Video na picha za kinachoendelea maandamano Ufaransa

Waandamanaji Nchi Ufaransa wanaimba Biden Hatutaki vitayako
Na Kusema Ufansa Ijiondoe Kwenye Nato ya Marekani

"Biden, we don't want your war."

Thousands of anti-war protesters took to the streets of Paris to denounce the US's proxy war in Ukraine and demand the withdrawal of France from the US-led NATO bloc.


Your browser is not able to display this video.
 
Until date Iran unafikiriwa kuwa nchi ya 3rd.
 
Mataifa kama tanzania kupata bendera ni mpaka uwe na msuli
 
Kama vyombo vya habari vimenyamaza wewe umezipata wapi hizi habari zako??
 
Kama vyombo vya habari viko kimya wewe umezipata wapi hizi habari??
Lipia king'amuzi chako upate habari za hayo maandamano, zipo kwenye vyombo vyote vya habari vya kimataifa BBC, DW, Al jazeer, Reuters n.k
Tunacho Kizungumzia hapa ni
Vyomba vya Mabeberu kuwa kimya
Tunacho Zungumzia Hapa ni Raia Kupigwa Acha Porojo zisizo na Kichwa wala miguu
 
Waandamanaji wa Iran walikuwa wanataka kuondondaka na utawala wao wa kidikteta, Waandamanaji wa Ufaransa wana malalamiko ya Pensheni ya kuongeza miaka ya kustaafu kufanya kazi kutoka 62 hadi 64.
 
Hapa sio Kiev Makombora ya Urusi yakipiga
Hapa ni Paris Polisi wakipiga Raia wanao Andamana
Your browser is not able to display this video.
 
Waandamanaji wa Iran walikuwa wanataka kuondondaka na utawala wao wa kidikteta, Waandamanaji wa Ufaransa wana malalamiko ya Pensheni ya kuongeza miaka ya kustaafu kufanya kazi kutoka 62 hadi 64.
Waandamanaji wa Ufaransa wanataka Micro aondoke
Na Kikubwa nikuwa maandamano Ni maandamano iwe Iran au Ufaransa
je Kwanini Hatusikii matamko juu ya Serikali ya Ufansa kwa inacho kifanya kwa Raia wake?
 
Na nani?
Reasons?
Afu nishakwambia hilo neno "3rd country " linatumika kimakosa.....
Tumia developing......
Sipendi mijadala inayojengwa katika mtindo wa derailing..
Mimi nimesema hadi sasa Iran inachukuliwa kuwa nchi ya ulimwengu wa 3.. so, wewe unaepinga pindua Meza kwa kusema kinyume na dai langu .
Nb: Misa unaendelea, njoo tujumuike.
 
Taarifa zinasema Ufaransa Inatumia Nguvu Kubwa Kupambana na Waandamanaji
France Slammed For ‘Excessive Force’ Against Protests

The French government has used disproportionate force against demonstrators protesting pension reforms in violation of their freedom of assembly and expression, Council of Europe Commissioner for Human Rights



Your browser is not able to display this video.
 
Dunja Mijatovic claimed.

Mijatovic described the circumstances of the pension protests as “concerning,” adding that “sporadic acts of violence by some demonstrators or other reprehensible acts committed by others during a demonstration cannot justify the excessive use
 
of force by state agents.”

While some “violence” has taken place, including against police, they are “not sufficient to deprive peaceful demonstrators of enjoying the right of freedom of assembly,” she said, adding that the French authorities must protect peaceful protesters.
 
Sipendi mijadala inayojengwa katika mtindo wa derailing..
Mimi nimesema hadi sasa Iran inachukuliwa kuwa nchi ya ulimwengu wa 3.. so, wewe unaepinga pindua Meza kwa kusema kinyume na dai langu .
Nb: Misa unaendelea, njoo tujumuike.
Na mimi nimekujibu Iran haijawahi kuwa third world country.......
Kuanzia matumizi sahihi ya neno third world country mpaka hii ya saiv inayotumika kuwakilisha maendeleo ya nchi husika.
Wewe unayesema hivyo uniambie ni kwanini uone iran ni 3rd country.
Reasons.........
 
Sipendi mijadala inayojengwa katika mtindo wa derailing..
Mimi nimesema hadi sasa Iran inachukuliwa kuwa nchi ya ulimwengu wa 3.. so, wewe unaepinga pindua Meza kwa kusema kinyume na dai langu .
Nb: Misa unaendelea, njoo tujumuike.
Iran upo kwenye nchi za ulimwengu wa kati iko kwenye kundi moja na akina Uturuki, Israel, Malasia, Indonesia, Brazil ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…