Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Video: Nape alipoangua kilio hadharani jimboni kwake Mtama

Ila kumbe watu wengi ni mbumbumbu akiwepo mleta mada,

Hivi Nape ni wa chama gani? Si ccm?
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Hivi Wew na nape ni nani jina lake lipo kwenye kitabu cha Ccm au ndo mahaba ya Ccm yamezidi kumzidi nape? [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
kwa lilitokea clouds tukiaaminishwa kwa video ya cctv camera ikiwa hata polisi hawajui kwa vile halijalipotiwa plus malalamiko ya mitandaoni sio suala la kumwinua waziri kulivalia njuga ikiwa hata mkuu wa wilaya haelewi chochote. kwa hiyo unagundua kuwa waziri alikurupuka kwa masilahi yake binafsi. lkn isitoshe hata baada ya Mh Rais Dr JPM kutoa tamko kuwa wamwache Mh Mkuu wa Mkoa achape kazi tuachane na mambo ya mtandaoni ilikuwa ni maelekezo tosha kuwa waziri anakurupuka lkn bado waziri Nape aliunda tume kuzzihirisha kuwa anakinzana na kauli za rais. watanzania tufike wakati tutambue nafasi ya rais ktk nchi na mamlaka aliyonayo. tulizoeshwa vibaya tunamchukulia rais kama balozi wa nyumba kumi au mwenyekiti wa kijiji ndiyo maana kila kitu tunahoji hoji ,... nashukuru kwa kupata rais mwenye misimamo tutanyoka tu
Si ndy afanye kazi kuvamia na kuteka watu?ndy nimekwambiya ukiona swala anaringa mbugani simba na chui ndugu zake..
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.
Hahahaa una uchungu gani na Magufuli kiasi cha kumshauri na kumshitua?
Hizo gagari za Nape tushazizoea.Tuliona kwa Mrema,Chenge,Tibaijuka na Lowassa,Baada ya hapo maisha yanaendelea tu
CCM ni kubwa sana kuliko Nape
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu

Kura za walliokaa meza kuu ni chache sana kulinganisha na wale waliokuwa wanamshangilia. Nape ni shujaa. Huko luthuli ni mahasira kwa kwenda mbele. Poleni.
 
Safari moja huanzisha nyingine
Aliwasahau kabisa wananchi wake kwaajili ya kuwatumikia watawala badala ya wananchi
 
Mwache aendelee kutapa tapa.hatutaki urafiki kwwnye kazi.tunajua analo linalomuumiza.ila atafanya nini?karma inMuunguza
 
Nimependa ile ya kukanyaga kwenye masa..ri ya akina mama!
I wish i cud be nape
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Bashite huwezi kuyaelewa maono ya mleta uzi, kwani meza kuu ilikuwa na watu wengi zaidi ya hadhara nzima? Msome tena utamuelewa, aidha kazeni shingo muone kama haitavunjika!. Mufa utaongea.
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.


Acha propaganda za kijinga, watanzania wengi wanampenda Magufuli, ulizia tu haswa huko mikoani maana anayoyafanya yanaonekana. Jiulize, rais gani umjuaye wewe ali-dare kutumbua mawaziri wasiojuwa wajibu wao? Alama za nyakati huko mikoani zinaonyesha Magufuli yuko juu sana. Wengi ya walalamikaji ni wababaishaji na wasiojitambua.
 
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?

Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.

Mtanyooka tu
Mkuu mm nilikuwepo kwenye mkutano furaha ya watu wa meza kuu ilieleza mengi sana
 
Huyo halilii madaraka,anauchungu namna alivyotendewa na mwenyekiti wa chama ..Hasa alipokumbuka nikiasi gani alipigania chama chake uchaguzi ulo pita 2015.. mungu akutangulie Nape..Umepigana vilivyo..Tunaojua ulifanya yaliyo makuu kwa kusimamia haki..Tuna sema you are a hero..God protect you....
 
Huyu bwana akiendelea hivi ni wazi 2020 atakataliwa vibaya sana sio na wafuasi wa vyama vya upinzani tu,bali hata wana-CCM wenzake.

Huyu mh. asiposoma alama za nyakati na kujirekebisha,anaweza kuambulia asilimia 40 ya kura zote zitakazopigwa na hata asilimia 35 kabisa.

Ule umati mkubwa uliojitokeza ulikuwa unatuma salam kwake kuwa mbunge wao ni shujaa na zaidi hakutendewa haki.Hii ni dalili mbaya sana kwa mkulu.

Narudia,Bashite ana play role ya Mohamed Bouazizi ya kuleta mabadiliko ya kiutawala nchini kama ambavyo Bouazizi alivyokuwa chanzo cha mabadiliko nchini kwake Tunisia na baadae katika ulimwengu wa nchi kadhaa za kiarabu.

Bahati mbaya sikio la kufa halisikii dawa.

Time will tell.
nafurahi sana kuona Nape anaungua kwenye maji aliyoyachemsha mwenyewe kwa kutumia kuni za wizi kutoka nyumba ya jirani!
 
Back
Top Bottom