JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Akili za, wa Afrika, kila kitu ni hisia tu, ushoga unatisha kuliko rasilimali, za, nchi zinapouzwa, kutumika vibaya na kuleta madhara makubwa,
Ukipelekwa Amana, mwananyamara, muhimbili kama upo mahututi, uweZekano wa, kufa ni asilimia 83! Kutokana na huduma mbovu!
Hapo hutasikia watu wakipiga kelele,
Ukipelekwa Amana, mwananyamara, muhimbili kama upo mahututi, uweZekano wa, kufa ni asilimia 83! Kutokana na huduma mbovu!
Hapo hutasikia watu wakipiga kelele,