The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ndio kina nani hao huko Daslamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu atakuja kusema Wataachana tu.
Dua zipi unazotaka zaidi ya kulogwa na kutongozewa mke wako, Watanzania wamepokea maombi yako utapokea ulichokiomba #Manara sijui manara ya Simu ama Radio 🤔Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa.
Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2876242
Written by Mjanja M1
Video from WasafiTv
Kuna mtu atakuja kusema Wataachana tu.
Ila hii duniaaa, Naona mume wa watu na mke wa mtu wakiamua kuoana kabisa baada ya uchepukaji kunoga.Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa.
Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2876242
Written by Mjanja M1
Video from WasafiTv
Pete tu unaalika ukumbi wa watu 500 ili iweje??hivi siku hizi watu hawana vinyaa?
Itakua aisee ..maana ndoa ya 4 hii sijui ya 5Nahisi manara anaingiza pesa kwa hizo event
Vinyaa kivipi yani?Pete tu unaalika ukumbi wa watu 500 ili iweje??hivi siku hizi watu hawana vinyaa?
Alikua na huyu akikis na huyu..amelalwa na huyu huyu nae na huyu...Vinyaa kivipi yani?
Hata huku kitaa style ndo hizo hizo usikute ila hawa sasa umaarufu lazima unawaponzaAlikua na huyu akikis na huyu..amelalwa na huyu huyu nae na huyu...
Umenielewa??
Ila bora usiwe unamjua alietoka nae au aliotoka nao..any way ndo umjini mjini huoHata huku kitaa style ndo hizo hizo usikute ila hawa sasa umaarufu lazima unawaponza
au sio uudanganye moyo ? 🤣🤣Ila bora usiwe unamjua alietoka nae au aliotoka nao..any way ndo umjini mjini huo
Yah atleast...hivi ni aibu na uchafu liveau sio uudanganye moyo ? 🤣🤣