Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Kichwa chako hakifikiri vzr wewe..Nape anajua siri za chama kuliko Lowassa na Sumaye?
 
Kichwa chako hakifikiri vzr wewe..Nape anajua siri za chama kuliko Lowassa na Sumaye?

Tumia akili wewe! Sumaye na Lowassa wamewahi kushika nafasi za juu za chama kama Nape? Au hujui nisemalo?
 
Toka uanze kusikia siri zooote za mabaya ya ccm umeshawahi kuchukua hatua yoyote??? au watanzania wangapi walishachukua hatua..kuna mtu anaweza mpita Augustino Mrema kwa vle alijitolea kwa nchi hii na bado watz hao hao wanamkejeli, unawajua watz kweli..kaimbe taarabu wewe kuliko kupoteza muda hapa.
 
Tumia akili wewe! Sumaye na Lowassa wamewahi kushika nafasi za juu za chama kama Nape? Au hujui nisemalo?
Kaulize wajinga wenzio lbd kwa hili watakuelewesha, katibu mwenezi wa chama ni mkubwa kimadaraka kuliko waziri mkuu na kiongozi wa chama bungeni..
 
tusubirie miaka ya raising wetu ipite
 
Flashback: 2017...

Mbunge wa Jimbo la Mtamba Nnape Mnauye ameeleza kuwa kitendo cha yeye kutembea akiwa juu ya migongo ya wanawake wa Jimbo hilo ni ishara ya heshima kubwa aliyopewa.

Nape ameeleza kuwa angekataa angetoa ishira ya Dharau na kwamba isingewezekana na kukataa.



Now: 2023!

Nape Nnauye: Kutukanwa kwa mama mmoja ni kutukanwa kwa kina mama wote Tanzania!

 
Nilijua Nape ni hamnazo na hana hata chembe ya busara baada ya kumuona akiishi ukweni kwake kwa marehemu Brig S. Hemed, Changanyikeni huko.
 
Huu ni udhalilishaji alipaswa akamatwe
 
Uteuzi wa huyu jamaa, maneno yake na akili zake vinaonyesha umakini na weledi wa mamlaka zilizomteua. Pipa na mfuniko.
 
Kuna kipindi watumwa walikuwa wanazikwa na mfalme ili waende kumtumikia; Hii ilikuwa ni sifa na kwa watumwa hawa jambo la kujivunia - tungeendelea hivyo ili tusionekane na dharau sijui leo tungekuwa wapi ?

Yeye aseme tu alipenda kilichofanyika na ndio tabia zao huko na yeye anazipenda za kujiona yupo juu ya wengine; Hayo mengine ni justifying the unjustifiable.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…