Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Tufafanulie mkuu ww uliyeelewa ili na sisi tuelewe kama wewe.Watu wengi mnasoma juu juu hicho kitabu.Hicho kitabu sio kizuri kwa watoto !Watanzania ndio maana hata mnasainishwa mikataba ya ajabu hamsomi kuelewa maana mnasoma kumaliza!