Mzee wa Wima
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 537
- 296
We we bora ukae kimya..kwani marinda yamekaza...au yamelegea..
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu