Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kama nyie mnavyowaza kufungisha ndoa za machoko na wasagaji makanisani?Propaganda za wasaka bikra.
Wao kazi yao ni kuwaza kumwaga damu tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nyie mnavyowaza kufungisha ndoa za machoko na wasagaji makanisani?Propaganda za wasaka bikra.
Wao kazi yao ni kuwaza kumwaga damu tuu
Sawa wewe utae ishi milele hongera zako sanaWaislamu mna mambo ya kijinga sana - mtakufa kama kuku mabandani ati kusubiria ma bikra 72 hulo ahera
40,000 so far Gaza ila hamjakata tamaa..ujinga mtupu.
Sasa kama hata ukiwekewa fact unazikataa hapo weww ndio mwenye tatizo, nimekwambia unaweza kuamini ofisi zote za idf na ministry of defence ya israel inategemea umeme kutoka turkey, najua hujawahi kujua hili kwakuwa ulishaaminishwa israel ni kila kitu ni kama mungu wakoHapana. Uongo na Uzushi vitabaki kuwa ni uongo na uzushi hata kama vimesemwa na IDF, Marekani, Houthis na wanaofanana na hao.
😂 😂Muyahudi wa Njombe amekasirika.
Ulishawahi kumwagwa damu na muislamu?Huyu Ritz kama ni mtanzania serikali imchunguze sana mtu huyu anachuki ya ajabu na wasiokuwa waislamu. Ipo siku atajilipua ama kuchinja watu kama kuku nchi hii. Waislamu ni jamii ya watu wasiopenda amani kbs wao wakiona damu inamwagika kwao burudaani kabisa
Mkuu; usichanganye mambo ya biashara halali zinazofanywa na makampuni na vita dhidi ya makundi ya kigaidi ndani ya nchi. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Wenzetu umeme unasambazwa na kuuzwa na makampuni sio hapa bongo kazi hiyo inafanywa na Serikali kupitia shirika la Umeme.Sasa kama hata ukiwekewa fact unazikataa hapo weww ndio mwenye tatizo, nimekwambia unaweza kuamini ofisi zote za idf na ministry of defence ya israel inategemea umeme kutoka turkey, najua hujawahi kujua hili kwakuwa ulishaaminishwa israel ni kila kitu ni kama mungu wako
Hawanaga akili hawa wavaa kobaziii... 😁😁Hi
Mzee Uharo bana, unapenda sana kuhara.
Kwa hiyo baada ya Col Douglas claim kuwa wanajeshi wa Israel na US wameuawa baada ya ku infiltrate Yemen ukaamua kwenda kutafuta ka video kasiko husiana ili kunogesha furaha yako.
Yote aliyoyaongea Douglas amekiri kwamba ameambiwa na hana uhakika maana ni open source, na akaendelea kutoa mawazo yake akisema “anahisi”. Sasa wewe umeileta kama breaking news. Au hupendi kusikiliza details kwa kuwa utaishia kutoipenda habari yote?
Acha uongo wewe, upsnde wa umeme Israel inajiyosheleza, ila kwa ajili ya mahusiano ya kibiashara na Turkey imeamua kununua 7% ya umeme wake kutoka Turkey. Turkey akiamua kuukata itakula kwake, maana yeye ndiye atakayepoteza, siyo Israel sababu upande wa umeme yupo vizuri.Sasa hiyo video ya kamanda wa marekani pia ni propaganda ,huko israel kaishiwa wanajeshi na hapo anapigana na mgambo tu, na turkey kazuia kuingiza chochote israel, kuna upungufu wa chakula, magari na bidhaa muhimu israel ambaye amekuwa akitegemea viwanda vya turkey, huku red sea hali tete
Hivi unajua hata umeme wa ofisi za idf israel na israel ministry of defence wanaitegemea turkey?
Fake news!!?..ilikua kwa msaada wa satellite za urusi, urusi akawatonya Iran,Iran wakawatonya houthi,houthi wakawangoja makomando koko,kichapo heavyFake News
Huyo hana anachojua ila anaandika alichokisoma, siyonalichoelewa au anachokijua. Hata huo umeme Israel inainunua Turkey ni 7% na siyo kama hajitosheleza bali ni sababu za kimahusiano tu na hapo Turkey ndiye anaibembeleza hiyo biasharaMkuu; usichanganye mambo ya biashara halali zinazofanywa na makampuni na vita dhidi ya makundi ya kigaidi ndani ya nchi. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Wenzetu umeme unasambazwa na kuuzwa na makampuni sio hapa bongo kazi hiyo inafanywa na Serikali kupitia shirika la Umeme.
