Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, Nime-screenshot hiyo video kuonyesha maneno yanayohamasisha ushoga lakini baadhi ya watu wametoka patupu.Kiingereza kinawasumbua sana wabongo ndio maana tunapigwa sana hata enzi hizo ukisikiliza nyimbo za Bob ulikua unaoneka ni muhuni tu kumbe mzee Bob alikua ana madini ya hatari sana...Kinge ni tatizo hapo aisee
elezea ushoga huo tueleweYani nyie ni watu wa ajabu sana huoni huo ni ushoga? Huyo Mzungu siyo wa kutetewa apigwe na kufukuzwa kabisa nchini chini ya masaa 24.
Hiyo ya kwanza inaweza ikawa ya kishoga, tatizo hatuna kitabu kizima, lakini ni ngumu kumuelezea mtoto wa kitz inakuaje ya kishoga mpaka aeleweOngeza na hii
View attachment 2889873
Wewe jisemee nafsi yako kuwa ushoga unafanya sana nyumbani kwako usitafute kampani.Ushoga mafanya sana majumbani humo.... kuweni wakweli kweye nafsi zenu
Hii inaonyesha viashiria vya ushogaOngeza na hii
View attachment 2889873
mwenye soft copy ya kitabu alete tujue moja
Jamii ipo njiapandaHii ni video inayosambaa mitandaoni inayoonyesha Mwanamke mmoja wa kizungu akiwa amekamatwa na Wananchi kwa shutuma za kusambaza vitabu vyenye kueneza tabia ya Ushoga kwa watoto.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2889864
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Akwambia hivi hapa ndo utaelewa wazee wa umandeWatu hawajui kingereza ndio maana hawajaelewa kitu.
YANI HATA WA JOB TRUE TRUE NAWASHINDA KWELI?
Hapo kuna mtu anaona kawaida,sisi watanzania tunatia huruma jamani!Hatusomi kuelewa maana tunasoma kumalizaAkwambia hivi hapa ndo utaelewa wazee wa umande
Kuna mtu anasema haoni tatizo la kitabu hivi kweli
“He wore a pink dress” haina tatizo?
Kwani kingereza si watu wanafundishwa shule...si wanasema msomi mpaka ajue kingerezaswali wanajua kingerereza kwenye vitabu.
Nyie ndio mnaona kingereza mali sana! Mjomba kuna raia mtaani hiyo shule uliyonayo ww na makaratasi yako halafu ngeli yenyeywe km oscerwcb wao hawana ila linapokuja swala la kuongea hiyo lugha huwaambii kituswali wanajua kingerereza kwenye vitabu.
Unafiki gani?Unafiki tu umewajaa