Leo kwenye mkutano wa BAWACHA Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wameonekana wanasalimia kwa bashasha. Wakati jana tu Lissu katoka kumshushia maneno makali sana na tuhuma kibao mwenyeketi wake halafu leo ety kwa madai yao wanaonyesha wapo sawa.
Mh ndiyo maana nimesema hichi chama tena akipewa huyu Lissu ndiyo kwaheri kabisa CHADEMA katika ramani ya siasa nchini. Maana ajuhi kujishikilia kwenye siasa za kistaarabu anahisi kuropoka kwake ndiyo silaha kumbe ni ujinga mtupu!
CCM ni namba moja. Mama Samia mitano tena! Mpaka 2030
View attachment 3203686