VIDEO: Mbowe, Lissu wasalimiana kibabe BAWACHA, huku wakicheza kwa bashasha wimbo wa "Tuvushe Mbowe Tuvusheee"

VIDEO: Mbowe, Lissu wasalimiana kibabe BAWACHA, huku wakicheza kwa bashasha wimbo wa "Tuvushe Mbowe Tuvusheee"

Leo kwenye mkutano wa BAWACHA Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wameonekana wanasalimia kwa bashasha. Wakati jana tu Lissu katoka kumshushia maneno makali sana na tuhuma kibao mwenyeketi wake halafu leo ety kwa madai yao wanaonyesha wapo sawa.

Mh ndiyo maana nimesema hichi chama tena akipewa huyu Lissu ndiyo kwaheri kabisa CHADEMA katika ramani ya siasa nchini. Maana ajuhi kujishikilia kwenye siasa za kistaarabu anahisi kuropoka kwake ndiyo silaha kumbe ni ujinga mtupu!

CCM ni namba moja. Mama Samia mitano tena! Mpaka 2030

View attachment 3203686
Nzunga mkono hoja yako.
 
Siasa haina adui wala rafiki wa kudumu, na hivyo ndivyo nilivyo kila nyanja.
Urafiki utakuja kulingana na Masrahi na utakavyonitreat, hata uadui utaupata humo humo ukitaka.
 
Sasa media ziache kufuatilia uchaguzi zifuatilie uteuzi?

Kinachofanyika Dodoma ni picnic tu ndio maana leo Kikwete kaenda Dodoma na treni ya SGR na wasanii kibao kina Wema Sepetu na Bongo Mavi kama wote.

Kule unaenda kufanyika ufuska kwa siku hizi Dodoma itanuka mavi.
duh! Hii kali
 
kama n'mbwai na iwe mbwai bwana..😀😀😀Safi sana makamanda hiyo ndio demokrasia.. Wale wasingeweza hata kuangaliana machoni achilia mbali kushikana mikono
Sema hapo kuna kazi...
 
Hii inafaa kuigwa na CCM
Samia vs Mpango 2025
Samia vs Majaliwa 2025
Samia vs Ndugai 2025
Samia vs Nchimbi 2025

Itapendeza zaidi
 
Ila hawa inaonekana hata baada ya mmoja kushinda bado watakuwa wanapeana support,hapo sioni mwenye kuhama chama. Chadema ni chama cha demokrasia kweli
 
Jina ndo hilo hilo likitoka,mambo ya kuidhinisha hamna kipya tunawajua ccm ni kura ya ndiyo tu na kugonga meza
Subiri kikao cha mkutano mkuu Tv zote itakuwa ni CCM tu na mitandaoni ni CCM tu sababu jina litakuwa limetoka hadharani mkutano mkuu uindhinishe
 
Hii inafaa kuigwa na CCM
Samia vs Mpango 2025
Samia vs Majaliwa 2025
Samia vs Ndugai 2025
Samia vs Nchimbi 2025

Itapendeza zaidi
Chadema mnaota CCM wagombea huwa hawachafuani kama kwenu wote watafukuzwa CCM huo upumbavu wenu wa kutukanana halafu mnapeana mikono na kuchekeana kinafiki bakini nao huko huko Chadema

CCM tuna zero tolerance za mtu kutukana na kudhalllisha mwana CCM mwenzie au chama tulikata jina la Lowassa ,Membe na Luhaga Mpina nk wakaonyeshwa cha mtema kuni

Siasa hizo za kipumbavu za kutukana viongozi wa juu na chama bakini nazo huko huko Chadema CCM Lisu angekuwa kafutwa u makamu mwenyekiti kama Raisi Aboud Jumbe wa Zanzibar na kufutwa uraisi

Mbowe bayw anaendekeza utoto wakate jina la Lisu liwalo na liwe

CCM tulikata jina la Lowassa akiwa juu mno kuliko lisu hatukujali nini kitatokea

Mbona alirudi kwa magoti mwenyewe

Kateni jina la Lisu akileta za kuleta na wafuasi wake watakutana na rungu la dola
Tunahitaji ulinzi displined sio usio na displine hata ndani ya chadema kama Lisu anavyotaka Chadema iwe
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wakisalimiana katika mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) unaofanyika leo Alhamisi Januari 16, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

Wote wawili wanamchuano mkali kuelekea Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA unaotarajiwa kufanyika Januari 21.
Mbowe na Lissu wakicheza kwa furaha katika mkutano mkuu wa wanawake CHADEMA (BAWACHA)
Pia, Soma:
-
PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.

Quote
 
Back
Top Bottom