviongozi matapeli wala rushwa na wenye ubinafsi na tamaa ya mali huyu mwalabu ni kivuli tu mwili umejificha. Makonda ameporwa kwa Chuki zao binafsi kipindi cha uongozi wa mwendazake. View attachment 2147863View attachment 2147865
We bwegeee kwa nini umenikwoti na mimi?Paschal
Kuna watu agahalabu siyo wengi, wanazaliwa kwenye mazingira ya utajiri wa kutisha from day one, in fact, hata kabla hawajazaliwa na pengine namna mimba yao inavyotungwa kupitia pamdikizi sababu ya ukwasi wa Wazazi wao. Prince Charles hakuzaliwa hana kitu duniani.
We bwegeee kwa nini umenikwoti na mimi?
You probably want some dyck that’s why 🖕
Hilo shoga imhotep ndiyo basha lako?We bwegeee kwa nini umenikwoti na mimi?
You probably want some dyck that’s why 🖕🖕
u born with a silver spoon in ur beaker?We bwegeee kwa nini umenikwoti na mimi?
You probably want some dyck that’s why 🖕🖕