Video: Mzungu akamatwa kwa kugawa vitabu vya ushoga kwa watoto

Video: Mzungu akamatwa kwa kugawa vitabu vya ushoga kwa watoto

Watu wengi mnasoma juu juu hicho kitabu.Hicho kitabu sio kizuri kwa watoto !Watanzania ndio maana hata mnasainishwa mikataba ya ajabu hamsomi kuelewa maana mnasoma kumaliza!
Tufafanulie mkuu ww uliyeelewa ili na sisi tuelewe kama wewe.
 
hata kwako unafanywa mbona unapika kelele sana. Unaujua ndiyo maana unapiga kelel sana. wewe mambo ya chumbani yanakuhusu nini> Nakwambia pwani mna tabia hiyo (najua mtatukana)
Nisamehe kama nimekukwaza.
 
Kitabu nimekicopy ndio hiki je wataalamu kuna code zozote zimefichwa humu, kimeandikwa in poetic form.

THE GRANDPA THAT NEVER GREW UP

There once was a man
That was pretty old
Who did silly things and
Who couldn't be told.

When I asked
About his age,
He smiled and said,
"Have you seen me on stage?"
He took me into town,
And right then and there,
He hopped on a mic
And sang along with cher.

There was the time
He took me to pride.
He wore a pink dress;
All his hair he dyed.

Then there was
That halloween
He put on makeup
And went as a queen.

I asked him once
If he'd ever retire
"Do i look like milk
With a date to expire?"

"Flip me over
Check out my feet,
A ring for each year.
I age like a treat."
 
Soma content: "He wore a pink dress" toka lini Mwanaume avae gauni la pink?? Huyu anaeneza Ushoga
Kwani joti havaagi magauni? Issue ni kuvaa gauni Kwa muktadha upi labda kavaa kachanganyikiwa ,anaigiza ,mwizi, jasusi etc so content ya hicho kitabu ni ushoga kweli au?
 
Nimewapenda sana hao wananchi..tukiungana hivi na kuonyesha kukataa huu upuuzi watu watanyooka na hivyo vitendo vitapungua au kufanywa kw siri kubwa sio kama hivi sasa mi watu inajiachia tuu na kuonyesha picha mbaya kwa watoto
 
Hii ni video inayosambaa mitandaoni inayoonyesha Mwanamke mmoja wa kizungu akiwa amekamatwa na Wananchi kwa shutuma za kusambaza vitabu vyenye kueneza tabia ya Ushoga kwa watoto.

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2889864

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
Ndio maana nasema Msiwe mnapeleka watoto wenu shule za English Mediums. Kuna ushetani mwingi sana umeandikwa kwa lugha ya kiingereza. Nyerere hakuwa mjinga kuweka mfumo watoto waanze kiingereza wakifika form one.
 
Ushoga? Duh! Watu wameingiwa na wasiwasi kiasi kwamba kila kitu wanaona ni ushoga tu, sasa huyo mwanamke na ushoga wapi na wapi, si wangesema usagaji? Huu ushoga unapewa promo sana hata pasipokuwa na uwepo wa jambo hilo
Wakifirimbwa familia yako na wewe inatosha mkuu... Tumekuelewa.
 
Nakumbuka hivyo vitabu vilipigwa marufuku Mwaka Jana, nadhani ilikuwa Mwezi March hivi.

Kuna kikao tulifanya na PM - Majaliwa nakumbuka ndiyo alitoa maelekezo ya Serikali kuhusu hili swala.

Kama hao washenzi wanaendelea na hizo nia zao ovu za kueneza ushoga nashauri Sheria Kali zitumike kuwaadabisha
Na wao wata waadabisha afu mtaona nani ana nguvu, muulize Jpm na Makonda wake, watakupa majibu mujarabuu.
 
Nimewapenda sana hao wananchi..tukiungana hivi na kuonyesha kukataa huu upuuzi watu watanyooka na hivyo vitendo vitapungua au kufanywa kw siri kubwa sio kama hivi sasa mi watu inajiachia tuu na kuonyesha picha mbaya kwa watoto
Hao watoto wenu muwalinde kwenu, yaan mtu asijiachie kisa mtoto wako? Km huwezi kumlea mwanao ni tatizo lako.
 

Mitandaoni humu watanzania tunauchukia sana ushoga na kila mtu anajitenga nao na kuulaani, lakini nashangaa kitu kimoja.

Ni kwanini bado kesi za kulawitiwa watoto wadogo zinaendelea kushika kasi na tena wanalawitiwa na watanzania na sio wazungu?

Bado pia watu wanashiriki ngono na wanawake kinyume na maumbile wameongezeka na imekuwa ndio habari ya mjini.

Hivi ni kweli tunauchukia ushoga au kuna wenzetu humu mitandaoni wanatuzuga?
 

Mitandaoni humu watanzania tunauchukia sana ushoga na kila mtu anajitenga nao na kuulaani, lakini nashangaa kitu kimoja.

Ni kwanini bado kesi za kulawitiwa watoto wadogo zinaendelea kushika kasi na tena wanalawitiwa na watanzania na sio wazungu?

Bado pia watu wanashiriki ngono na wanawake kinyume na maumbile wameongezeka na imekuwa ndio habari ya mjini.

Hivi ni kweli tunauchukia ushoga au kuna wenzetu humu mitandaoni wanatuzuga?
Mashoga kila leo wanakuja upya mtaani, lakini huku mitandaoni sasa hizo kelele za kupinga had unashangaa.

Wabongo ni WANAFIKI.
 

Mitandaoni humu watanzania tunauchukia sana ushoga na kila mtu anajitenga nao na kuulaani, lakini nashangaa kitu kimoja.

Ni kwanini bado kesi za kulawitiwa watoto wadogo zinaendelea kushika kasi na tena wanalawitiwa na watanzania na sio wazungu?

Bado pia watu wanashiriki ngono na wanawake kinyume na maumbile wameongezeka na imekuwa ndio habari ya mjini.

Hivi ni kweli tunauchukia ushoga au kuna wenzetu humu mitandaoni wanatuzuga?
Huoni kuna watu humu wanatetea upuuzi huo, hao ndio malaanakum wenyewe
 
Back
Top Bottom