Hivi ndugu Wtz mnapotaka kujstify mawazo yenu huwa mnayafikiria marambilimbili.Shida ujui kama huyo jamaa ni jambazi au mla wake za watu ili anakwenda kupelekewa kiboga
WAliorecordd wanatakiwa kupongezwa mkuu, tusidharau hilo tulipo ni pabaya sana, Ali kibao sio tu tulikosa video hata picha zimekosekanaMojawapo ya swali gumu kwa sasa ni kutofautisha watanzania na nguruwe.
Huyu aliye record ni kabsa nguruwe aliyejinyea!
Kinachoniuma ni hakuna hatua inafanywa na raia na wanajua hali ya sasa na nini wafanye.WAliorecordd wanatakiwa kupongezwa mkuu, tusidharau hilo tulipo ni pabaya sana, Ali kibao sio tu tulikosa video hata picha zimekosekana
Unatoa mkakati gani mkuu wa wananchi kukabiliana na hawa watu wanaokuja na chuma?Niko Kanda ya ziwa
Hao wanaitwa OUTER wapo pa1KUna Prado imepita hapo je ilikuwa ni team moja na wakamataji?
Wewe unaongelea enzi hizo.Hichi kizazi cha vijana wanatahiriwa kwa ganzi ni cha hovyo kabisa.Madogo sijui hata kama wanaweza kuchinja kuku nowdays😀😀😀Wanaume wa pwani ni watu waoga sana na bahati mbaya wanajifanya wajuaji sana na ndio maana nitawakubali siku zote wanaume wa mkoa wa mara hasa wakurya .
Nakumbuka miaka ya 2000 kuja mpka 2008 askari au mwanajeshi tulikuwa tunamuona kama mgambo tu kwani kisu cha tumbo au shime moja tu ilikuwa inatosha kumziba mdomo na ubabe wake.
Na wakati wa jando (tohara) mwezi wa kumi na mbili tulikuwa tunafundishwa namna ya kukimbia kwa kukwepa risasi endapo umempiga askari.
Jakaya ndo alitukosea sana kutuletea kanda maalumu.
BHAMUR abantu bha pwani ni abarisia sana.
Wewe ni shujaa asieonekana, huenda hata kufanya hivyo tu usingeweza.Mojawapo ya swali gumu kwa sasa ni kutofautisha watanzania na nguruwe.
Huyu aliye record ni kabsa nguruwe aliyejinyea!
Yeah juzi juzi tu huku Mwanza mshkaji kabebwa. Na kusipokuwa na videos ndiyo zinapushiwa zile agenda za "amejiteka huyo", " ameenda kwa mchepuko", "amekimbilia kwa Madiba huyo".WAliorecordd wanatakiwa kupongezwa mkuu, tusidharau hilo tulipo ni pabaya sana, Ali kibao sio tu tulikosa video hata picha zimekosekana
Kabisa , na JPM kuwanyang'anya Vijana wa Tarime Bastola zao ,ndio alikuja kusababisha Leo hii ujambazi umeongezeka Tarime.Wanaume wa pwani ni watu waoga sana na bahati mbaya wanajifanya wajuaji sana na ndio maana nitawakubali siku zote wanaume wa mkoa wa mara hasa wakurya .
Nakumbuka miaka ya 2000 kuja mpka 2008 askari au mwanajeshi tulikuwa tunamuona kama mgambo tu kwani kisu cha tumbo au shime moja tu ilikuwa inatosha kumziba mdomo na ubabe wake.
Na wakati wa jando (tohara) mwezi wa kumi na mbili tulikuwa tunafundishwa namna ya kukimbia kwa kukwepa risasi endapo umempiga askari.
Jakaya ndo alitukosea sana kutuletea kanda maalumu.
BHAMUR abantu bha pwani ni abarisia sana.
Mbele ya chuma watanzania sisi, mtatuonea tu tuliopo Dar na pwani.Hiv mkuu unadhan hapo waliokuwa wanashangaa hapo wangesogea hata watu 20 huyo jamaa wangemchukua? Tatz linakuja n uoga wetu tuliotengenezewa
Mtu ni mtu Jomba.Wewe Mimi ni mtu wa Kanda ya ziwa .
Huwa tunaamini Kufa lazima ufe .
Huu nao ni ujinga mwingine. Hivi wewe hujui kwa sasa watu walio wengi wanaoishi Dar wametoka mikoani?? Ikiwemo watu wa huo mkoa wako unaojisifia??Wanaume wa pwani ni watu waoga sana na bahati mbaya wanajifanya wajuaji sana na ndio maana nitawakubali siku zote wanaume wa mkoa wa mara hasa wakurya .
Nakumbuka miaka ya 2000 kuja mpka 2008 askari au mwanajeshi tulikuwa tunamuona kama mgambo tu kwani kisu cha tumbo au shime moja tu ilikuwa inatosha kumziba mdomo na ubabe wake.
Na wakati wa jando (tohara) mwezi wa kumi na mbili tulikuwa tunafundishwa namna ya kukimbia kwa kukwepa risasi endapo umempiga askari.
Jakaya ndo alitukosea sana kutuletea kanda maalumu.
BHAMUR abantu bha pwani ni abarisia sana.
Mkuu mimi hua nasema msemo mmoja. " Bongo kila mtu anataka mabadiliko bila yeye kuhusika " wengi tupo hivo na kwa video hii mshikamano kuupata labda lije tukio moja kubwa litakalotuamsha wote kwa pamojaKinachoniuma ni hakuna hatua inafanywa na raia na wanajua hali ya sasa na nini wafanye.
Na kweli mzee naskia siku hizi ni mwendo wa ganzi tu.Wewe unaongelea enzi hizo.Hichi kizazi cha vijana wanatahiriwa kwa ganzi ni cha hovyo kabisa.Madogo sijui hata kama wanaweza kuchinja kuku nowdays😀😀😀
Walizengua sana hawa wazee wangetuachia tu ubabe wetu kwa kwenda mbele maana ni asili yetu kuona damu kumwagika sikio kudondoka mtu kutolewa utumbo n ilikuw ni sehem yetu ya maishaKabisa , na JPM kuwanyang'anya Vijana wa Tarime Bastola zao ,ndio alikuja kusababisha Leo hii ujambazi umeongezeka Tarime.
Ni sera inayoratibiwa na mboga mbogaBashungwa ameanza pale alipoishia Masauni
Asee umesema penyewe.Walking zombies!!!
Ukiwakuta wanavyoshupalia ubishani wa simba na yanga sasa🤣🤣🤣
Ni kweli mzee maana wengine hawajawahi kusikia hata mlio wa bastol pancha tu ya gari watu wanatoka ndukiMbele ya chuma watanzania sisi, mtatuonea tu tuliopo Dar na pwani.
HakikaPole yake,kuna haja ya wachina waje kutufundisha judo!
Mkuuu itabidi niandike Uzi, mjifunze namna gani huku Kanda maalumu tunapambana na Hawa wahuni .Unatoa mkakati gani mkuu wa wananchi kukabiliana na hawa watu wanaokuja na chuma?