Video: Manara akimvisha pete Mchumba wake Zailyssa, amtoa machozi

Video: Manara akimvisha pete Mchumba wake Zailyssa, amtoa machozi

Mbona hayuko romantic? Anasita kupiga goti, anauliza swali la msingi kwa lengo la kufurahisha hadhira.

Anyways, nimefurahishwa na huo wimbo aliokuwa akiuimba Zuchu, na kaimba vizuri kuendana na tukio wahusika ndio wameharibu wenyewe.
 
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa.

Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao.

ANGALIA VIDEO HAPA

View attachment 2876242


Written by Mjanja M1
Video from WasafiTv
Kwani hawa watu ni wa kina nani huko darisalama?

Mnatuchanganya huku Chitoholi mjue?????
 
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa.

Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao.

ANGALIA VIDEO HAPA

View attachment 2876242


Written by Mjanja M1
Video from WasafiTv
Kila mtu hupata wa kufanana naye. Na kwa bahati wawili hawa nawajua kwa ukaribu, naweza kusema kuwa wamekutana.

Wote tayari wana watoto, pia wote tayari wana talaka. Ila hayo siyo kitu, kubwa zaidi wote ni wachongaji midomo wazuri.

Nadhani, baadhi yetu hatukupata nafasi ya kumjua Zaylisa. Kwa 'mdomo' tu, nadhani sasa Manara amepata mwenza.

Kwa mfanano wao wawili hawa, inaweza kuwafanya wadumu. Binafsi nawatakia kila la kheri.

Ova
 
Mbona hayuko romantic? Anasita kupiga goti, anauliza swali la msingi kwa lengo la kufurahisha hadhira.

Anyways, nimefurahishwa na huo wimbo aliokuwa akiuimba Zuchu, na kaimba vizuri kuendana na tukio wahusika ndio wameharibu wenyewe.
Naskia huwa anazimia mzungu wa magomeni
 
Jana ilikuwa siku kubwa kwenye safari ya penzi la Haji Manara na Zailyssa.

Manara alimvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Zailyssa mbele ya umati wa watu walio hudhuria engagement party yao.

ANGALIA VIDEO HAPA

View attachment 2876242


Written by Mjanja M1
Video from WasafiTv
Waambieni Hawa jamaa waache ujinga.
 
Mbona hayuko romantic? Anasita kupiga goti, anauliza swali la msingi kwa lengo la kufurahisha hadhira.

Anyways, nimefurahishwa na huo wimbo aliokuwa akiuimba Zuchu, na kaimba vizuri kuendana na tukio wahusika ndio wameharibu wenyewe.
She is not into him..
Just for business..
Hawa miezi mitatu mingi...

Anyway watakuwa wsashaingiza pesa.
 
Back
Top Bottom