Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lengo letu ni kuhabarisha dunia tu , wala si lengo letu kusababisha maradhiMtamfanya Jamaa arudi tena gereji walahi.
Atakuwa anamlaani aliyeshauri Tundu Lissu afungiwe kufanya kampeni siku saba.Mzee kipara akiona hivi anachanganyikiwa anatamani atume tena watu wa tukio la tarehe 7/9/2017
Tundu hatakiwi kufanya kampeni anatakiwa tu awe anapita anasalimia kwenye masoko, minada, kanisani na viwanjani.Atakuwa anamlaani aliyeshauri tundu lissu afungiwe kufanya kampeni siku saba
Lissu alisema Jiwe anasingizia anaenda mapunzikoni kumbe anapelekwa gerejiLengo letu ni kuhabarisha dunia tu , wala si lengo letu kusababisha maradhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtamfanya Jamaa (Jiwe) arudishwe tena gereji walahi kwa kisingizio cha mapumziko.
Kwa kweli Ndugu zangu Wana CCM upepo umebadilika. Tuwe chonjo.