Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo nape ni team milembe acha waangamizane wanafiki unafiki wao unawaludia wenyewe kwa aibu kuu hadi kwenye familia zao walizani kuinajisi democracy kwenye maswala ya katiba mpya na uchaguzi mkuu ni laana ya mchezo mchezo [emoji107] [emoji107]Nape amekata tamaa u radhi kwa lolote iwe heri ama shari , kitendo cha kumtolea bastola hadharani tena na mtu ambaye hajielewi kisa katumwa na asiye jielewa kina mpa mateso makali sana hasa akikumbuka kazi aliyo ifanya kwamoyo mkunjufu kuwa fitini wengine ili waliopo sasa wapate nafasi wanazo zitumia kumnyanyasa.
Punguza unafiki.mama yako aliolewa na baba yako tayari ushazaliwa mkuu
Wengine wako sokoni hapo "biashara" Matangazo mkuu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahaaaa! Wamakonde nyege Zimewajaaa hawa. Tena wametoka Dar es salaam na wengine hapo nimewatambua. Bonge la movie!
Na huyu muheshimiwa, amekubalije kujidhalilisha, kwa kuwadhalilisha watu waliojidhalilisha, badala ya kuwaelimisha!Loooh huo nao ni ubashite khaa mapenz gani haya ya .......[emoji125]
Kwa mtindo huo, wataolewa na nani?Wameolewa?
Wote ni wale wale, watamponza masikini!Hivi kumbe hawa jamaa walitumia sabuni kabisa kudeki barabara?
Hakuna mwenye afadhar hapo waliodeki barabara waliolala chin wote ni akinabashite tuuDaaah..! Ni afadhali hawa aisee  
![]()
![]()
Hata mini nafikiria hivyoccm inakubalika sana.
Sio makabila ya kusini, labda kabila fulani (pengine ni hilo hilo alilolipata huyo muheshimiwa).Tembeeni muone nyie , hiyo bniheshima kubwa sana kwa makabila ya kusini kufanyiwa hivyo