NIlishasema wakristo wà tanzania wengi ni kama mazombi kwa israel, haya pata facts hizo kutoka kwa muisrael mwenyewe, wamekuwa wakihudumiwa na turkey kwenye ministry of defence na ofisi za idf since 2004 , turkey viwanda vyake vinahudumia dunia nzima including israel, ndio maana hata leo unaona wafanyabiashara dunia nzima wanaenda turkeyAcha uongo wewe, upsnde wa umeme Israel inajiyosheleza, ila kwa ajili ya mahusiano ya kibiashara na Turkey imeamua kununua 7% ya umeme wake kutoka Turkey. Turkey akiamua kuukata itakula kwake, maana yeye ndiye atakayepoteza, siyo Israel sababu upande wa umeme yupo vizuri.
Biashara nyingine nazo ni za kimahusiano tu as win-win, Israel anauza Turkey, Turkey naye anauza Israel.
nani anahitaji mahusiano, turkey keshazuia biashara zote na israel sasahivi israel kabaki analia lia tu kiburi huku anategemea kila kitu uturuki na kuagiza nchi nyingine gharama ni kubwa na houthi wanazuia red seaHuyo hana anachojua ila anaandika alichokisoma, siyonalichoelewa au anachokijua. Hata huo umeme Israel inainunua Turkey ni 7% na siyo kama hajitosheleza bali ni sababu za kimahusiano tu na hapo Turkey ndiye anaibembeleza hiyo biashara
Kwa hiyo ulikua unatakaje?!Sasa hiyo video ya kamanda wa marekani pia ni propaganda ,huko israel kaishiwa wanajeshi na hapo anapigana na mgambo tu, na turkey kazuia kuingiza chochote israel, kuna upungufu wa chakula, magari na bidhaa muhimu israel ambaye amekuwa akitegemea viwanda vya turkey, huku red sea hali tete
Hivi unajua hata umeme wa ofisi za idf israel na israel ministry of defence wanaitegemea turkey?
Labda tukuulize myahudi kutoka ileje maana bwana ritz kaleta taarifa ila wayahudi wa ileje hamkubali kwa kuwa mmeshaaminishwa uongo na wachungaji wenu kumbe kanchi chenyewe mnachodanywa kapigana na mgambo kaishiwa hadi wanajeshiKwa hiyo ulikua unatakaje?!
Mbona unachuki hivyo na waisrael? Walikufanya nini?Sasa kama hata ukiwekewa fact unazikataa hapo weww ndio mwenye tatizo, nimekwambia unaweza kuamini ofisi zote za idf na ministry of defence ya israel inategemea umeme kutoka turkey, najua hujawahi kujua hili kwakuwa ulishaaminishwa israel ni kila kitu ni kama mungu wako
Hasira ya nini?! Kwani wayahudi walikufanya nini?Labda tukuulize myahudi kutoka ileje maana bwana ritz kaleta taarifa ila wayahudi wa ileje hamkubali kwa kuwa mmeshaaminishwa uongo na wachungaji wenu kumbe kanchi chenyewe mnachodanywa kapigana na mgambo kaishiwa hadi wanajeshi
Labda lugha inakupa tabu nani anaimiliki dorad energy? Ndio uone hawa wazayuni hawana chochote wanategemea sana viwanda vya turkey ,ila kwa mdomo utafikiri wana kila kitu sasahivi wanalialia tu kumlaumu turkey kwa kuzuia bidhaaWewe ndo unapotosha hiyo Dorad Energy ambayo inamilikiwa na Turkey na Israel in hisa. Mtambo wa kuzalisha umeme upo Ashkleon na siyo Turkey kama unavyosema wewe.
Soma vizuri hizo habari uache kupotosha.
Halafu kingine wakristo unawaonea bure tu, na siyo kwamba anayeisema vizuri Israel ni mkristo. Punguza makasiriko
Israeli construction to suffer under Turkey's economic sanctionsHuyo hana anachojua ila anaandika alichokisoma, siyonalichoelewa au anachokijua. Hata huo umeme Israel inainunua Turkey ni 7% na siyo kama hajitosheleza bali ni sababu za kimahusiano tu na hapo Turkey ndiye anaibembeleza hiyo biashara