Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta kazi nyingine.....njaa itakuu baada ya Mbowe kuachia chama.Picha za mwisho mwisho kabla Lissu kushindwa uchaguzi Chadema na kuhama chama na kutimkia ubelgiji
HahahaKwan walisema wakikutana watadundana mkuu 😂
🤣Mbona kama Mbowe anataka kulia?
Kama hapo walipo hawana kinyongo basi nashauri tarehe 21 wasalimiane tena hivyo hivyo na Wenje pamoja na mzee wa mizimu Yeriko wawepo hapo katikati bila kusahau wale Covid 19Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wakisalimiana katika mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) unaofanyika leo Alhamisi Januari 16, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wote wawili wanamchuano mkali kuelekea Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA unaotarajiwa kufanyika Januari 21.
Pia, Soma:
- PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Hivi mmegundua Mh Mbowe amevaa Lile gwanda la mwaka 2005 wakati akigombea Urais kwa Kampeni za Chopa?Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wakisalimiana katika mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) unaofanyika leo Alhamisi Januari 16, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wote wawili wanamchuano mkali kuelekea Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA unaotarajiwa kufanyika Januari 21.
Mbowe na Lissu wakifurahia katika mkutano mkuu wa wanawake CHADEMA
Pia, Soma:
- PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Mzee vipi unapiga karate?Picha za mwisho mwisho kabla Lissu kushindwa uchaguzi Chadema na kuhama chama na kutimkia ubelgiji
Lisu mwenyewe akihojiwa kasema uraisi kwake sio rahisi kushinda sababu ya blabla za tume huru ila Chadema ndiko kajipanga kushindaMnajua nini nyie nyumbu?!!! Hakuna muda ambao ccm itapata urahisi wa kushinda kama mwaka huu 2025, hususani ikitokea huyo mwenye jina lenye maana sawa na 'tobo' akichukua kiti. Mnajua itakuaje?!!' Ni rahisi tu, wanampa uongozi wa timu ya kampeni Makonda basi. Kazi inakuwa imekwisha na watu wanatulia tuliiii wanajipigia miluzi tu. Huyo Makonda peke yake anamtosha.
Kumbe hamtaki wasalimiane wakisalimiana inakuwa habari!Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu wakisalimiana katika mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) unaofanyika leo Alhamisi Januari 16, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Wote wawili wanamchuano mkali kuelekea Uchaguzi wa nafasi ya Uenyekiti CHADEMA unaotarajiwa kufanyika Januari 21.
Mbowe na Lissu wakicheza kwa furaha katika mkutano mkuu wa wanawake CHADEMA (BAWACHA)
Pia, Soma:
- PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025