Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

Hapana. Uongo na Uzushi vitabaki kuwa ni uongo na uzushi hata kama vimesemwa na IDF, Marekani, Houthis na wanaofanana na hao.
Sasa kama hata ukiwekewa fact unazikataa hapo weww ndio mwenye tatizo, nimekwambia unaweza kuamini ofisi zote za idf na ministry of defence ya israel inategemea umeme kutoka turkey, najua hujawahi kujua hili kwakuwa ulishaaminishwa israel ni kila kitu ni kama mungu wako
 
Huyu Ritz kama ni mtanzania serikali imchunguze sana mtu huyu anachuki ya ajabu na wasiokuwa waislamu. Ipo siku atajilipua ama kuchinja watu kama kuku nchi hii. Waislamu ni jamii ya watu wasiopenda amani kbs wao wakiona damu inamwagika kwao burudaani kabisa
Ulishawahi kumwagwa damu na muislamu?
Au kwenye familia yako au ukoo mshawahi kumwagwa damu na waislamu
Uchunguzwe wewe huenda ukawa gaidi
 
Sasa kama hata ukiwekewa fact unazikataa hapo weww ndio mwenye tatizo, nimekwambia unaweza kuamini ofisi zote za idf na ministry of defence ya israel inategemea umeme kutoka turkey, najua hujawahi kujua hili kwakuwa ulishaaminishwa israel ni kila kitu ni kama mungu wako
Mkuu; usichanganye mambo ya biashara halali zinazofanywa na makampuni na vita dhidi ya makundi ya kigaidi ndani ya nchi. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Wenzetu umeme unasambazwa na kuuzwa na makampuni sio hapa bongo kazi hiyo inafanywa na Serikali kupitia shirika la Umeme.
 
Hi

Mzee Uharo bana, unapenda sana kuhara.
Kwa hiyo baada ya Col Douglas claim kuwa wanajeshi wa Israel na US wameuawa baada ya ku infiltrate Yemen ukaamua kwenda kutafuta ka video kasiko husiana ili kunogesha furaha yako.
Yote aliyoyaongea Douglas amekiri kwamba ameambiwa na hana uhakika maana ni open source, na akaendelea kutoa mawazo yake akisema “anahisi”. Sasa wewe umeileta kama breaking news. Au hupendi kusikiliza details kwa kuwa utaishia kutoipenda habari yote?
Hawanaga akili hawa wavaa kobaziii... 😁😁
 
Sasa hiyo video ya kamanda wa marekani pia ni propaganda ,huko israel kaishiwa wanajeshi na hapo anapigana na mgambo tu, na turkey kazuia kuingiza chochote israel, kuna upungufu wa chakula, magari na bidhaa muhimu israel ambaye amekuwa akitegemea viwanda vya turkey, huku red sea hali tete
Hivi unajua hata umeme wa ofisi za idf israel na israel ministry of defence wanaitegemea turkey?
Acha uongo wewe, upsnde wa umeme Israel inajiyosheleza, ila kwa ajili ya mahusiano ya kibiashara na Turkey imeamua kununua 7% ya umeme wake kutoka Turkey. Turkey akiamua kuukata itakula kwake, maana yeye ndiye atakayepoteza, siyo Israel sababu upande wa umeme yupo vizuri.
Biashara nyingine nazo ni za kimahusiano tu as win-win, Israel anauza Turkey, Turkey naye anauza Israel.
 
Mkuu; usichanganye mambo ya biashara halali zinazofanywa na makampuni na vita dhidi ya makundi ya kigaidi ndani ya nchi. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Wenzetu umeme unasambazwa na kuuzwa na makampuni sio hapa bongo kazi hiyo inafanywa na Serikali kupitia shirika la Umeme.
Huyo hana anachojua ila anaandika alichokisoma, siyonalichoelewa au anachokijua. Hata huo umeme Israel inainunua Turkey ni 7% na siyo kama hajitosheleza bali ni sababu za kimahusiano tu na hapo Turkey ndiye anaibembeleza hiyo biashara
 
