Wanaonekana hawapo sawa kabisa...
Hakuna jipya watu wanacheza na Akili za Watanzania,
Watanzania fanyeni kaz umli unakwenda
Atakuwa kapigwa magongo ya chini ya nyayo ili afunguke zaidi,,,,kesho unaweza ukasikia anasema wapinzani ndio walimteka,, nchi hiiNimeomwona roma akiwa natembeakama kaumizwa mguu na mkono , je kuna report yoyote ya daktari ,nini hasa chanzo cha kuumia ?je alipelelkwa hospitali mara baaada ya kupatikana maana taarifa ilitolewa kuwa amaepatina na yupo kituo cha polisi
atasubutu tena kweli wakati tiari anachechemea,vitu vingi ssa itabaki kuwa siri yakeRoma lazima atoe ngoma ya kuwanyorosha
alikuwa wapi alikuwa na wanaume wa kazi kazi!ajifunze nyimbo za kutunga na kuimba akiinba asiwaseme wasanii wenzake vibaya na kutukana watu,akuna m babe aliye juu ya m babe mwenzie,Kwanza nimpe pole sana mshikaji wangu Roma na wenzake kwa madhila waliyoyapata, kwa hakika mashetani haya yameshindwa na yataendelea kushindwa tu.Nayaita maharamia haya mashitani kwa sababu kitendo cha kutekwa na koptezwa kwa msanii huyo kilikua cha kishetani na kiharamia.Niende mbali zaidi kwa kusema kua huenda yalikua magaidi kama walivyo Alshababu.
Baada ya kutoka kule kituo cha polisi ambapo walienda kutoa ushahida,msanii Roma na wenzake waliotoka kuelekea majumbani kuonana na familia zao ingawa waliokua dhoofu bin hali.
Alipoulizwa na waandishi wa habari waliokua wapi?alishikiliwa na nani?amefanyiwa nini?ameona nini na anasemaje? Amesema hawezi kuongea chochote kulingana na masharti ya kuachiwa kwao ispokua mengi atayasema siku ya jumatatu.
SWALI,
1.Hivi ni kweli Roma ataweza kua na ujasiri wa kusema lolote juu ya masharti aliyopewa zaidi ya kuwapgopa watesaji hao? je, kama watesaji walikua ni maharamia tu na sio vyombo vyetu vya dola atapgopa nini kuwataja au kufunguka wazi?
2.Au atasingizia kua anapisha uchunguzi na upelelezi wa kipolisi hivyo hawezi kusema chochote juu ya yaliyompata?
3.Sio ataogopa kupotezwa mazima?Maana juzi hata baada ya msanii Nay wa Mitego kuachiwa tu akasema kua yeye hana chama ilihali umma unaijua kadi yake.
4.Tuna vyombo vyenye dhamana ya kulinda usalama wa raia, Roma awe muwazi tu kuuambia umma tu alikua wapi maana kwa sasa yuko salama na anatambua kua lazima kuanzia sasa awe na tahadhari kubwa.
5.Ujasiri wa Roma Mkatoliki tuujuavyo utakuwepo tena? Au alikua akiongea na kuimba kwa vile hayajawahi kumkuta?Rejea wimbo wake wa "Mkanitupe Segerea"
hakuana Taifa linalofata haki duniani kwa kuvumilia upuuzi.".....Mpaka pale kila mtu atakapoguswa kwa kutendewa kinyume na haki ndipo mtakapoona ubaya wa kutawala bila kufuata sheria...."
Tundu Lissu, December 2015
aache ujingaVIVA ROMA MIE NAKUOMBEA AFYA ITENGAMAE.SIJUI HUKO ULIPEWA UJI WENYE CHUMVI AU PANADOL.NAHISI KULIA.MUNGU NDO MJUZI.
Kilichomuokoa ni kelele zenu , lakini ilielekezwa amalizwe .Roma anaonekana kuteswa sana!amevimba pia,anachechemea japo kasema yeye ni mzima
Inaniumiza sana!
Millard ayo amepost insta na cloudfm pia wamepost clip ya video alipokuwa anashuka kwenye gari,,kweli siyo mzima japo anajaribu kutuaminisha hivyo!
Huenda hataki kuumiza hisia za mashabiki zake,ama amekatazwa kusema kuwa ni mgonjwa!
Dr Ulimboka ndiye aliyepata mateso makubwa sana kati ya waliopona kwa bahati.Wasiwasi wangu ni marinda yamesalimika?
Shukrani za dhati zimfikie Bashite popote alipo.Namshukuru Mungu kwa kuonekana kwao maaana huku mitaani maneno ya yalikuwa yamesha kuwa mengi kwa serikali. Mungu anaipenda serikali yetu. Hongera JPM kwa kuwa na wapelelezi walio bobea Mungu akubariki aminaa
iyo no tatu kweli?Dr Ulimboka ndiye aliyepata mateso makubwa sana kati ya waliopona kwa bahati.
1.Kutolewa kucha.
2.Kutolewa Meno.
3.Kupasuliwa Balls na Kutiwa uhanisi.
hakuana Taifa linalofata haki duniani kwa kuvumilia upuuzi.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app