Video: Mzungu akamatwa kwa kugawa vitabu vya ushoga kwa watoto

Akili za, wa Afrika, kila kitu ni hisia tu, ushoga unatisha kuliko rasilimali, za, nchi zinapouzwa, kutumika vibaya na kuleta madhara makubwa,
Ukipelekwa Amana, mwananyamara, muhimbili kama upo mahututi, uweZekano wa, kufa ni asilimia 83! Kutokana na huduma mbovu!
Hapo hutasikia watu wakipiga kelele,
 
Hawa ndio wanatumia watoto wa NGO vitabu na mahitaji mengine.
 
Hayo tumekuachia wewe upige kelele huku umefumuliwa linda.
 
So hapa kuna ushofa gani? Mbona ni story book tu ya watoto?

Labda utufungulie pages zingine
Jitu linakuja kuchangia uzi wa miezi mitano nyuma kama unajadiliwa Leo bila kusoma uzi wote 🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…