Acha uongo wewe, upsnde wa umeme Israel inajiyosheleza, ila kwa ajili ya mahusiano ya kibiashara na Turkey imeamua kununua 7% ya umeme wake kutoka Turkey. Turkey akiamua kuukata itakula kwake, maana yeye ndiye atakayepoteza, siyo Israel sababu upande wa umeme yupo vizuri.
Biashara nyingine nazo ni za kimahusiano tu as win-win, Israel anauza Turkey, Turkey naye anauza Israel.
NIlishasema wakristo wà tanzania wengi ni kama mazombi kwa israel, haya pata facts hizo kutoka kwa muisrael mwenyewe, wamekuwa wakihudumiwa na turkey kwenye ministry of defence na ofisi za idf since 2004 , turkey viwanda vyake vinahudumia dunia nzima including israel, ndio maana hata leo unaona wafanyabiashara dunia nzima wanaenda turkey
Haya pata shule kidogo achana na story za wachungaji wako wa ileje
 

Attachments

  • Screenshot_20240810-155246_Chrome.jpg
    Screenshot_20240810-155246_Chrome.jpg
    425.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240809-122335_Chrome.jpg
    Screenshot_20240809-122335_Chrome.jpg
    357.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240809-122355_Chrome.jpg
    Screenshot_20240809-122355_Chrome.jpg
    361.7 KB · Views: 1
Huyo hana anachojua ila anaandika alichokisoma, siyonalichoelewa au anachokijua. Hata huo umeme Israel inainunua Turkey ni 7% na siyo kama hajitosheleza bali ni sababu za kimahusiano tu na hapo Turkey ndiye anaibembeleza hiyo biashara
nani anahitaji mahusiano, turkey keshazuia biashara zote na israel sasahivi israel kabaki analia lia tu kiburi huku anategemea kila kitu uturuki na kuagiza nchi nyingine gharama ni kubwa na houthi wanazuia red sea
 
Sasa hiyo video ya kamanda wa marekani pia ni propaganda ,huko israel kaishiwa wanajeshi na hapo anapigana na mgambo tu, na turkey kazuia kuingiza chochote israel, kuna upungufu wa chakula, magari na bidhaa muhimu israel ambaye amekuwa akitegemea viwanda vya turkey, huku red sea hali tete
Hivi unajua hata umeme wa ofisi za idf israel na israel ministry of defence wanaitegemea turkey?
Kwa hiyo ulikua unatakaje?!
 
Kwa hiyo ulikua unatakaje?!
Labda tukuulize myahudi kutoka ileje maana bwana ritz kaleta taarifa ila wayahudi wa ileje hamkubali kwa kuwa mmeshaaminishwa uongo na wachungaji wenu kumbe kanchi chenyewe mnachodanywa kapigana na mgambo kaishiwa hadi wanajeshi
 
Sasa kama hata ukiwekewa fact unazikataa hapo weww ndio mwenye tatizo, nimekwambia unaweza kuamini ofisi zote za idf na ministry of defence ya israel inategemea umeme kutoka turkey, najua hujawahi kujua hili kwakuwa ulishaaminishwa israel ni kila kitu ni kama mungu wako
Mbona unachuki hivyo na waisrael? Walikufanya nini?
 
Labda tukuulize myahudi kutoka ileje maana bwana ritz kaleta taarifa ila wayahudi wa ileje hamkubali kwa kuwa mmeshaaminishwa uongo na wachungaji wenu kumbe kanchi chenyewe mnachodanywa kapigana na mgambo kaishiwa hadi wanajeshi
Hasira ya nini?! Kwani wayahudi walikufanya nini?
 
Wewe ndo unapotosha hiyo Dorad Energy ambayo inamilikiwa na Turkey na Israel in hisa. Mtambo wa kuzalisha umeme upo Ashkleon na siyo Turkey kama unavyosema wewe.
Soma vizuri hizo habari uache kupotosha.

Halafu kingine wakristo unawaonea bure tu, na siyo kwamba anayeisema vizuri Israel ni mkristo. Punguza makasiriko
Labda lugha inakupa tabu nani anaimiliki dorad energy? Ndio uone hawa wazayuni hawana chochote wanategemea sana viwanda vya turkey ,ila kwa mdomo utafikiri wana kila kitu sasahivi wanalialia tu kumlaumu turkey kwa kuzuia bidhaa
 
Back
Top Bottom