Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Toka mwanzo tulishaona dalili za magufuli na TUME YAKE YA UCHAGUZI kutaka kuvuruga uchaguzi huu, kutokana na kujaza MAKADA hapo NEC. Safari hii hatutakubali asilani mchezo wowote ule mchafu dhidi ya kura zetu.
Maamuzi yeyote ya KIPUUZI basi ieleweke yatapelekea damu kumwagika tu, IKO HIVYO.
Maamuzi yeyote ya KIPUUZI basi ieleweke yatapelekea damu kumwagika tu, IKO HIVYO.