Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
walishai kusoma sheria za jaji mkuu zinazotumika mpaka sasa kwa kingerezaKwani kingereza si watu wanafundishwa shule...si wanasema msomi mpaka ajue kingereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walishai kusoma sheria za jaji mkuu zinazotumika mpaka sasa kwa kingerezaKwani kingereza si watu wanafundishwa shule...si wanasema msomi mpaka ajue kingereza
hebu endelea kushusha sentensi tata tunaanza kupata picha ya maudhi yake"He put on makeup and went as a queen".
Kuna washamba hapo juu wanakuambia hawajaona linalohusiana na ushoga kwenye kitabuOngeza na hii
View attachment 2889873
sawa, je wanagawa ule mtandao?View attachment 2889906
View attachment 2889907
View attachment 2889909
Hawa ndio waeneza ushoga namba moja kwa kujificha kwenye mwavuli wa sanaa
Sijui nisemeje ila me binafsi sijaona content ya ushoga Kivile labda tu bukta ya kikatuni PURIDE ila hata title ya kitabu sio ya ushoga kwamba the grandfather that never grew up
Unafiki tu umewajaa
Hapo kuna ushoga gani
Mb
Binafsi sioni kibaya kwenye hicho kitabu.
Ushoga? Duh! Watu wameingiwa na wasiwasi kiasi kwamba kila kitu wanaona ni ushoga tu, sasa huyo mwanamke na ushoga wapi na wapi, si wangesema usagaji? Huu ushoga unapewa promo sana hata pasipokuwa na uwepo wa jambo hilo
Kama hamjui kiingereza kaeni kimya.kiingereza tatizo kubwa, sioni ushoga wowote kwenye kitabu cha the grandpa that never grew up
Potelea mbali,hawa Wazungu ni kuwasagia kunguni tu,wajue Waafrika tumechafukwa hatutaki ujinga.
Kama hamjui kiingereza kaeni kimya.
Kuna sentence hapo mfano.
"He put on makeup
And went as queen"
What does it imply? Mwanaume anapaka makeup? Mwanaune anaweza kuwa malkia?
mikataba yenyewe ya kingereza ukiwa wauliza pips,points, pipettes inawachanganyaKama hamjui kiingereza kaeni kimya.
Kuna sentence hapo mfano.
"He put on makeup
And went as queen"
What does it imply? Mwanaume anapaka makeup? Mwanaune anaweza kuwa malkia?
Mtoto anaanza kuwaza na yeye ajirembeee avae gauni awe kama malkia kama character fulani kwenye kitabu.Kama hamjui kiingereza kaeni kimya.
Kuna sentence hapo mfano.
"He put on makeup
And went as queen"
What does it imply? Mwanaume anapaka makeup? Mwanaune anaweza kuwa malkia?
kwani uzaramuni mnafundisha watoto kumjua bwana liniMtoto anaanza kuwaza na yeye ajirembeee avae gauni awe kama malkia kama character fulani kwenye kitabu.
Sijakuelewakwani uzaramuni mnafundisha watoto kumjua bwana lini
ndoa za utoto mpaka leo zipo wapiSijakuelewa
Inahusiana nini na mada husika?? Nielekezendoa za utoto mpaka leo zipo wapi
Kwani vitabu vinagawa myandao ? Wanachofanya nikunormalize kuwa mwanaume anaweza kuwa mwanamke and its fun……ila hizo ndio chembechembe za Kueneza ushogasawa, je wanagawa ule mtandao?
mada yako inaeleza vipi kunijibu.au kingereza kilikupitia kwenye ufunguziInahusiana nini na mada husika?? Nielekeze
Hatari sana.Mtoto anaanza kuwaza na yeye ajirembeee avae gauni awe kama malkia kama character fulani kwenye kitabu.
Wewe hata sijui unaandika nini.. yaani haueleweki🚮mada yako inaeleza vipi kunijibu.au kingereza kilikupitia kwenye ufunguzi
nani yupo nyuma yao kupromoti kitu hicho?Kwani vitabu vinagawa myandao ? Wanachofanya nikunormalize kuwa mwanaume anaweza kuwa mwanamke and its fun……ila hizo ndio chembechembe za Kueneza ushoga
tafsiri basi kama unajua kingereza cha wajinganani yupo nyuma yao kupromoti kitu hicho?