Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

"Tulipigana tukiamini Tanzania iko salama chini ya Chama Cha Mapinduzi, bado nina amini Tanzania bado itakuwa salama kama Watanzania hususani vijana watasimama kusema ukweli, akikosea mtu hata awe mkubwa mpaka Mbiguni akikosea lazima aambiwe ukweli" Nape Nnauye

Idadi ya wanaomtolea uvivu dikteta uchwara inazidi kuongezeka tu. I hope hii trend itazidi kushamiri na huyu jamaa kukosa support kabisa ya kuendelea kuwa Rais wa nchi kama akiamua kuendelea na udikteta uchwara wake wa kudharau Bunge na katiba na pia kutotaka kumsikiliza yeyote yule kwa sababu tu ana Phd yake uchwara ya kubangua korosho hivyo kujiona anajua sana kuliko yeyote yule nchini.

Alutta continua! continua!
Nimekuwa nikiamini watu muko analytical kwa muda mrefu, lakini kumbe mukiguswa kwenye channel zenu, hata reasoning inaondoka. Nawe umeingia kundi hili linaloamini Rais huyu anakosea kuliko aliyepita!
Tulikotoka ambako hata Ditopile aliachiwa akaingia mtaani hata baada ya kuua!
Watu walikokuwa wakibeba viroba vya pesa!
Wenye UKIMWI wakiambiwa ni kujitakia! Watoto wanaopata mimba wakiambiwa ni kihelehele chao!
Tulikokaa chini tangu darasa la kwanza hadi la 7!
Rais aliyesema hajui kwa nini waTZ ni maskini!
n.k.

Kubalini kwamba rais siyo komedi anayemfurahisha kila mutazamaji. Wengine fuateni kwa lazima bila kujali nini unafanya kujikimu maisha yako.
 
Ukisikia unyanyasaji ndiyo huu, hivi hakuna namna nyingine ya kujitangaza zaidi ya kumdhalilisha Mwanamke namna hii?

Wa Makonde hizi nimila zao.. hata wahaya hufanya hivyo
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Mmmmh! Kijana alidhani CCM ni mali yake. Hiki ni kiburi cha kudekezwa na rais aliyepita kwa miaka 10. Kisha amini ana uwezo sasa anashangaa kwa nini rais huyu hauoni! Watu kama huyu hawajitambui na hapo ndo CCM wanatakiwa kuwa waangalifu ktk matumizi ya wanachama. Siyo kila asiye aibu anafaa kutumikia taifa. Anweza kutumikia Chama lakini siyo Taifa.

Amedai sana nafasi eti kwa kuwa tu alizunguka nchi nzima! Yaani hata houseboy wangu sasa adai kupata chumba eti kwa kuwa anasafisha nyumba kila siku?
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Pole Mzee wa NDIYOOOO
 
Ataisoma namba kimya kimya namba haichagui we nani
 
"Tulipigana tukiamini Tanzania iko salama chini ya Chama Cha Mapinduzi, bado nina amini Tanzania bado itakuwa salama kama Watanzania hususani vijana watasimama kusema ukweli, akikosea mtu hata awe mkubwa mpaka Mbiguni akikosea lazima aambiwe ukweli" Nape Nnauye

Idadi ya wanaomtolea uvivu dikteta uchwara inazidi kuongezeka tu. I hope hii trend itazidi kushamiri na huyu jamaa kukosa support kabisa ya kuendelea kuwa Rais wa nchi kama akiamua kuendelea na udikteta uchwara wake wa kudharau Bunge na katiba na pia kutotaka kumsikiliza yeyote yule kwa sababu tu ana Phd yake uchwara ya kubangua korosho hivyo kujiona anajua sana kuliko yeyote yule nchini.

Alutta continua! continua!
Phd ya kubangua korosho
 
  • Thanks
Reactions: BAK
... Mama yangu hapa kaingia vp? Jenga hoja zako na kama imeishiwa kaa pembeni hukooo!!! Watu kama ninyi ndiyo ambao mwisho wa siku mnaishiwa kufugwa kama alivyosema Ney.
 
Wapi nilipoandika kuhusu kumfagilia Kikwete na awamu yake ya nne!? Hebu weka huu ushahidi wa hicho ulichokiandika kwenye rangi.

Nimekuwa nikiamini watu muko analytical kwa muda mrefu, lakini kumbe mukiguswa kwenye channel zenu, hata reasoning inaondoka. Nawe umeingia kundi hili linaloamini Rais huyu anakosea kuliko aliyepita!
Tulikotoka ambako hata Ditopile aliachiwa akaingia mtaani hata baada ya kuua!
Watu walikokuwa wakibeba viroba vya pesa!
Wenye UKIMWI wakiambiwa ni kujitakia! Watoto wanaopata mimba wakiambiwa ni kihelehele chao!
Tulikokaa chini tangu darasa la kwanza hadi la 7!
Rais aliyesema hajui kwa nini waTZ ni maskini!
n.k.

Kubalini kwamba rais siyo komedi anayemfurahisha kila mutazamaji. Wengine fuateni kwa lazima bila kujali nini unafanya kujikimu maisha yako.
 
Mkuu Sooth kama kweli Nape kawakanyaga hao akina mama migongoni mwao kwa hakika amenisikitisha sanaa...
 
Mbona Rc alipolia kwa machungu watu kuangamia na mihadarati mliandika sana? Mara makonda lete vyeti acha kulia, sasa andikeni na hapa sasa nyinyi Chadema.
 
Wakati Nape akiwa live kwenye mkutano wake ndipo Roma alipopatikana..... Hivi bado kuna mtanzania anaetia Shaka na utekaji huu labda kama una mtindio wa ubungo. The whole thing ya Roma kutekwa ilikuwa ni kuwaondoa watanzania kufatilia atakachosema Nape na kuhakikisha Kesho media zoooote zitamuandika Roma na sio Nape...
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.
Sisi watanzania tummelogwa na aliyetuloga amekufa,mapokezi ya Nape sio kitu cha ajabu.Chenge,Rostam walishapata mapokezi kama yale baada ya kutuhumiwa kwenye shutuma za ufisadi,wanachama wa Yanga walimpigia magoti Manji kumlazimisha agombee uenyekiti wa Yanga
 
Back
Top Bottom