Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua ilikuaje hadi mheshimiwa akawa over-came na emotions huko kwao, sijajua ni V.I.P treatment na heroic welcome aliyopipata huko kwao ukilinganisha na alivyokuwa treated Dar na kupuuziwa na mkubwa wake wa kazi au au ni remorse na guilty ya aliyoyafanya zamani au ni vipi......
Muda ndio kiboko yenu.Hakuna cha ajabu huko..watu wana njaa sana jimboni kwake..hawana jipya toka nape aingie..wamepewa senti na wamekodishiwa fuso za kuwabeba..hakuna kumbukumbu yoyote kuwa nape amewahi kukubalika jimboni..
Sio wa team mbowe!Mtaisoma namba 2020 ushindani utakuwa sio wa kitoto.
mbona hujamalizia kule kunakoamuaga matokeo??Bukoba aliwaambia mwafaaa asitegemea kura..Dar ccm wajitayarishe kupoteza majimbo yote..Simiyu hawana hamu na ccm..Na sasa Mikoa ya Kusini ndio balaa imeanza kwa ccm..Mikoa ya Kaskazini ccm ilishafutwa
Kivipi??Muda ndio kiboko yenu.
Dau limepanda nini, kwani sasa hivi mnalipwa tshs ngapi dada??Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Pumzika ulishazeeka umri ni shidaa, mawazo na akili ipo kwa wajukuuAcha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu