Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Inavutia sana lakin pia inaleta tafakari kubwa sana kuhusu demokrasia na siasa.kama n'mbwai na iwe mbwai bwana..๐๐๐Safi sana makamanda hiyo ndio demokrasia.. Wale wasingeweza hata kuangaliana machoni achilia mbali kushikana mikono
Umenikumbusha mbali huu mtego, mie nilikuwa ntumia karai
Atakuwa sio mwenyekitiIla najaribu kuwaza ikiwa lisu atakosa uenyekiti nini kitatokea ๐ค
Amezungumza vizuri sana.
Kabisa aisee...Amezungumza vizuri sana.
Lissu akiwa mwenyekiti utabadilisha mgombea Urais upande wa piliDetermination ya rais ajaye 2025 ni kupitia uchaguzi huu wa CHADEMA Taifa
Huko kwa chama cha mambuzi nani asikilize mkuuUteuzi wa makamu mwenyekiti wa ccm umefunikwa pakubwa na uchaguzi wa chadema. Media zote all eyes on chadema election
Kwanini unasema Hivyo?Picha za mwisho mwisho kabla Lissu kushindwa uchaguzi Chadema na kuhama chama na kutimkia ubelgiji
Matokeo yakoje huko???Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wakisalimiana katika mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) unaofanyika leo Alhamisi Januari 16, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wote wawili wanamchuano mkali kuelekea Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA unaotarajiwa kufanyika Januari 21.
Mbowe na Lissu wakicheza kwa furaha katika mkutano mkuu wa wanawake CHADEMA (BAWACHA)
Pia, Soma:
- PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025