Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Duuuh, hizi kauli ndo Rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM anazipenda!Yaani huyu ni kiongozi ambaye watu Mia moja wanamsikiliza !!Magufuli ndio anavyowafundisha aisee kupigana kumekaribia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh, hizi kauli ndo Rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM anazipenda!Yaani huyu ni kiongozi ambaye watu Mia moja wanamsikiliza !!Magufuli ndio anavyowafundisha aisee kupigana kumekaribia
Sure kajamaa nakafahamu pure hapo hata ukimpiga singi msamaha wake hatari atakao omba.ukimuangalia usoni ni muoga na mwepesi kama unyoya.
Tena huyu akisikia anaitwa polisi anaweza jinyea kabla hata hajaambiwa anachoitiwa.ukimuangalia usoni ni muoga na mwepesi kama unyoya.
Yaani huyu ni kiongozi ambaye watu Mia moja wanamsikiliz
View attachment 1344676
Magufuli ndio anavyowafundisha aisee kupigana kumekaribia
inawezekana ndiye aliyemtuma huyu kijana kapuku kuzungumzaDuuuh, hizi kauli ndo Rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM anazipenda!
Yaani siku hizi kila mtu amejipa jukumu lakutoa maamuzi kwa namna anavyo jisikia. Kauli hatarishi kama hizi zisipo kemewa zitaipeleka nchi pabaya sana.Yaani huyu ni kiongozi ambaye watu Mia moja wanamsikiliz
View attachment 1344676
Magufuli ndio anavyowafundisha aisee kupigana kumekaribia
Sasa hawa ndio Magufuli anawateua kwenye UDChiki sio chama tena,kimeshakuwa kama kundi la bokoharamu