Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine Mbunge anaongea statements za hovyo kiasi hikiHili Bunge limefanywa na CCM kuwa sehemu ya kuliaibisha Taifa
Hahahahaah atakufanyia maombi ukose mumeMch.wa upepo wa kisulisuli, hakuna hapo.
Halafu kavaa utasema yuko msikitini yaani hii awamu ina Laana.Imagine Mbunge anaongea statements za hovyo kiasi hiki
Sijaona tatizoKwani tatizo ni nini hapo, kaunga mkono hoja iliyotolewa bungeni na yeye ni mbuge, kumbuka bunge sio madhabahu.
Kwa hiyo akubali kuuwa akiwa nje ya madhabahu? Kwanini mnakuwa wajinga kiasi hiki.kwa hiyo kuwa mwaminifu kwa MUNGU ukiwa madhabahuni tu?. MNAPOTEA KWA KUTOJUA MAANDIKOKwani tatizo ni nini hapo, kaunga mkono hoja iliyotolewa bungeni na yeye ni mbuge, kumbuka bunge sio madhabahu.
Angalia vizuri hiyo clip. Kisha nenda YouTube, search upepo wa kisulisuli. Bila shaka utamfahamuhuyo mama ni yupi hapo maana naona wamama wengi, amevaaje,? simjuagi kwanza
inasemekana pia ni mchawi
Pamoja na haya yote yanayoendelea ya uminyaji wa demokrasia bado mmejipanga kushiriki uchaguzi.Kwa kweli inabidi kama kuna wauaji wachangiwe tu pesa na hawa wabunge wa CCM maana kujenga hoja hawawezi tena. Zitto kaandika barua katoa hoja zimeeleweka na World Bank na nyie jibuni basi mpangue hoja zake, mnashindwa nini? Mnakimbilia kuua ua tu kama mlivyotaka kumfanya Lissu
So pathetic mnadhani ni Zitto peke yake, kulikuwa na pettition online ya hilo suala na World Bank walikuwa tagged. Ili kuwa na sigantures zaidi ya 10,000 mimi mwenyewe niliandika emails, world bank ilikuwa flooded na emails zikilalamika udikteta wa awamu ya tano.
Endeleeni kulala tu maana mmejaza vilaza kwenye hilo chama chakavu.
Mwisho HONGERA sana mama mchungaji nimeona unakenuaaaaa uliposikia WITO WA ZITTO KABWE KUUULIWA no wonder wanasemaga ulizika makondoo hai kwenye geti la St. Mary's school na kanisani kwako FULL MAKAFARA ya damu.
View attachment 1344066