bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mtu mdogo sana huyu kuwasiliana na papaSimu yake ikaguliwe akikutwa na namba ya Papa huo ni ushahidi hatua kali zichukuliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mdogo sana huyu kuwasiliana na papaSimu yake ikaguliwe akikutwa na namba ya Papa huo ni ushahidi hatua kali zichukuliwe
Mwanaume kavaa gauni la pink..Maana yake nn hayo maneno
Upuuzi una madhara kuliko sukariStupid hamwezi kupambania sukari ya 6000 Tsh a kilo mnapambania upuuzi ambao hauna hicho mnachokisema
Akajiachie huko kwao ulaya aliemwambia tunataka mavitabu yake nani??..Hao watoto wenu muwalinde kwenu, yaan mtu asijiachie kisa mtoto wako? Km huwezi kumlea mwanao ni tatizo lako.
[emoji16][emoji16]Walitakiwa wamlawiti kwanza kabla ya kumhoji
MADHARA GANI WATU WANAFANYA "UPUUZI" WAO CHUMBANI? TATIZO NI KUWA MNAKUWA VERY MUCH DRIVEN AND REASONING BY DINIUpuuzi una madhara kuliko sukari
Ndio maana nasema Msiwe mnapeleka watoto wenu shule za English Mediums. Kuna ushetani mwingi sana umeandikwa kwa lugha ya kiingereza. Nyerere hakuwa mjinga kuweka mfumo watoto waanze kiingereza wakifika form one.
Halloween sio ushoga"He wore a pink dress".All his hair he dyed".Alafu mtu anasema ni kitabu cha kawaida.Hapo mwanao akisoma soon ataanza.kuvaa magauni kisha baadae unalalamika mtoto kabadilika,hiki kitabu kinapandikiza mentality za ushoga kwa watoto kidogo kidogo kuvaa gauni kwa mtoto wa kiume sio mbaya?
Kama kuna atheists, itashindikana vip mashoga wasiwepo.Nimegundua hapa JF kuna manaume mengi suruali, yaani hayaoni dalili za ushoga kwenye hicho kitabu? Yanatetea ujinga!
Uchoko kidogokidogo,mtu humbadilishi siku mojaHapo kuna ushoga gani
Psychologically wanamzoesha mtoto taratibuHiyo ya kwanza inaweza ikawa ya kishoga, tatizo hatuna kitabu kizima, lakini ni ngumu kumuelezea mtoto wa kitz inakuaje ya kishoga mpaka aelewe
Hiyo ya pili sio ya kishoga, cross dressing in halloween isn't gay
Subiria mwanao awe shoga utuletee mrejeshoMADHARA GANI WATU WANAFANYA "UPUUZI" WAO CHUMBANI? TATIZO NI KUWA MNAKUWA VERY MUCH DRIVEN AND REASONING BY DINI
Naona unatumia nguvu nyingi kuhalalisha jambo hili. Huyu Mzungu ametoka kwao, ameleta vitabu ambavyo vinahimiza Wanaume kuvaa magauni ya pinki, halafu wewe unaona ni jambo la jema????Kwani joti havaagi magauni? Issue ni kuvaa gauni Kwa muktadha upi labda kavaa kachanganyikiwa ,anaigiza ,mwizi, jasusi etc so content ya hicho kitabu ni ushoga kweli au?
Niandamane kwa kipi? Mtaandamana nyie na hakna kitu mtafanyaa.Aah wewe tena wa upande ule ule..... Andamana
Najibu paragraph ya mwsho, hivi kumbe huwa mnapinga ushoga kisa kuzaliana na kuendeleza ukoo au familia? Kwan kuzaa ni lazima? Maana unaweza kuzaa watoto straight na wasizae pia, kwa sababu ni maamuzi yao? Wengine wanashindwa kuzaa kisa matatizo ya ugumba na tasa, je hawa nao ni mashoga? Afu mbona kuna mashoga wanazalisha, au hujui hili?Kwamba ungependa waachwe waendelee kueneza huo ushoga hadharani Mkuu?
Nilidhani suala la ushoga libaki kama maamuzi binafsi ya mtu kwamba awe ama asiwe ila hutakiwi kumfundisha mtoto ili aje aingie huko kutokana na influence za mafundisho Yako
Kama Wazazi tuiunge Mkono Serikali kwenye kupiga vita hayo mafundisho kwaajili ya kesho ya Vizazi vyetu.
Unadhani kwenye familia ukipata watoto wote wamekuwa mashoga hivyo Vizazi vyetu vitaendelezwa na nani? Ama wanataka Siku Grahams nikifa basi na ukoo wa Grahams ufe Siku hiyo hiyo maana hakutakuwa na mtoto atayekuwa rijali wa kuendeleza jina
Ila ndio type zako kwenye mambo yetu yaleYani nyie ni watu wa ajabu sana huoni huo ni ushoga? Huyo Mzungu siyo wa kutetewa apigwe na kufukuzwa kabisa nchini chini ya masaa 24.