Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Unajua fiji imeanza kubadilishwa na huo ni mpango wa waingereza,walipeleka malaki ya wahindi weupe huko ili wazaliane wachukue visiwa hivyo.leo nusu ya WARUFIJI nadhani "umenielewa" ni baniani.
 
Hawa walikuwa matajiri wa wakati ule kufika huko wajukuu wakafirisika.
 
Mkuu walikuwa hawajui wanakoenda ilikuwa ni survival,kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya navigation skills.
Maji yalizidi unga magonjwa yakawaandama huwezi kufikiria mara mbili ni kutoka nduki tu ukajipange upya nadhani ndicho walichofanya pana mengi yamejificha ambayo bado hatuyajui.
 
Early Long Distance Trade kati ya Mashariki ya Mbali(china , India, et el na waajemi, hao walikuwa watumwa wa awali kabisa
Kama immigration yao ingetokana na utumwa ni dhahiri wangekuwa wamejichanganya na jamii nyingine walizo zitumikia,, swali la kujiuliza mbona ni jamii iliyojitenga kijiografia, kitamaduni n.k
 
Tazama wafiji asilia kabla ya kupelekwa malaki ya wahindi na baada ya kuoana na wahindi na kubadilishwa kabisa.
 
Hao wa karibu na Igunga ni wataturu wakali sana hao jamaa sidhani kama maasai anawafikia labda siku hizi
 
Ethnic groups ziko nne mkuu,Bantu speaking people,Cushites,Nilotes na Clicks(bushmen of the Kalahari Desert,Sandawe Hadzabez of Lake Eyas who are still hunters and gatherers in this 21 Century.
All in All one Most Nortable Reggae Star from Kingston Jamaica His name Is Peter McnTosh sang.....I DON'T CARE WHERE YOU COME FROM AS LONG AS YOUR A BLACKMAN YOUR AN AFRICAN....I LOVE HISTORY n personally i like this thread as it reminds me those days when i was at school
 
Da yan taifa kubwa kama India wameshindwa kuwapelekea ustaharabu hawa watu wamewaacha tu watembee uchi.Dah!Nimeumia sana,najua in dhambibya ubaguzi mwisho wa Sikh wakajikuta wanatembea tu pekeyao wakashindwa kufanya adaptation

wanaua MTU yeyote anayeingia kisiwani kwao, hadi serikali imeamua kuwaacha
 
Je ni binadamu kama sisi?
Na je wanajua nn kuhusu Mungu?

Na kama hawajui chochote
Tukisema kwamba haya mafundisho ya dini waliyaleta kwetu wazungu ili watutawale mtabisha?

Kama Mafundisho hayo yako corect kwa nini wasikutwe na wao wanayo mafundisho yanayofanana na ya vitabu vyetu vya dini, kwa kuzingatia kuwa aliyesimamia upatikanaji wa vitabu vyetu vya dini ndiye huyo aliyetuumba pamoja na hao "weusi pori"
 
African union kazi yake ni nini, kwa nini wasiwaprotect hawa jamaa? Hawajifunzi jinsi marekani na uingereza wanavyoiprotect Israel? Sisi black hopeless kabisa.

Kuna wengine wako mexico na serikali haijaidhinisha mswada wa kuwatambua ili waweze kuwa na haki kama raia. Ndo maana nataka trump ashinde urais marekani ili karma ifanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…