Video: Mzungu akamatwa kwa kugawa vitabu vya ushoga kwa watoto

Video: Mzungu akamatwa kwa kugawa vitabu vya ushoga kwa watoto

Na ndiyo wanataka iwe hivyo! Hawa jamaa nyoko sana wanatakiwa wadhibitiwe mmoja mmoja! Kwao uzazi umeshuka hadi huruma na Afrika tukikomaa tutakuja kuitawala dunia! Tutakuja na sisi kufanya Scramble of Europe!
Kwa akili hizi za kuwaza ngono na pombe ndo mje muitawale Dunia? Wee amka utajikojolea buree, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akajiachie huko kwao ulaya aliemwambia tunataka mavitabu yake nani??..
Na hao mashoga wanaotaka kujiachia waende wakaishi huko kwny nchi zinazowatambua....
Mbona hapa wanatambulika? Sitaki kuamini wee hujui hili.
Au nikuletee ushahidii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na km kujiachia wanajiachia sana tyuuh, huko mashughurini kila leo ni matarumbeta na vigomaa. Woiiiih
 
Najibu paragraph ya mwsho, hivi kumbe huwa mnapinga ushoga kisa kuzaliana na kuendeleza ukoo au familia? Kwan kuzaa ni lazima? Maana unaweza kuzaa watoto straight na wasizae pia, kwa sababu ni maamuzi yao? Wengine wanashindwa kuzaa kisa matatizo ya ugumba na tasa, je hawa nao ni mashoga? Afu mbona kuna mashoga wanazalisha, au hujui hili?

Sijawahi kuona hoja mahsusi au zenye mashiko zinazofanya ushoga upingwe, na siku nikiziona wallah nitakua mstari wa mbele ktk kupinga hili.

Nyie wazazi pingeni na kluea watoto wenu huko majumbani, sio kuanza kusakama watu na projects zao, afu hao wazungu wakitaka kuwamaliza nyie wa Africa mbona dkk chache tyuuh, au mnajitoaga ufahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atheism = LGBTQ+, Commercial sex works, Pornography e.t.c.
 
Aisee ningekuwa rais ningeamrisha huyo bibi awe deported mara moja na apigwe bani ya kuingia Tanzania maisha yake yote. Mambo kama haya wafanyie kwao sio katika hii nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda wee ndo utapigwa ban ya kwenda ulayaa.
 
Naona unatumia nguvu nyingi kuhalalisha jambo hili. Huyu Mzungu ametoka kwao, ameleta vitabu ambavyo vinahimiza Wanaume kuvaa magauni ya pinki, halafu wewe unaona ni jambo la jema????
Mbona Joti anavaa had rangi nyekundu, kwann msimkataze km kweli mko serious? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asee anatakiwa kuwa deported fasta..angefanya hivi kwa Museven wa Uganda angemuonesha.
Halafu kuna wazazi hawako aware kabisaa na contents kama hizo yaani hapo ushoga unaingizwa kwa mwanao na wewe huelewi...unakuta mzazi hujui kingereza umesomesha mtoto English medium na ndani una DSTV na huelewi contents za katuni asee ni shida
 
Najibu paragraph ya mwsho, hivi kumbe huwa mnapinga ushoga kisa kuzaliana na kuendeleza ukoo au familia? Kwan kuzaa ni lazima? Maana unaweza kuzaa watoto straight na wasizae pia, kwa sababu ni maamuzi yao? Wengine wanashindwa kuzaa kisa matatizo ya ugumba na tasa, je hawa nao ni mashoga? Afu mbona kuna mashoga wanazalisha, au hujui hili?

Sijawahi kuona hoja mahsusi au zenye mashiko zinazofanya ushoga upingwe, na siku nikiziona wallah nitakua mstari wa mbele ktk kupinga hili.

Nyie wazazi pingeni na kluea watoto wenu huko majumbani, sio kuanza kusakama watu na projects zao, afu hao wazungu wakitaka kuwamaliza nyie wa Africa mbona dkk chache tyuuh, au mnajitoaga ufahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We tatizo lako mknd unawasha vizuri unaposuguliwa ndo maana unaona hakuna sababu ya kufuta ushost.
 
Kitabu nimekicopy ndio hiki je wataalamu kuna code zozote zimefichwa humu, kimeandikwa in poetic form.

THE GRANDPA THAT NEVER GREW UP

There once was a man
That was pretty old
Who did silly things and
Who couldn't be told.

When I asked
About his age,
He smiled and said,
"Have you seen me on stage?"
He took me into town,
And right then and there,
He hopped on a mic
And sang along with cher.

There was the time
He took me to pride.
He wore a pink dress;
All his hair he dyed.

Then there was
That halloween
He put on makeup
And went as a queen.

I asked him once
If he'd ever retire
"Do i look like milk
With a date to expire?"

"Flip me over
Check out my feet,
A ring for each year.
I age like a treat."
Tafasiri isiyo rasmi.

