Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Uasia ulianza kuonekana afrika zamani kabla ya uchina.
838_id108d.jpg
533.jpg
 
shusha nondo mkuu uje wangali waafrika lakini wengi wetu wanauchukia uafrika na kuukumbatia uzungu,kunajama wanajiita PanAfricanism huwa wanatoaga mafact kuhusu hidden history ya mtu mweusi ,pia hata wale jamaa wa national geographic walisha wahi kutoa utafiti wa pharaoh mweusi na ndio alikuwa mdogo kuliko ma pharao wote walishawahi tokea
 
Ushahidi upo na unaonyesha ustaarabu wa kimisri ulikua na mizizi ya kiafrika.
 
By the rivers of Babylon, there we sat down
ye-eah we wept, when we remembered Zion.

By the rivers of Babylon, there we sat down
ye-eah we wept, when we remembered Zion.

When the wicked
Carried us away in captivity
Required from us a song
Now how shall we sing the lord's song in a strange land
 
Duh weusi mie mweupe...ila kuku wa kienyeji hao ukikamata mmoja ukampiga sabuni kisawasawa akan'gaa na joto la Dar hakyanani unaweza usiende kazini mwezi.
 
Farao Ankhenaton.na mwanae Farao tutankhamun.
akhenatenprofile.jpg
170px-Mannequin_of_Tutankhamun.jpg
ni waafrika.
 
Back
Top Bottom