nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Ni rahisi kuongea, we omba yasikukute hilo sikio huwezi ht kulifikiaNahidi nitatekwa ila Wallah nitatoka na sikio hata la mmoja wao yaan nitahakikisha nimelikata nikalitema chini puu.
Uzuri hata wakiniuwa ni sawa na huko huko nako pelekwa sijui kuna kurudi au laaa..
Hukumu ya kutembea na Mke wa MTU ni kuuliwa ?.wake za watu sumu vijana bodaboda,
unadhani unaiba kwa siri, matokeo yake unapotezwa hadharini dah, inasikitisha sana na inafedhehesha mno,
Tamaa ni kitu mbaya sana ndugu zangu 🐒
Hukumu iko mikononi mwa mwenye mali yakeHukumu ya kutembea na Mke wa MTU ni kuuliwa ?.
Hadi anachukua pikipiki inatafsiri nini hiihuyo aliyebaki pia mmeshindwa kumvizia kumkamata mbona ana kamwili kadogo
Kwa sheria zipi ?.Hukumu iko mikononi mwa mwenye mali yake
Mkikusanyika watu 50 au 100 hapo watawaua wote?
Hao watekaji hapo kama risasi wali,o nazo sidhani kama zinazidi 10 kama wana bastola
hiko chama nature yake kuanzia viongozi hata wawe wasomi vipi lazima wajitoe akili, kwanzia nizaliwe sijawahi kuona mtu anaye-support hiko chama halafu awe ni mtu mwenye hoja, never...Matukio kama haya eti kuna wajinga bado wanaipenda ccm tu
Mnachokitafuta mtakipata! Kuna mtu atatekwa kweli na watu watafikiri ni ukamataji wa nguvu. Huo siyo utekaji ambao watu wengine mpaka wanasaidia bali ni ukamataji wa nguvuUkamataji hauko hivyo, huko ni kuteka
Angalau wewe una akili! Mtu anayesema huo ni utekaji, hana akiliKuingilia mambo ya watu ni risk mno
Watu wamteke boda boda????
Hao bila shika wanajuana tu wakamalizane arudi kijiweni
Acha kutudanganya na wewe,wakenya wangapi wameshatekwa na kuuawa kinyama mpk sasa...?Askari ambaye amepitia mafunzo anakuja kukukamata hajavaa sare ya aina yoyote ile , daah ni hatari sana sema watanzania ni waoga sana huku kenya huwa tunakulanga saani moja na askari.
Kwa upande wako boda boda ni kama taka taka flani hivi ambae hana thamani hata akiuliwa hadharani bila sababu hastahili kupewa msaada wowote.Kuingilia mambo ya watu ni risk mno
Watu wamteke boda boda????
Hao bila shika wanajuana tu wakamalizane arudi kijiweni
ni kupewa taji sio gentleman?Hukumu ya kutembea na Mke wa MTU ni kuuliwa ?.
Kwa upande wako boda boda ni kama taka taka flani hivi ambae hana thamani hata akiuliwa hadharani bila sababu hastahili kupewa msaada wowote.
Ni watu wa taaluma au fani gani wanastahili au wenye vigezo vya kupewa msaada wanapopatwa na tatizo kama hilo lililompata huyo unaemwita "bodaboda" kwenye video??
Ni kitu gani kimekufanya uamini hao watu wanaomteka huyo bodaboda wanajuana nae??
muerevu mihemko na makasiriko sio deal,Yaani we msenge huna akili kabisa. Umejuaje kuwa wake za watu?
Ishi maisha Yako usipende kujiingiza kwenye vitu usivyovijua hata ungedakwa wewe huyo boda angekua anakuangalia tuKwa upande wako boda boda ni kama taka taka flani hivi ambae hana thamani hata akiuliwa hadharani bila sababu hastahili kupewa msaada wowote.
Ni watu wa taaluma au fani gani wanastahili au wenye vigezo vya kupewa msaada wanapopatwa na tatizo kama hilo lililompata huyo unaemwita "bodaboda" kwenye video??
Ni kitu gani kimekufanya uamini hao watu wanaomteka huyo bodaboda wanajuana nae??
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.