BABU ASIYEKUA
Wakati mmoja kulikuwa na mtu
Hiyo ilikuwa ya zamani sana
Nani alifanya mambo ya kipumbavu na
Nani hakuweza kuambiwa.
Nilipouliza Kuhusu umri wake,
Alitabasamu na kusema,
"Umeniona jukwaani?"
Alinipeleka mjini,
Na hapo hapo,
Akaruka juu ya maikrofoni Na kuimba pamoja na cher.
Kulikuwa na wakati
Alinipeleka kwa kiburi.
Alivaa nguo ya pink;
Nywele zake zote alizipaka rangi.
Kisha kulikuwa Halloween hiyo
Akajipodoa Na akaenda kama malkia.
Nilimuuliza mara moja Ikiwa angewahi kustaafu
"Je, ninaonekana kama maziwa Na tarehe ya kuisha?"
"Nigeuze Angalia miguu yangu,
Pete kwa kila mwaka.
Ninazeeka kama zawadi."
 
Kitabu nimekicopy ndio hiki je wataalamu kuna code zozote zimefichwa humu, kimeandikwa in poetic form.

THE GRANDPA THAT NEVER GREW UP

There once was a man
That was pretty old
Who did silly things and
Who couldn't be told.

When I asked
About his age,
He smiled and said,
"Have you seen me on stage?"
He took me into town,
And right then and there,
He hopped on a mic
And sang along with cher.

There was the time
He took me to pride.
He wore a pink dress;
All his hair he dyed.

Then there was
That halloween
He put on makeup
And went as a queen.

I asked him once
If he'd ever retire
"Do i look like milk
With a date to expire?"

"Flip me over
Check out my feet,
A ring for each year.
I age like a treat."
Ukiisoma vizuri hiyo paragraph ya kwanza, naomba kunukuu.

"There once was a man
That was pretty old
Who did silly things and
Who couldn't be told."

Tafasiri isiyo Rasmi.

Wakati mmoja kulikuwa na mwanaume
Naye alikuwa Mzee sana.
Na alifanya mambo ya kipumbavu
Na alikuwa haambiliki

Mtanisamehe kwa hiyo tafasiri yangu kwani nimejaribu Google translate ila nikaona hainipi maana halisi.


Naona kama hicho kitabu kilikuwa kikimzungumzia Mzee mjinga, ila hao waliomkamata huyo mama wa kizungu wameamua kutumia mistari michache ya kwenye hicho kijitabu ambaho haijabeba content yeyote.

Naona kama kuna chuki kwenye hili jambo
 
Najibu paragraph ya mwsho, hivi kumbe huwa mnapinga ushoga kisa kuzaliana na kuendeleza ukoo au familia? Kwan kuzaa ni lazima? Maana unaweza kuzaa watoto straight na wasizae pia, kwa sababu ni maamuzi yao? Wengine wanashindwa kuzaa kisa matatizo ya ugumba na tasa, je hawa nao ni mashoga? Afu mbona kuna mashoga wanazalisha, au hujui hili?

Sijawahi kuona hoja mahsusi au zenye mashiko zinazofanya ushoga upingwe, na siku nikiziona wallah nitakua mstari wa mbele ktk kupinga hili.

Nyie wazazi pingeni na kluea watoto wenu huko majumbani, sio kuanza kusakama watu na projects zao, afu hao wazungu wakitaka kuwamaliza nyie wa Africa mbona dkk chache tyuuh, au mnajitoaga ufahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una hoja ila vitabu huwa vinainfluence kubwa sana kwa watoto. Tatizo la sasa kwa vijana, linatokana na Porno kuzagaa kwa vijana miaka yenu.

Vitabu wanavyopewa watoto au picha, zinafaa ziwe zinaakisi utamaduni wetu.

Kukemea kuna nafasi kubwa katika jamii. Nakumbuka mimi nilisoma old moshi. Kwa waliosoma old moshi miaka ya 70 watakumbuka kuwa kuna kijana mmoja wa Mangi wa uchagani alikuwa kama Msichana na alikuwa analiwa. Jinsi ya kumla ilikuwa unaanza kuzoeana naye halafu unamlewesha, unamkuja. Nakumbuka kutokana na balehe nilianza urafiki naye. Siku moja kuna ndugu yangu alikuwa form six akana kunitembelea akamkuta katika cubical yangu.

Wee! Aliniwakia ajabu, akadai sisi kwetu huwa hatuli wanaume tunakula wanawake. Akanieleza kama nataka Msichana atanitafutia. Niliona aibu na tangu siku hiyo nikamkwepa. Na toka siku hiyo sijawahi kutamani mwanaume.

Kwa maana hiyo, kuwapa vitabu au kuwaonesha picha zisizokubalika katika jamii si sawa.

Watoto wana empty slate na chochote unachokiweka Kina stick hata akija kuwa mkubwa.
 
Najibu paragraph ya mwsho, hivi kumbe huwa mnapinga ushoga kisa kuzaliana na kuendeleza ukoo au familia? Kwan kuzaa ni lazima? Maana unaweza kuzaa watoto straight na wasizae pia, kwa sababu ni maamuzi yao? Wengine wanashindwa kuzaa kisa matatizo ya ugumba na tasa, je hawa nao ni mashoga? Afu mbona kuna mashoga wanazalisha, au hujui hili?

Sijawahi kuona hoja mahsusi au zenye mashiko zinazofanya ushoga upingwe, na siku nikiziona wallah nitakua mstari wa mbele ktk kupinga hili.

Nyie wazazi pingeni na kluea watoto wenu huko majumbani, sio kuanza kusakama watu na projects zao, afu hao wazungu wakitaka kuwamaliza nyie wa Africa mbona dkk chache tyuuh, au mnajitoaga ufahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaposema kwani Kuzaa ni lazima imagine Wazazi wote wangekuwa na mtazamo kama wako, vipi Kizazi hiki kingekwepo?

Uzazi ni urithi, imagine Bwana Macdonald's angekuwa na mtazamo kama wako, baada ya Kifo unadhani tungeendelea kulisikia jina hilo?

Usiniambie hauna mpango wa kumzalia Mkwe wangu pindi akimaliza kukutolea mahari 😜, Tena kumfurahisha unamletea watoto Kopilaiti kabisa 😜🤗
 
Asee anatakiwa kuwa deported fasta..angefanya hivi kwa Museven wa Uganda angemuonesha.
Halafu kuna wazazi hawako aware kabisaa na contents kama hizo yaani hapo ushoga unaingizwa kwa mwanao na wewe huelewi...unakuta mzazi hujui kingereza umesomesha mtoto English medium na ndani una DSTV na huelewi contents za katuni asee ni shida
Hawa mashoga wa Bongo nao wameletewa na wazungu? Au wazungu ndo wanao walala hao mashoga? Acheni visingizio hapa.
 
Hii ni video inayosambaa mitandaoni inayoonyesha Mwanamke mmoja wa kizungu akiwa amekamatwa na Wananchi kwa shutuma za kusambaza vitabu vyenye kueneza tabia ya Ushoga kwa watoto.

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2889864

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
Haona lazima kuna Watanzania wanashirikiana nao.

Wizara Gwajima imemshinda.
 
Una hoja ila vitabu huwa vinainfluence kubwa sana kwa watoto. Tatizo la sasa kwa vijana, linatokana na Porno kuzagaa kwa vijana miaka yenu.

Vitabu wanavyopewa watoto au picha, zinafaa ziwe zinaakisi utamaduni wetu.

Kukemea kuna nafasi kubwa katika jamii. Nakumbuka mimi nilisoma old moshi. Kwa waliosoma old moshi miaka ya 70 watakumbuka kuwa kuna kijana mmoja wa Mangi wa uchagani alikuwa kama Msichana na alikuwa analiwa. Jinsi ya kumla ilikuwa unaanza kuzoeana naye halafu unamlewesha, unamkuja. Nakumbuka kutokana na balehe nilianza urafiki naye. Siku moja kuna ndugu yangu alikuwa form six akana kunitembelea akamkuta katika cubical yangu.

Wee! Aliniwakia ajabu, akadai sisi kwetu huwa hatuli wanaume tunakula wanawake. Akanieleza kama nataka Msichana atanitafutia. Niliona aibu na tangu siku hiyo nikamkwepa. Na toka siku hiyo sijawahi kutamani mwanaume.

Kwa maana hiyo, kuwapa vitabu au kuwaonesha picha zisizokubalika katika jamii si sawa.

Watoto wana empty slate na chochote unachokiweka Kina stick hata akija kuwa mkubwa.
Kwahiyo unataka kuniambia ushoga hapa Bongo unaletwa na wazungu? Au hao wazungu ndo wanawalazimisha muwe mashoga?

Yaan wazungu wakitaka Tz iwe na ushoga kwa wingi na wakiamua wanaweza wala hawawezi kutumia nguvu, kuhusu porno kwan vijana hao wameshikiwa akili watazame? si wanataka wenyewe?

Hyo scenario yako ya shule na huyo Bottom, wee ndo ulikua una uhitaji sio yeye, maana ndo ulitengeneza mazingira rahis kwako uweze kumla, kwan yeye ndo alikushawishi? Ndo mambo yenu haya mnawafata wenyewe gays, afu mnasingizia wao ndo wanawasumbua Lol

Unafiki huu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kuna ushoga gani
Hebu soma kwa makini hayo maneno rahisi ya kiingereza:

- he (ikimaanisha mwanamme) took me to Pride (hii ni taasisi inayoeleweka kabisa ya mashoga na wasagaji na kila mwaka wanaakuwa na Pride parade).

  • he wore a pink skirt: mwanamme anavaa sketi siku hizi? tena ya pink ikimaanisha ya kike?
  • he dyed his hair: amepaka rangi pink (labda)

bado tu hujafahamu kuwa huyo babu ni hanisi au basha na anataka mjukuu wake awe kama yeye?
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Back
Top Bottom